< Proverbi 18 >

1 Chi si tiene appartato cerca pretesti e con ogni mezzo attacca brighe.
Yule ambaye hujitenga hutafuta matakwa yake mwenyewe na hupingana na hukumu zote za kweli.
2 Lo stolto non ama la prudenza, ma vuol solo far mostra dei suoi sentimenti.
Mpumbavu hapati raha katika ufahamu, lakini hufunua kile kilichopo katika moyo wake.
3 Con l'empietà viene il disprezzo, con il disonore anche l'ignominia.
Mtu mwovu anapokuja, dharau huja pamoja naye- sambamba na aibu na shutuma.
4 Le parole della bocca dell'uomo sono acqua profonda, la fonte della sapienza è un torrente che straripa.
Maneno ya kinywa cha mtu ni maji yenye kina kirefu; chemchemi ya hekima ni mkondo unaotiririka.
5 Non è bene usar riguardi all'empio per far torto al giusto in un giudizio.
Si vema kuwa na upendeleo kwa mwovu, wala haifai kukana haki kwa wale watendao mema.
6 Le labbra dello stolto provocano liti e la sua bocca gli provoca percosse.
Midomo ya mpumbavu huletea mafarakano na kinywa chake hukaribisha mapigo.
7 La bocca dello stolto è la sua rovina e le sue labbra sono un laccio per la sua vita.
Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake na hujinasa mwenye kwa midomo yake.
8 Le parole del calunniatore sono come ghiotti bocconi che scendono in fondo alle viscere.
Maneno ya mmbea ni kama chembe tamu na hushuka katika sehema za ndani sana kwenye mwili.
9 Chi è indolente nel lavoro è fratello del dissipatore.
Basi, ambaye ni mzembe katika kazi yake ni ndugu yake anayeharibu wengi.
10 Torre fortissima è il nome del Signore: il giusto vi si rifugia ed è al sicuro.
Jina la Yehova ni mnara imara; atendaye haki hukimbilia na kuwa salama.
11 I beni del ricco sono la sua roccaforte, come un'alta muraglia, a suo parere.
Mali ya tajiri ni mji wake imara na katika fikira zake ni kama ukuta mrefu.
12 Prima della caduta il cuore dell'uomo si esalta, ma l'umiltà viene prima della gloria.
Moyo wa mtu huwa na kiburi kabla ya anguko lake, bali unyenyekevu hutangulia kabla ya heshima.
13 Chi risponde prima di avere ascoltato mostra stoltezza a propria confusione.
Anayejibu kabla ya kusikiliza- ni upuuzi na aibu yake.
14 Lo spirito dell'uomo lo sostiene nella malattia, ma uno spirito afflitto chi lo solleverà?
Roho ya mtu itajinusuru na madhara, bali roho iliyopondeka nani anaweza kuivumilia?
15 La mente intelligente acquista la scienza, l'orecchio dei saggi ricerca il sapere.
Moyo wa mwenye akili hujipatia maarifa na usikivu wa mwenye busara huitafuta.
16 Il dono fa largo all'uomo e lo introduce alla presenza dei grandi.
Zawadi ya mtu inaweza kufungua njia na kumleta mbele ya mtu muhimu.
17 Il primo a parlare in una lite sembra aver ragione, ma viene il suo avversario e lo confuta.
Wa kwanza kujitetea katika shitaka lake huonekana kuwa na haki hadi mpinzani wake aje na kumuuliza maswali.
18 La sorte fa cessar le discussioni e decide fra i potenti.
Kupiga kura kunamaliza mabishano na kuwatawanya wapinzani imara.
19 Un fratello offeso è più irriducibile d'una roccaforte, le liti sono come le sbarre di un castello.
Ndugu aliyechukizwa ni mgumu kushawishiwa kuliko mji wenye nguvu, na kugombana ni kama makomeo ya ngome.
20 Con la bocca l'uomo sazia il suo stomaco, egli si sazia con il prodotto delle labbra.
Tumbo la mtu litashiba kutoka kwenye tunda la kinywa chake; atatoshelezwa kwa mavuno ya midomo yake.
21 Morte e vita sono in potere della lingua e chi l'accarezza ne mangerà i frutti.
Uzima na kifo hutawaliwa kwa ulimi, na wale wenye kuupenda ulimi watakula tunda lake.
22 Chi ha trovato una moglie ha trovato una fortuna, ha ottenuto il favore del Signore.
Yeye apataye mke anapata kitu chema na kupokea fadhila kutoka kwa Yehova.
23 Il povero parla con suppliche, il ricco risponde con durezza.
Mtu masikini huomba rehema, lakini mtu tajiri hujibu kwa ukali.
24 Ci sono compagni che conducono alla rovina, ma anche amici più affezionati di un fratello.
Anayejidai kwa marafiki wengi watamleta katika uharibifu, bali yupo rafiki ambaye huwa karibu kuliko ndugu.

< Proverbi 18 >