< Salmi 6 >

1 Salmo di Davide, [dato] al Capo de' Musici, in Neghinot, sopra Seminit SIGNORE, non correggermi nella tua ira, E non gastigarmi nel tuo cruccio.
Yahweh, usinikemee ukiwa na hasira au usiniadhibu katika gadhabu yako.
2 Abbi pietà di me, o Signore; perciocchè io [son] tutto fiacco; Sanami, Signore; perciocchè le mie ossa son tutte smarrite.
Unihurumie, Yahwe, kwa maana ni dhaifu; uniponye, Yahweh, kwa kuwa mifupa yangu ina tikisika.
3 L'anima mia eziandio è grandemente smarrita; E tu, Signore, infino a quando?
Moyo wangu pia umesumbuka sana. Lakini wewe, Yahweh, mpaka lini hali hii itaendelea?
4 Rivolgiti, o Signore; riscuoti l'anima mia; Salvami, per amor della tua benignità.
Rudi, Yahweh! uniokoe. Uniokoe kwa sababu ya uaminifu wa agano lako!
5 Perciocchè nella morte non [v'è] memoria di te; Chi ti celebrerà nel sepolcro? (Sheol h7585)
kwa kuwa kifoni hakuna kumbukumbu lako. Kuzimuni ni nani atakaye kushukuru? (Sheol h7585)
6 Io mi affanno ne' miei sospiri; Io allago tutta notte il mio letto, E bagno la mia lettiera colle mie lagrime.
Nimechoshwa na kuugua kwangu. Ninalowanisha kitanda changu kwa machozi usiku kucha; ninaosha kiti changu kwa machozi.
7 L' occhio mio è consumato di fastidio; Egli è invecchiato per cagione di tutti i miei nemici.
Macho yangu yanafifia kwa kulia sana; yanazidi kuwa dhaifu kwa sababu ya adaui zangu.
8 Ritraetevi da me, [voi] tutti operatori d'iniquità; Perciocchè il Signore ha udita la voce del mio pianto.
Ondokeni kwangu, nyote mtendao maovu; kwa kuwa Yahweh amesikia sauti ya kilio changu.
9 Il Signore ha udita la mia supplicazione; Il Signore ha accettata la mia orazione.
Yahweh amesikia malalamiko yangu kwa ajili ya huruma; Yahweh ameyapokea maombi yangu.
10 Tutti i miei nemici sieno confusi, e grandemente smarriti; Voltin le spalle, e sieno svergognati in un momento.
Maadui zangu wote wataaibishwa na kuteswa sana. Watarudi nyuma na ghafra kufedheheshwa.

< Salmi 6 >