< 1 Timoti 6 >
1 Ceki vat ande sa wazi arere ana nyimo ure una wa iri anka co uweme barki wake ninonzo, wa wuzi anime barki kati wa cori tize ta Asere nan nu bezizi tize.
Wale wote walio chini ya kongwa la utumwa inawapasa kuwahesabu mabwana zao kuwa wanastahili heshima yote, ili jina la Mungu lisitukanwe wala mafundisho yetu.
2 Arere be sa wazin akacobe sa warusa kadura kati wa izi barki we nihenu nini, anyo ani me, wa wuzi we katuma unu muntu, abanna me aka co me sa wazin na re maroo maka tuma ka we me anu tarsa utize ta Asere tini, anu uhem ucani, bezizi ukuri ukuri usuzo timumu.
Wale watumwa ambao wana mabwana waaminio, haiwapasi kupunguza heshima yao kwa sababu wao ni ndugu. Badala yake, wawatumikie hata vizuri zaidi, kwa sababu wale wanaonufaika na huduma yao ni waaminio, ambao ni wapenzi wao. Fundisha mambo haya na uwahimize kuyafuata.
3 In ki ya cukuno uya mabezizi ire imum sas duki mahem unu bezizi udert ba, agino me tize ti Ugomo Asere Yeso Ugomo Asere, azinu bassa daki wa kabirka unu bezizi ugi sa uhaza anyimo anipum ba.
Ikiwa mtu yeyote atafundisha mafundisho mapotovu wala hakubaliani na mafundisho manyofu ya Bwana wetu Yesu Kristo na yale ya utauwa,
4 Unu ugino me unu yezi unicce nini, makuri marusa ire imum ba, anyo ani me, mazin hinguko nan matara kang ahira agbura, agbaran me sa a ezen in ni eru, nan kagura, nan tizomo, nan bassa imum iburu.
huyo amejivuna wala hajui kitu chochote. Yeye amejaa tamaa ya mabishano na ugomvi kuhusu maneno ambavyo matokeo yake ni wivu na mapigano, maneno ya ukorofi, shuku mbaya,
5 Nan nuzatu uticukum tu ronta atii a nab, wa bassa uguna uwuza Ugomo Asere kaduma una uni uwu ikirfi “Susso nicce niwe me anyimo timummu tiginome.
na kuzozana kusikokoma kati ya watu walioharibika akili zao, walioikosa kweli, na ambao hudhani kwamba utauwa ni njia ya kupata faida.
6 Ana me utarsa Ugomo Asere nan nu inko unicce imum ire-re ini.
Lakini utauwa na kuridhika ni faida kubwa.
7 Abanname daki ta aye ini mum unee ba ti daki ti suri anyimo a uni in iri mumba.
Kwa kuwa hatukuja humu duniani na kitu chochote, wala hatuwezi kutoka humu na kitu.
8 Anyo anime, ti tonno immare nan tironga.
Lakini kama tuna chakula na mavazi, tutaridhika navyo.
9 Ande sa nya wa cukuno ani mam wadi rizii anyimo umassa, anyimo ani barda, wadi rizizi ati mummu ti babbana in gmei maje mukunna iwono nan koya imumsa anabu wadi ribe anyimo ucorno me nan ni wono.
Lakini wale watu wanaotamani kuwa na mali kwa haraka huanguka kwenye majaribu, na wamenaswa na tamaa nyingi za kipumbavu zenye kudhuru, zinazowazamisha watu katika uharibifu na maangamizi.
10 Abanna me, nyara ikirfi une ini koniya ni tin ni imum izenze, are anu ahira unyara ikirfi waceki kadura, wa huguko acce awe apuru abit, gbardang.
Kwa maana kupenda fedha ndiyo shina moja la maovu ya kila namna. Baadhi ya watu wakitamani fedha, wameiacha imani na kujichoma wenyewe kwa maumivu mengi.
