< 1 Timoti 2 >

1 Barki ani me imum in tuba iyenne, in zin ni kuri wuzan nikuri nan biringara, nan nu wuza ubi ringara barki anabu vat, wanu nya godiya awuzi anime barki vat anabu.
Awali ya yote, nasihi kwamba dua, sala, maombezi na shukrani zifanyike kwa ajili ya watu wote:
2 Barki agomo wanu vat hana ana tigomo, barki wuzi ticukum turonta nan ticukum tu nee mang anyimo ati cukum ta Asere nan ugongo.
kwa ajili ya wafalme na wale wote wenye mamlaka, ili tupate kuishi kwa amani na utulivu, katika uchaji wote wa Mungu na utakatifu.
3 Agino me irezi nan nu kaba ahira Asere unu bura uru.
Jambo hili ni jema, tena linapendeza machoni pa Mungu Mwokozi wetu,
4 Ma ma nyara vat anabu wakem ubura, wa haa urusa ukadura.
anayetaka watu wote waokolewe na wafikie kuijua kweli.
5 Barki Asere a inde ani, desa maraa atime unu inde mani, atii Asere nan unubu, unu uginome Ugomo Asere Yeso mani.
Kwa maana kuna Mungu mmoja na mpatanishi mmoja kati ya Mungu na wanadamu, yaani mwanadamu Kristo Yesu,
6 Ma nya nicce nimeme barki ma buri kondevi, barki ubuka utize uganiya me rep.
aliyejitoa mwenyewe kuwa fidia kwa ajili ya wanadamu wote: jambo hili lilishuhudiwa kwa wakati wake ufaao.
7 Barki agino imum me, awu mi nicce nimum in cukuno una kadura, kadura kani imbo, azo moco mani ba, mi unu beze utize ahira ande sa watame tize ta Asere anyimo kadura nan unu goggoni.
Nami kwa kusudi hili nimewekwa niwe mhubiri na mtume (nasema kweli katika Kristo wala sisemi uongo), mwalimu wa watu wa Mataifa katika imani na kweli.
8 Barki anime, in nyara ahana aruma sa waraa konde aba wawuzi biringara, wakuri wa yeze tari ti lau azesere daki nigo nan ni iriba iburu nan ma tara ba.
Nataka kila mahali wanaume wasali wakiinua mikono mitakatifu pasipo hasira wala kugombana.
9 Ane ani, in nyara ane wa soki tirunga be sa ta wuna, nan nu uzo nu uzo be sa wa wuna uree inu meki, kati wa cukuno anu pizo acce nan na azumo awal-wal nan na bal-bal nan tironga ti kirfi.
Vivyo hivyo nataka wanawake wajipambe kwa adabu na kwa heshima katika mavazi yanayostahili, si kwa kusuka nywele, kuvalia dhahabu, lulu au mavazi ya gharama kubwa,
10 In nyara wa soki tironga be ta wuna ane be sa wa raa anyima anipum na sere ahira uwusa ti hara tire-re.
bali kwa matendo mazuri kama iwapasavyo wanawake wanaokiri kuwa wanamcha Mungu.
11 Uneti ma manza anyimo utuzo unicce anyimo imum vat.
Mwanamke na ajifunze kwa utulivu na kwa utiifu wote.
12 Daki ma nya uguna vana e ma bezi nyani ma bezi ubari azesere avana urumaba, abanna ma cukuno unu utuzo unicce.
Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya mwanaume. Mwanamke inampasa kukaa kimya.
13 Adamu mani tubi ubara ume, adi ku barka Hauwa'u.
Kwa maana Adamu aliumbwa kwanza, kisha Eva.
14 Daki Adamu mani arangi me ba, abanna vanu e mani aragi me anyimo ucara abanga.
Wala si Adamu aliyedanganywa, bali ni mwanamke aliyedanganywa akawa mkosaji.
15 Vat anime, madi kem ubura ahira uyoozo ahana inki ware aje anyimo uhem ukadura, nan nu hem nan nu lau nan inko iriba.
Lakini mwanamke ataokolewa kwa kuzaa kwake, kama wakiendelea kudumu katika imani, upendo na utakatifu, pamoja na kuwa na kiasi.

< 1 Timoti 2 >