< Salmi 149 >

1 ALLELUIA. Cantate al Signore un nuovo cantico; [Cantate] la sua lode nella raunanza de' santi.
Msifuni Yahwe. Mwimbieni Yahwe wimbo mpya; imbeni sifa zake katika kusanyiko la waaminifu.
2 Rallegrisi Israele nel suo Fattore; Festiggino i figliuoli di Sion nel Re loro.
Israeli ishangilie katika yeye aliye iumba; watu wa Sayuni na washangilie katika mfalme wao.
3 Lodino il suo Nome sul flauto; Salmeggingli col tamburo e colla cetera.
Nao walisifu jina lake kwa kucheza; na wamuimbie sifa yeye kwa ngoma na kinubi.
4 Perciocchè il Signore gradisce il suo popolo; Egli glorificherà i mansueti per la [sua] salute.
Kwa kuwa Yahwe hupata furaha katika watu wake; huwapa utukufu wanyeyekevu kwa wokovu.
5 I santi festeggeranno con gloria, Canteranno sopra i lor letti;
Wacha Mungu wauchangilie ushindi; nao waimbe kwa furaha vitandani mwao.
6 Avranno nella lor gola le esaltazioni di Dio, E nelle mani spade a due tagli;
Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao na panga mbili zenye makali mkononi mwao
7 Per far vendetta fra le genti, [E] castigamenti fra i popoli.
kutekeleza kisasi juu ya mataifa na matendo ya adhabu juu ya watu.
8 Per legare i loro re con catene, E gli onorati d'infra loro con ceppi di ferro;
Nao watawafunga wafalme wao kwa minyororo na wakuu wao kwa pingu za chuma. Watatekeleza hukumu ambayo imeandikwa.
9 Per mandare ad esecuzione sopra loro il giudicio scritto; Il che [sarà] gloria a tutti i suoi santi. Alleluia.
Hii itakuwa ni heshima kwa ajili ya watakatifu wake wote. Msifuni Yahwe.

< Salmi 149 >