< Salmi 34 >

1 [Salmo] di Davide, intorno a ciò ch'egli si contraffece davanti ad Abimelec; onde esso lo cacciò via, ed egli se ne andò IO benedirò il Signore in ogni tempo; La sua lode [sarà] sempre nella mia bocca.
Nitamsifu Yahwe wakati wote, siku zote sifa zake zitakuwa mdomoni mwangu.
2 L'anima mia si glorierà nel Signore; Gli umili l'udiranno, e si rallegreranno.
Nitamsifu Yahwe! walio onewa wasikie na kufurahi.
3 Magnificate meco il Signore, Ed esaltiamo [tutti] insieme il suo Nome.
Msifuni Yahwe pamoja nami, kwa pamoja tuliinue jina lake.
4 Io ho cercato il Signore, ed egli mi ha risposto, E mi ha liberato da tutti i miei spaventi.
Nilimuomba Yahwe msaada naye akanijibu, akanipa ushindi juu ya hofu yangu yote.
5 Quelli che hanno riguardato a lui sono stati illuminati, E le lor facce non sono state svergognate.
Wale wanao mtazama yeye wana furaha, na nyuso zao hazina aibu.
6 Questo povero afflitto ha gridato, e il Signore l'ha esaudito, E l'ha salvato da tutte le sue distrette.
Huyu mtu aliye onewa alilia na Yahwe akamsikia na kumuokoa kwenye matatizo yake yote.
7 Gli Angeli del Signore sono accampati intorno a quelli che lo temono, E li liberano.
Malaika wa Yahwe huweka kambi wakiwazunguka wale wanao muogopa yeye na kuwaokoa.
8 Gustate, e vedete quanto il Signore [è] buono; Beato l'uomo [che] spera in lui.
Onjeni muone Yahwe ni mzuri. Amebarikiwa mtu yule ambaye Yahwe ni kimbilio lake.
9 Temete il Signore, [voi] suoi santi; Poichè nulla manca a quelli che lo temono.
Muogopeni Yahwe, ninyi watu watakatifu wake. Hakuna kupungukikwa kwa wale wanao mhofu yeye.
10 I leoncelli soffrono necessità e fame; Ma quelli che cercano il Signore non hanno mancamento di alcun bene.
Simba wadogo wakati mwingine hukosa chakula na kuteseka kwa njaa, bali wale wamtafutao Yahwe hawatapungukiwa chochote kilicho kizuri.
11 Venite, figliuoli, ascoltatemi; Io v'insegnerò il timor del Signore.
Njoni, wana, mnisikilize mimi. nitawafundisha ninyi hofu ya Yahwe.
12 Quale [è] l'uomo che abbia voglia di vivere, Che ami [lunghezza di] giorni per veder del bene?
Mtu nani aliyepo ambaye anatamani maisha na anapenda kuwa na siku nyingi, ili kwamba aweze kuona vizuri?
13 Guarda la tua lingua dal male, E le tue labbra da parlar frode.
Hivyo uepushe ulimi wako na uovu na uilinde midomo yako kuongea uongo.
14 Ritratti dal male, e fa' il bene; Cerca la pace, e procacciala.
Uache uovu na utende mema. Uitafute amani na kuiendea amani.
15 Gli occhi del Signore [son] verso i giusti, E le sue orecchie [sono attente] al grido loro.
Macho ya Yahwe yako kwenye haki na masikio yake huelekea kulia kwao.
16 La faccia del Signore [è] contro a quelli che fanno male, Per isterminare la lor memoria d'in su la terra.
Uso wa Yahwe uko kinyume na wale watendao uovu, kuikatilia mbali kumbukumbu yao duniani.
17 [I giusti] gridano, e il Signore [li] esaudisce, E li libera da tutte le lor distrette.
Wenye haki hulia na Yahwe husikia na kuwaokoa kwenye matatizo yao yote.
18 Il Signore [è] presso di quelli che hanno il cuor rotto, E salva quelli che hanno lo spirito contrito.
Yahwe yu karibu nao waliovunjika moyo, naye huwaokoa waliogandamizwa rohoni.
19 Molte [son] le afflizioni del giusto; Ma il Signore lo libererà da tutte.
Mateso ya wenye haki ni mengi, bali Yahwe huwaokoa nayo yote.
20 Egli guarda tutte le ossa di esso: E niuno ne può esser rotto.
Yeye huitunza mifupa yake yote, hakuna hata mmoja wao utavunjika.
21 La malvagità farà morire il malvagio, E quelli che odiano il giusto saran distrutti.
Uovu utawauwa waovu. Wale wachukiao haki watahukumiwa.
22 Il Signore riscatta l'anima de' suoi servitori; E niuno di quelli che sperano in lui sarà distrutto.
Yahwe huokoa maisha ya watumishi wake. Hakuna atakaye hukumiwa hata mmoja atafutaye usalama katika yeye.

< Salmi 34 >