< Salmi 50 >

1 Salmo di Asaf IL Signore, l'Iddio degl'iddii, ha parlato, ed ha gridato alla terra, Dal sol Levante, infino al Ponente.
Mungu, Mwenye nguvu, Yahwe, amenena naye aliita nchi toka mawio ya jua mpaka machweo yake.
2 Iddio è apparito in gloria, Da Sion, [luogo di] compiuta bellezza.
Tokea Sayuni, Mungu ameangaza, ukamilifu wa uzuri.
3 L'Iddio nostro verrà, e non se ne starà cheto; Egli avrà davanti a sè un fuoco divorante, E d'intorno a sè una forte tempesta.
Mungu wetu huja naye hakai kimya; mbele yake moto hula, na kuna dhoruba kubwa karibu naye.
4 Egli griderà da alto al cielo, Ed alla terra, per giudicare il suo popolo;
Yeye huziita mbingu zilizo juu na nchi ili kwamba aweze kuwahukumu watu wake:
5 [E dirà: ] Adunatemi i miei santi, I quali han fatto meco patto con sacrificio.
Kwa pamoja kusanyikeni waaminifu wangu kwangu, wale waliofanya nami agano kwa sadaka.”
6 E i cieli racconteranno la sua giustizia; Perciocchè egli [è] Iddio Giudice. (Sela)
Mbingu zitatangaza haki yake, kwa maana Mungu mwenyewe ndiye jaji. Serah
7 Ascolta, popol mio, ed io parlerò; [Ascolta], Israele, ed io ti farò le mie protestazioni. Io [sono] Iddio, l'Iddio tuo.
Sikilizeni, watu wangu, nami nitazungumza; mimi ni Mungu, Mungu wenu.
8 Io non ti riprenderò per li tuoi sacrificii, Nè per li tuoi olocausti che mi [sono] continuamente presentati.
Sitawakaripia ninyi kwa ajili ya sadaka zenu; sadaka zenu za kuteketeza ziko nami siku zote.
9 Io non prenderò giovenchi dalla tua casa, [Nè] becchi dalle tue mandre.
Sitachukua ng'ombe katika nyumba yenu, wala beberu katika mazizi yenu.
10 Perciocchè mie [sono] tutte le bestie delle selve; [Mio è] tutto il bestiame [che è] in mille monti.
Kwa maana kila mnyama wa msituni ni wangu, nao ng'ombe kwenye milima elfu ni wangu.
11 Io conosco tutti gli uccelli de' monti; E le fiere della campagna [sono] a mio comando.
Ninawajua ndege wa mlimani, na wanyama pori katika shamba ni wangu.
12 Se io avessi fame, io non te lo direi; Perciocchè il mondo, e tutto quello ch'è in esso, [è] mio.
Kama ningekuwa na njaa, nisingewaambia ninyi; maana ulimwengu ni wangu, na vyote vilivyomo.
13 Mangio io carne di tori, O bevo io sangue di becchi?
Je! sitakula nyama ya ngombe na kunywa damu ya mbuzi?
14 Sacrifica lode a Dio, E paga all'Altissimo i tuoi voti.
Mtoleeni Mungu sadaka za shukurani, na mlipe viapo vyenu kwa Aliye Juu.
15 E invocami nel giorno della distretta, Ed io te [ne] trarrò fuori, e tu mi glorificherai.
Mniite katika siku ya shida; nami nitawaokoa
16 Ma all'empio Iddio ha detto: Che hai tu da far a raccontare i miei statuti, Ed a recarti il mio patto in bocca?
Lakini kwa waovu Mungu anasema, “Inawahusu nini kuitangaza hali yangu, kwamba ninyi mmeliweka agano langu mdomoni mwenu,
17 Conciossiachè tu odii correzione, E getti dietro a te le mie parole.
wakati ninyi mnayachukia maelekezo na mnayatupa maneno yangu?
18 Se tu vedi un ladro, tu prendi piacere d'essere in sua compagnia; E la tua parte [è] con gli adulteri.
Mumuanapo mwizi, ninyi hukubaliana naye; ninyi na mnashirikiana na wale wafanyao uasherati.
19 Tu metti la tua bocca al male, E la tua lingua congegna frode.
Mwautoa mdomo wenu kwa mabaya, huelezea udanganyifu.
20 Tu siedi, [e] parli contro al tuo fratello, [E] metti biasimo sopra il figliuol di tua madre.
Mnakaa na kuongea dhidi ya ndugu yenu; na kukashfu mwana wa mama yenu.
21 Tu hai fatte queste cose, ed io mi sono taciuto; [E] tu hai pensato, che del tutto io era simile a te. Io ti arguirò, e te [le] spiegherò in su gli occhi.
Mmefanya mambo haya, lakini nimekaa kimya, hivyo mlidhani kuwa ni mtu flani nilliye kama ninyi mlivyo. Lakini nitawakaripia ninyi na kuwafunua, mbele ya macho yenu, mambo yote miliyofanya.
22 Deh! intendete questo, [voi] che dimenticate Iddio; Che talora io non rapisca, e non [vi sia] alcuno che riscuota.
Mlitilie maanani hili, ninyi mnao msahau Mungu, vinginevyo nitawakata ninyi vipande vipande, na hatakuwepo yeyote wakuja kuwasaidia!
23 Chi sacrifica lode mi glorifica, E chi addirizza la [sua] via, Io gli mostrerò la salute di Dio.
Yule atoaye sadaka ya shukurani hunitukuza, na yeyote apangaye njia zake katika namna iliyo sahihi nitamuonesha wokovu wa Mungu.”

< Salmi 50 >