< 1 Utassalonikawa 2 >
1 Shi ina ce ashi me irusa nin nihenu, u'aye uru ahira ashi daki uhem uni uzi ba.
Ndugu zangu, kwa kuwa ninyi wenyewe mnajua ya kwamba kuja kwetu kwenu hakukuwa bure,
2 Isa rusa uganiya sa wa aki ta si nirere nan imum imu'i Ufilipi. Taa wuzi iriba ihu anyimo Ugomo Asere ti buu shi tize ti Ugomo Asere.
kama vile mjuavyo, tulikuwa tumeteswa na kutukanwa huko Filipi, lakini hata hivyo, kwa msaada wa Mungu wetu, tulikuwa na ujasiri wa kuwaambia Injili ya Mungu ingawa kulikuwa na upinzani mkubwa.
3 Barki ugbarika me sa ti zin shi ni uda zo me in ure ucama ba, nani imum iburi, nani macico ba.
Kwa maana himizo letu halikutokana na hila wala nia mbaya au udanganyifu.
4 Ya cukuno Ugomo Asere mani maa zaukan duru barki uboo utize ti me me, haru be ti boo tini, daki bati ti rumi anabu muriba, bati ti rumi Ugomo Asere mani iriba. Me mani ma rusa uzina umuriba muru.
Kinyume chake, tulinena kama watu tuliokubaliwa na Mungu tukakabidhiwa Injili. Sisi hatujaribu kuwapendeza wanadamu bali kumpendeza Mungu, yeye ayachunguzaye mawazo ya ndani sana ya mioyo yetu.
5 Irusa nin daki tamu wuza shi urunta anyo nani ulindaru, ugomo Asere masa rusa ani me.
Kama mjuavyo, hatukuja kwenu kwa maneno ya kujipendekeza au maneno yasiyo ya kweli ili kuficha tamaa mbaya: Mungu ndiye shahidi yetu.
6 Tida kuri ti nyari ninonzo anu ba, nani ahira ashi me, nani ahira ukasu anabu ba, dagi ti nyara, tida wuza katu innikara niru sa ti zini na adura Asere.
Wala hatukuwa tunatafuta sifa kutoka kwa wanadamu, wala kutoka kwenu au kwa mtu mwingine awaye yote. Kama mitume wa Kristo tungaliweza kuwa mzigo kwenu,
7 Ani me ta tuzo ace aru anyimo ashi me gusi a'ino sa make ma ribisa ahna ameme.
lakini tulikuwa wapole katikati yenu, kama mama anayewatunza watoto wake wadogo.
8 Ana me ta hem inshi, ta kunna urunta uni goo nan shi, daki uboo utize ti Ugomo Asere cas ba, nan ticukum tiru. Ya cukunon duru amuriba.
Tuliwapenda sana kiasi kwamba tulifurahia kushirikiana nanyi, si Injili ya Mungu tu, bali hata maisha yetu, kwa sababu mlikuwa wa thamani mno kwetu.
9 Ringi nin nihenu, katuma karu nan ijasi iru niye nan uwui, taa wuzi ani me indagi ti nya shi ucira uni ba. Uganiya ugino me, taa buu shi tize ti Ugomo Asere.
Ndugu zetu, mnakumbuka juhudi yetu na taabu yetu. Tulifanya kazi usiku na mchana, ili tusimlemee mtu yeyote wa kwenu wakati tulipokuwa tunawahubiria Injili ya Mungu.
10 Shi anu kurzo utize tim wani nan Asere, ulau, imum uzatu uboo, ta wuzi ticukum tiriri.
Ninyi wenyewe ni mashahidi na Mungu pia, jinsi tulivyokuwa watakatifu, wenye haki na wasio na lawama miongoni mwenu ninyi mlioamini.
11 Isa rusa nin utarsa sa taa tarsin inshi gusa sa matarsan in na hanaa ameme.
Maana mnajua kwamba tuliwatendea kila mmoja wenu kama vile baba awatendeavyo watoto wake.
12 Taa tiri shi tari unuguna itonno in nikara, unu guna i wuzi tanu unaa sa Ugomo Asere madi kunna urunta sa maa titi shi anyimo atigomo ti meme.
Tuliwatia moyo, tuliwafariji na kuwahimiza kuishi maisha yampendezayo Mungu, anayewaita katika Ufalme na utukufu wake.
13 Barki ani me ti bezizi iriba irum ahira ugomo Asere sarki umarsa. Uganiya sa ya kabi tize ti ugomo Asere ahira aru, kabi tini tida zo me gusi tize ti unubu ba. Yaa kabi tini barki kadure kani. Tize tige me ta rani anyimo akatuma, anyimo ashim me sa ya hem.
Nasi pia tunamshukuru Mungu bila kukoma kwa sababu mlipolipokea neno la Mungu mlilosikia kutoka kwetu, hamkulipokea kama neno la wanadamu, bali mlilipokea kama lilivyo hasa, neno la Mungu, litendalo kazi ndani yenu ninyi mnaoamini.
14 Shi nihenu, ya cukuno anu umanza anu tarsa Asere sa wa raani Ujudiya anyimo a Yeso. Shi cangi ya si nirere atari ta anu amanyaga mashi me, gusi wa kunna atari tima yahudawa.
Kwa maana ninyi ndugu zetu, mlifanyika wafuasi wa makanisa ya Mungu yaliyoko ndani ya Kristo Yesu katika Uyahudi. Mlipata mateso yale yale kutoka kwa watu wenu wenyewe kama vile makanisa hayo yalivyoteswa na Wayahudi,
15 Mayahudawa wani wa hu Yeso vanaa ugomo Asere na anu ukurzuzo utize ta Asere. Mayahudawa wani waa gidi duru. Wa cari Ugomo Asere iriba, wa wuzi ishina nan anabu.
wale waliomuua Bwana Yesu na manabii, nasi wakatufukuza pia. Watu hao walimchukiza Mungu na tena ni adui wa watu wote,
16 Waa kartin duru ti buu anu zatu urusa Asere tize ta Asere bati wa kem ubura. Waa cukuno uwuza utimumum ti madini. Wadi ribe anyimo ucurno me iriba ya Asere umara me.
wakijitahidi kutuzuia tusizungumze na watu wa Mataifa ili kwamba wapate kuokolewa. Kwa njia hii wanazidi kujilundikia dhambi zao hadi kikomo. Lakini hatimaye ghadhabu ya Mungu imewafikia.
17 Nihenu, taa harzina nan shi uganiya cingili, anyimo ani pum daki anyimo iriba ba. Taa inki iriba uguna tidi iri muhenu mushi me kang.
Lakini ndugu zetu, tulipotenganishwa nanyi kwa kitambo kidogo (ingawa kutengana huko kulikuwa kwa mwili tu, si kwa moyo), tulizidi kuwa na shauku kubwa kuwaona uso kwa uso.
18 Taa nyari ti kuri ti e ahira ashi me, mi nan Bulus, unu ugino me be maa kartin duru.
Maana tulitaka kuja kwenu, hasa mimi Paulo, nilitaka kuja tena na tena, lakini Shetani akatuzuia.
19 Nyanini nikara niriba barki uhana aje aru, nan iriba irum, nani ni'ere niti gomo tiwetere aje Ugomo Asere uganiya sa ma aye? In daki shi ba?
Kwa maana tumaini letu ni nini, au furaha yetu au taji yetu ya kujisifia mbele za Bwana Yesu Kristo wakati wa kuja kwake? Je, si ni ninyi?
20 She wani ti kunnan in shi nan anu uruma uru muriba.
Naam, ninyi ndio fahari yetu na furaha yetu.