< Giobbe 39 >

1 Sai tu quando figliano le camozze e assisti al parto delle cerve?
Je unajua ni wakati gani mbuzi mwitu huzaa watoto wao katika miamba? Je waweza kuwangalia paa wakati wanapozaa watoto wao?
2 Conti tu i mesi della loro gravidanza e sai tu quando devono figliare?
Waweza kuhesabu miezi ya kuchukua mimba? Je unaujua muda ambao huzaa watoto wao?
3 Si curvano e depongono i figli, metton fine alle loro doglie.
Wanainama chini na kuzaa watoto wao, na kisha maumivu yao ya uzazi yanaishi.
4 Robusti sono i loro figli, crescono in campagna, partono e non tornano più da esse.
Watoto wao huwa na nguvu na kukua katika uwanda wa wazi; hutoka nje na hawarudi tena.
5 Chi lascia libero l'asino selvatico e chi scioglie i legami dell'ònagro,
Ni nani huwaacha punda mwitu waende huru? Je nani amevilegeza vifungo vya punda wepesi,
6 al quale ho dato la steppa per casa e per dimora la terra salmastra?
ni nyumba ya nani nimeifanya katika Araba, au nyumba yake katika nchi ya chumvi?
7 Del fracasso della città se ne ride e gli urli dei guardiani non ode.
Hucheka kwa dharau katika kelele katika mji; hasikilizi kelele za mwongozaji.
8 Gira per le montagne, sua pastura, e va in cerca di quanto è verde.
Hutembeatembea juu ya milima kama malisho yake; huko hutafuta kila mmea ulio wa kijani kwa ajili ya kula.
9 Il bufalo si lascerà piegare a servirti o a passar la notte presso la tua greppia?
Je nyati atakuwa na furaha kukutumikia? Je atakubali kukaa katika zizi lako?
10 Potrai legarlo con la corda per fare il solco o fargli erpicare le valli dietro a te?
Waweza kumwongoza nyati kulima mtaro kwa kamba? Je atachimba bonde kwa ajili yako?
11 Ti fiderai di lui, perché la sua forza è grande e a lui affiderai le tue fatiche?
Je waweza kumtumaini kwasababu ya nguvu zake nyingi? Je waweza kumwachia kazi yako ili aifanye?
12 Conterai su di lui, che torni e raduni la tua messe sulla tua aia?
Je waweza kumtegemea akuletee nyumbani nafaka, au kukusanya nafaka katika uwanda wako wa kupuria?
13 L'ala dello struzzo batte festante, ma è forse penna e piuma di cicogna?
Mabawa ya mbuni hupunga kwa majivuno, bali je mabawa na manyoya yana upendo?
14 Abbandona infatti alla terra le uova e sulla polvere le lascia riscaldare.
Kwa maana huuacha mayai yake katika nchi, na huyaacha yapate joto katika mavumbi;
15 Dimentica che un piede può schiacciarle, una bestia selvatica calpestarle.
husahau kuwa mguu waweza kuyaharibu au kwamba mnyama mwitu aweza kuyakanyaga.
16 Tratta duramente i figli, come se non fossero suoi, della sua inutile fatica non si affanna,
Huyatendea vibaya makinda yake kana kwamba si yake; haogopi kwamba kazi yake yaweza kupotea bure,
17 perché Dio gli ha negato la saggezza e non gli ha dato in sorte discernimento.
kwasababu Mungu amemnyima hekima na hajampa ufahamu wowote.
18 Ma quando giunge il saettatore, fugge agitando le ali: si beffa del cavallo e del suo cavaliere.
Na wakati anapokimbia kwa haraka, huwacheka kwa dharau farasi na mpanda farasi wake.
19 Puoi tu dare la forza al cavallo e vestire di fremiti il suo collo?
Je umempa farasi nguvu zake? Je umeivika shingo yake kwa manyoya?
20 Lo fai tu sbuffare come un fumaiolo? Il suo alto nitrito incute spavento.
Je umemfanya aruke kama panzi? Enzi ya mlio wake ni wa kutisha.
21 Scalpita nella valle giulivo e con impeto va incontro alle armi.
Hurarua kwa nguvu na kufurahia katika nguvu zake; hukimbia upesi kukutana na silaha.
22 Sprezza la paura, non teme, né retrocede davanti alla spada.
Huidharau hofu na hashangazwi; huwa harudi nyuma kutoka katika upanga.
23 Su di lui risuona la faretra, il luccicar della lancia e del dardo.
Podo hugongagonga ubavuni mwake, pamoja na mkuki unaong'aa na fumo.
24 Strepitando, fremendo, divora lo spazio e al suono della tromba più non si tiene.
Huimeza nchi kwa hasira na ghadhabu; katika sauti ya tarumbeta, hawezi kusimama sehemu moja.
25 Al primo squillo grida: «Aah!...» e da lontano fiuta la battaglia, gli urli dei capi, il fragor della mischia.
Wakati wowote tarumbeta inapolia, husema, 'Ooh! Huisikia harufu ya vita kutoka mbali - vishindo vya radi za makamanda na makelele.
26 Forse per il tuo senno si alza in volo lo sparviero e spiega le ali verso il sud?
Je ni kwa hekima yako kwamba mwewe hupaa juu, na ya kuwa huyanyosha mabawa yake kwa upande wa kusini?
27 O al tuo comando l'aquila s'innalza e pone il suo nido sulle alture?
Je ni kwa agizo lako kwamba tai huruka juu na kufanya kiota chake katika sehemu za juu?
28 Abita le rocce e passa la notte sui denti di rupe o sui picchi.
Huishi katika majabali na hufanya makao yake katika vilele vya majabali, na ngomeni.
29 Di lassù spia la preda, lontano scrutano i suoi occhi.
Kutoka huko hutafuta mawindo; macho yake huyaona mawindo kutoka mbali.
30 I suoi aquilotti succhiano il sangue e dove sono cadaveri, là essa si trova.
Makinda yake hunywa damu pia; na pale walipo watu wafu, ndipo na yeye alipo.

< Giobbe 39 >