< Salmi 4 >

1 Al maestro del coro. Per strumenti a corda. Salmo. Di Davide. Quando ti invoco, rispondimi, Dio, mia giustizia: dalle angosce mi hai liberato; pietà di me, ascolta la mia preghiera.
Unijibu nikuitapo, Mungu wa haki yangu; uniokoe niwapo katika hatari. Unihurumie na usikie maombi yangu.
2 Fino a quando, o uomini, sarete duri di cuore? Perché amate cose vane e cercate la menzogna?
Ninyi watu, mpaka lini mtaiabisha heshima yangu? Mpaka lini mtaendelea kupenda kile kisicho stahili na kutafuta uongo?
3 Sappiate che il Signore fa prodigi per il suo fedele: il Signore mi ascolta quando lo invoco.
Lakini mjue ya kuwa Yahweh huchagua watu wa kimungu kwa ajili yake. Nitakapo mwita Yahwe atasikia.
4 Tremate e non peccate, sul vostro giaciglio riflettete e placatevi.
Tetemekeni na kuogopa, lakini msitende dhambi! Tafakarini mioyoni mwenu kwenye vitanda vyenu na muwe kimya.
5 Offrite sacrifici di giustizia e confidate nel Signore.
Toeni matoleo ya haki na muweke imani yenu katika Yahweh.
6 Molti dicono: «Chi ci farà vedere il bene?». Risplenda su di noi, Signore, la luce del tuo volto.
Wengi husema, “Ni nani atakaye tuonyesha chochote kilicho kizuri?” Yahweh, utuangazie nuru ya uso wako.
7 Hai messo più gioia nel mio cuore di quando abbondano vino e frumento.
Umeupa moyo wangu furaha kuu kuliko wao wanapozidishiwa nafaka na divai mpaya.
8 In pace mi corico e subito mi addormento: tu solo, Signore, al sicuro mi fai riposare.
Ni amani kuwa nitajilaza na kusinzia, kwako pekee, Yahweh, nifanye kuwa salama kabisa.

< Salmi 4 >