< Salmi 87 >

1 Le sue fondamenta sono sui monti santi; Dei figli di Core. Salmo. Canto.
Zaburi ya wana wa Kora. Wimbo. Ameuweka msingi wake katika mlima mtakatifu;
2 il Signore ama le porte di Sion più di tutte le dimore di Giacobbe.
Bwana anayapenda malango ya Sayuni kuliko makao yote ya Yakobo.
3 Di te si dicono cose stupende, città di Dio.
Mambo matukufu yanasemwa juu yako, ee mji wa Mungu:
4 Ricorderò Raab e Babilonia fra quelli che mi conoscono; ecco, Palestina, Tiro ed Etiopia: tutti là sono nati.
“Nitaweka kumbukumbu ya Rahabu na Babeli miongoni mwa wale wanaonikubali mimi: Ufilisti pia na Tiro, pamoja na Kushi, nami nitasema, ‘Huyu alizaliwa Sayuni.’”
5 Si dirà di Sion: «L'uno e l'altro è nato in essa e l'Altissimo la tiene salda».
Kuhusu Sayuni itasemwa hivi, “Huyu na yule walizaliwa humo, naye Aliye Juu Sana mwenyewe atamwimarisha.”
6 Il Signore scriverà nel libro dei popoli: «Là costui è nato».
Bwana ataandika katika orodha ya mataifa: “Huyu alizaliwa Sayuni.”
7 E danzando canteranno: «Sono in te tutte le mie sorgenti».
Watakapokuwa wanapiga vinanda wataimba, “Chemchemi zangu zote ziko kwako.”

< Salmi 87 >