< Salmi 120 >

1 Cantico di Maalot IO ho gridato al Signore, quando sono stato in distretta, Ed egli mi ha risposto.
Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
2 O Signore, riscuoti l'anima mia dalle labbra bugiarde, E dalla lingua frodolente.
Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
3 Che ti darà, e che ti aggiungerà La lingua frodolente?
Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
4 [Ella è simile a] saette acute, [tratte] da un uomo prode; Ovvero anche a brace di ginepro.
Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
5 Ahimè! che soggiorno in Mesec, [E] dimoro presso alle tende di Chedar!
Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
6 La mia persona è [omai] assai dimorata Con quelli che odiano la pace.
Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
7 Io [sono uomo di] pace; ma, quando [ne] parlo, Essi [gridano] alla guerra.
Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.

< Salmi 120 >