< 1 Ubiturus 5 >

1 Uzinu wuza ananu anyimo ashime tize tu dungara, mi sa inzi u henu ushi unanu, unu bezi uzitu uvana Asere, mi unu kem u kalum uni antimo ani nonzo sa abezi.
Kwa wazee waliomo miongoni mwenu, nawasihi mimi nikiwa mzee mwenzenu, shahidi wa mateso ya Kristo, na mshiriki katika utukufu utakaofunuliwa:
2 Barki anime izinu dungara ushi ananu, hira nigo na Asere sa nizi nan sitarsi in we, azo ini kara ba barki sa inyara wuza ani me, barki u wuza Asere, tarsa ni we, azo unu kem imumu gbardang, barki uhen iriba.
lichungeni kundi la Mungu mlilokabidhiwa, mkitumika kama waangalizi, si kwa kulazimishwa bali kwa hiari, kama Mungu anavyowataka mwe; si kwa tamaa ya fedha, bali mlio na bidii katika kutumika.
3 Kati icukuno anu ahira anu sa wa atari tishime, cukuno ni imumu manza ahira anigome.
Msijifanye mabwana juu ya wale walio chini ya uangalizi wenu, bali kuweni vielelezo kwa hilo kundi.
4 Uganiya sa adi bezi ugomo utarsa ina nu, udi kabi ni ere ni tigomo nani nonzo ni mazu.
Naye Mchungaji Mkuu atakapodhihirishwa, mtapokea taji ya utukufu isiyoharibika.
5 Ane ani, shi inyani kunna ni tize ta nanu, vat ushi itirzizi mu iriba in kadure, iwuzi ni nonzo na cece, barki Asere ada kunna me urunta unu heze unice ba barki ma wuza ana kadure imumu iriri.
Vivyo hivyo, ninyi mlio vijana watiini wazee. Nanyi nyote imewapasa kujivika unyenyekevu kila mtu kwa mwenzake, kwa kuwa, “Mungu huwapinga wenye kiburi, lakini huwapa wanyenyekevu neema.”
6
Basi, nyenyekeeni chini ya mkono wa Mungu ulio hodari, ili awakweze kwa wakati wake.
7 Nyani me vat mu riba mu me, barki ma tarsa in shi.
Mtwikeni yeye fadhaa zenu zote, kwa maana yeye hujishughulisha sana na mambo yenu.
8 Wunani shew, icukuno unu rusa, unu iriba ibit nan shi, bibeu bur kasi udaru ukise anija ma zinu kese, unyara ude sa madi ri.
Mwe na kiasi na kukesha, maana adui yenu ibilisi huzungukazunguka kama simba angurumaye akitafuta mtu ili apate kummeza.
9 Wuza ni ere nan me, i wuzi nikara anyimo akadure kashi me, irusa aroni ishina ishi me sa wa ra anyo unee uzinu tarza ini rer nigino me kasi shime.
Mpingeni, mkiwa thabiti katika imani, mkijua ya kwamba mateso kama hayo yanawapata ndugu zenu pote duniani.
10 Umara uzito ushi me uganiya cin, Asere unu imumu iriri izatu mara, desa ma titi shi uhana kura ameme anyimo avana Asere, madi maza shi, ma nuki shi, ma kuri ma nyizi shi tize. (aiōnios g166)
Nanyi mkiisha kuteswa kwa kitambo kidogo, Mungu wa neema yote, aliyewaita kuingia katika utukufu wake wa milele ndani ya Kristo, yeye mwenyewe atawarejesha na kuwatia nguvu, akiwaimarisha na kuwathibitisha. (aiōnios g166)
11 Ninonzo ni cukuno ahira ameme uhana umara unee, icukuno anime. (aiōn g165)
Uweza una yeye milele na milele. Amen. (aiōn g165)
12 Ma hem in Sila uhenu ukadure mani, makuri ma nyettike shini cin atari tumeme. Izunu gwara ushi in kuri ibuki shi unu guna imumu me sa ma nyettike iriri ya Asere ini ikadure nukina ni anyimo a ini.
Kwa msaada wa Silvano, ambaye ninamhesabu kuwa ndugu mwaminifu, nimewaandikia waraka huu mfupi ili kuwatia moyo, na kushuhudia kwamba hii ni neema halisi ya Mungu. Simameni imara katika neema hiyo.
13 Me uneh me sa mara ubabila azauka me na haru, ma iso shi nan Markus vana um, ma iso shi.
Kanisa lililoko Babeli, lililochaguliwa pamoja nanyi, wanawasalimu; vivyo hivyo mwanangu Marko anawasalimu.
14 Isizo ni ace unu gindiro uhem. Imumu utoto iriba ahira ashi vat ushi sa ira anyimo avana Asere.
Salimianeni kwa busu la upendo. Amani iwe nanyi nyote mlio katika Kristo.

< 1 Ubiturus 5 >