< Salmi 149 >

1 Alleluia. Cantate all’Eterno un nuovo cantico, cantate la sua lode nell’assemblea dei fedeli.
Msifuni Yahwe. Mwimbieni Yahwe wimbo mpya; imbeni sifa zake katika kusanyiko la waaminifu.
2 Si rallegri Israele in colui che lo ha fatto, esultino i figliuoli di Sion nel loro re.
Israeli ishangilie katika yeye aliye iumba; watu wa Sayuni na washangilie katika mfalme wao.
3 Lodino il suo nome con danze, gli salmeggino col timpano e la cetra,
Nao walisifu jina lake kwa kucheza; na wamuimbie sifa yeye kwa ngoma na kinubi.
4 perché l’Eterno prende piacere nel suo popolo, egli adorna di salvezza gli umili.
Kwa kuwa Yahwe hupata furaha katika watu wake; huwapa utukufu wanyeyekevu kwa wokovu.
5 Esultino i fedeli adorni di gloria, cantino di gioia sui loro letti.
Wacha Mungu wauchangilie ushindi; nao waimbe kwa furaha vitandani mwao.
6 Abbiano in bocca le alte lodi di Dio, una spada a due tagli in mano
Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao na panga mbili zenye makali mkononi mwao
7 per far vendetta delle nazioni e infligger castighi ai popoli;
kutekeleza kisasi juu ya mataifa na matendo ya adhabu juu ya watu.
8 per legare i loro re con catene e i loro nobili con ceppi di ferro,
Nao watawafunga wafalme wao kwa minyororo na wakuu wao kwa pingu za chuma. Watatekeleza hukumu ambayo imeandikwa.
9 per eseguir su loro il giudizio scritto. Questo è l’onore che hanno tutti i suoi fedeli. Alleluia.
Hii itakuwa ni heshima kwa ajili ya watakatifu wake wote. Msifuni Yahwe.

< Salmi 149 >