11 Abanna hume, una Asere, suma tinummu tigino tarsa iriba ire-re, utarsa Asere, imum ire-re, uhem, utira iriba, nan nu benki.
Lakini wewe, mtu wa Mungu, yakimbie mambo haya yote. Fuata haki, utauwa, imani, upendo, saburi na upole.
12 Zitoni, uzito me sa udi eshi na re aje akadura, umeki ivai izatu umara, azez sere imum igino me ini wabezi aje anu gbardang nan ni mumbe sa ireze. (aiōnios )
Pigana vile vita vizuri vya imani. Shika uzima wa milele ambao ndio ulioitiwa ulipokiri ule ukiri mzuri mbele ya mashahidi wengi. (aiōnios )
13 Inzin nya uwe tize aje Ugomo-Asere unu gesame mani ma humzan inti mummu, nan naje Ugomo-Asere Yeso, unugesa ma buki kadura ahira Bilatus una nu bunti.
Nakuagiza mbele za Mungu avipaye vitu vyote uhai, na mbele za Kristo Yesu ambaye alipokuwa anashuhudia mbele ya Pontio Pilato alikiri ukiri mzuri,
14 Tarsa uinko utize rep, imum ucana utize izoni ahira ashime uye Ugomo-Asere Yeso Ugomo-Asere.
uishike amri hii bila dosari wala lawama mpaka kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo,
15 Asere madi bezi u aye umeme rep uganiya Asere, unya anyo, ubari in sisinme, ugomo sa ma zin intigomo, Ugomo-Asere una tigomo.
ambaye Mungu atamleta kwa wakati wake mwenyewe: yeye ahimidiwaye, aliye peke yake Mtawala, Mfalme wa wafalme, na Bwana wa mabwana,
16 Memani cas unu zatiiwono, una ticukum anyimo masaa be za ada haza me uburu mani uye mada hira mani ba, nyani marusi ugunkino umani, tinanu ta bezi ahira ameme nan tigomo tizatu umara, Icukuno-Anime. (aiōnios )
yeye peke yake ambaye hapatikani na mauti, na anakaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa, ambaye hakuna mwanadamu aliyemwona wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye milele. Amen. (aiōnios )
17 Buka anu imummu anyimo unee kati wa heze acce, kati wa inki iriba ikirfi sa wazin imarsa, anyo anime, wa inki iriba iwe ahira Asere unuge sama nyinzan duru timummu ti kadura barki ukunna uronta uru. (aiōn )
Waagize wale ambao ni matajiri wa ulimwengu huu waache kujivuna, wala wasiweke tumaini lao katika mali ambayo si ya hakika, bali waweke tumaini lao katika Mungu ambaye hutupatia vitu vyote kwa wingi ili tuvifurahie. (aiōn )
18 Buka we wa wuzi imum ihuma wa wu ikirfi ahira akatuma kare-re wa, cukuno anu nyinza me iriba ka inde.
Waagize watende mema, wawe matajiri katika matendo mema, pia wawe wakarimu na walio tayari kushiriki mali zao na wengine.
19 Abine ani wadi inka acce aweme nitin ni re-re azez sere imumbe sa i eze barki wa kabi uvenke unikara.
Kwa njia hii watajiwekea hazina kama msingi kwa ajili ya wakati ujao na hivyo watajipatia uzima, yaani, ule uzima ambao ni wa kweli.
20 Timoti, tonno azez sere imum me sa a nyawe, suma piit intize ti babbana nan matara mage sa ma coro acecce tige sa agusa ni urusa umoco.
Timotheo, linda kile kilichowekwa amana kwako. Epuka majadiliano yasiyo ya utauwa na mabishano ambayo kwa uongo huitwa elimu,
21 Are anu wa boo tize tigino me barki anime wa sesserke u hem ukadura, ceki uronta ucukuno nigo nan huu.
ambayo wengine kwa kujidai kuwa nayo wameiacha imani. Neema iwe nanyi. Amen.