< Salmi 34 >

1 Di Davide, quando si finse pazzo in presenza di Abimelech e, da lui scacciato, se ne andò. Benedirò il Signore in ogni tempo, sulla mia bocca sempre la sua lode.
Nitamsifu Yahwe wakati wote, siku zote sifa zake zitakuwa mdomoni mwangu.
2 Io mi glorio nel Signore, ascoltino gli umili e si rallegrino.
Nitamsifu Yahwe! walio onewa wasikie na kufurahi.
3 Celebrate con me il Signore, esaltiamo insieme il suo nome.
Msifuni Yahwe pamoja nami, kwa pamoja tuliinue jina lake.
4 Ho cercato il Signore e mi ha risposto e da ogni timore mi ha liberato.
Nilimuomba Yahwe msaada naye akanijibu, akanipa ushindi juu ya hofu yangu yote.
5 Guardate a lui e sarete raggianti, non saranno confusi i vostri volti.
Wale wanao mtazama yeye wana furaha, na nyuso zao hazina aibu.
6 Questo povero grida e il Signore lo ascolta, lo libera da tutte le sue angosce.
Huyu mtu aliye onewa alilia na Yahwe akamsikia na kumuokoa kwenye matatizo yake yote.
7 L'angelo del Signore si accampa attorno a quelli che lo temono e li salva.
Malaika wa Yahwe huweka kambi wakiwazunguka wale wanao muogopa yeye na kuwaokoa.
8 Gustate e vedete quanto è buono il Signore; beato l'uomo che in lui si rifugia.
Onjeni muone Yahwe ni mzuri. Amebarikiwa mtu yule ambaye Yahwe ni kimbilio lake.
9 Temete il Signore, suoi santi, nulla manca a coloro che lo temono.
Muogopeni Yahwe, ninyi watu watakatifu wake. Hakuna kupungukikwa kwa wale wanao mhofu yeye.
10 I ricchi impoveriscono e hanno fame, ma chi cerca il Signore non manca di nulla.
Simba wadogo wakati mwingine hukosa chakula na kuteseka kwa njaa, bali wale wamtafutao Yahwe hawatapungukiwa chochote kilicho kizuri.
11 Venite, figli, ascoltatemi; v'insegnerò il timore del Signore.
Njoni, wana, mnisikilize mimi. nitawafundisha ninyi hofu ya Yahwe.
12 C'è qualcuno che desidera la vita e brama lunghi giorni per gustare il bene?
Mtu nani aliyepo ambaye anatamani maisha na anapenda kuwa na siku nyingi, ili kwamba aweze kuona vizuri?
13 Preserva la lingua dal male, le labbra da parole bugiarde.
Hivyo uepushe ulimi wako na uovu na uilinde midomo yako kuongea uongo.
14 Stà lontano dal male e fà il bene, cerca la pace e perseguila.
Uache uovu na utende mema. Uitafute amani na kuiendea amani.
15 Gli occhi del Signore sui giusti, i suoi orecchi al loro grido di aiuto.
Macho ya Yahwe yako kwenye haki na masikio yake huelekea kulia kwao.
16 Il volto del Signore contro i malfattori, per cancellarne dalla terra il ricordo.
Uso wa Yahwe uko kinyume na wale watendao uovu, kuikatilia mbali kumbukumbu yao duniani.
17 Gridano e il Signore li ascolta, li salva da tutte le loro angosce.
Wenye haki hulia na Yahwe husikia na kuwaokoa kwenye matatizo yao yote.
18 Il Signore è vicino a chi ha il cuore ferito, egli salva gli spiriti affranti.
Yahwe yu karibu nao waliovunjika moyo, naye huwaokoa waliogandamizwa rohoni.
19 Molte sono le sventure del giusto, ma lo libera da tutte il Signore.
Mateso ya wenye haki ni mengi, bali Yahwe huwaokoa nayo yote.
20 Preserva tutte le sue ossa, neppure uno sarà spezzato.
Yeye huitunza mifupa yake yote, hakuna hata mmoja wao utavunjika.
21 La malizia uccide l'empio e chi odia il giusto sarà punito.
Uovu utawauwa waovu. Wale wachukiao haki watahukumiwa.
22 Il Signore riscatta la vita dei suoi servi, chi in lui si rifugia non sarà condannato.
Yahwe huokoa maisha ya watumishi wake. Hakuna atakaye hukumiwa hata mmoja atafutaye usalama katika yeye.

< Salmi 34 >