< Salmi 13 >

1 Salmo di Davide, [dato] al Capo de' Musici INFINO a quando, o Signore? mi dimenticherai tu in perpetuo? Infino a quando nasconderai la tua faccia da me?
Mpaka lini, Yahweh, utaendelea kunisahau? Ni kwa muda gani utauficha uso wako nisiuone?
2 Infino a quando non farò altro tuttodì che consigliar nell'animo, Ed affannarmi nel cuore? Infino a quando s'innalzerà il mio nemico sopra me?
Ni kwa muda gani nitalazimika kuhofu na kuhuzunika moyoni mwangu kila siku? Ni kwa muda gani adui zangu watanishida?
3 Riguarda, rispondimi, Signore Iddio mio; Illumina gli occhi miei, Che talora io non dorma [il sonno del]la morte;
Unitazame na unijibu, Yahwe Mungu wangu! Nipe mwanga machoni pangu, vinginevyo nitalala katika mauti.
4 Che il mio nemico non dica: Io l'ho vinto; E che i miei nemici [non] festeggino, se io caggio.
Usimuache adui yangu aseme, “Nimemshinda huyu,” ili kwamba asiweze kusema, “Nimemtawala adui yangu;” la sivyo, maadui zangu watafurahia nitakapo shushwa chini.
5 Ora, quant'è a me, io mi confido nella tua benignità; Il mio cuore giubilerà nella tua liberazione;
Lakini nimeamini katika uaminifu wa agano lako; moyo wangu wafurahia katika wokovu wako.
6 Io canterò al Signore, perciocchè egli mi avrà fatta la mia retribuzione.
Nitamuimbia Yahwe kwa kuwa ameniganga kwa ukarimu kabisa.

< Salmi 13 >