< Ufunuo 14 >

1 Nikagoza hange nikaona ng'wankolo winaekile ntongeela ane migulya mulugulu nula sayuni. Paalung'wi nung'wenso ai 144,000 naeakete elina lakwe nelina lakwe utata akwe ailiandekilwe kuntongeela nuusu nuao.
Kisha nikaona mlima Sioni, na Mwanakondoo amesimama juu yake; pamoja naye walikuwa watu mia moja arobaini na nne elfu ambao juu ya paji za nyuso zao walikuwa wameandikwa jina la Mwanakondoo na jina la Baba yake.
2 Nikija ululi kupuma kilunde aiekijika anga mululumo nua mazi nedu nululi lukulu nulalupeto. Ululi naenigule inge anga iekua impembe yao.
Basi, nikasikia sauti kutoka mbinguni, sauti iliyokuwa kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo kubwa. Sauti niliyosikia ilikuwa kama sauti ya wachezaji muziki wakipiga vinubi vyao.
3 Ikazemba wimbo upya ntongeela nituntu lautemi hange ntongeela ao awa niakete upanga neanne nianyampala. Kutile anga nuauhumi nuakumanya uwimbo nuanso inge wawadu 144,000 niakomowe kupumila mihe.
Walikuwa wanaimba wimbo mpya mbele ya kiti cha enzi na mbele ya wale viumbe hai wanne na wale wazee. Hakuna mtu aliyeweza kujifunza wimbo huo isipokuwa hao watu mia moja arobaini na nne elfu waliokombolewa duniani.
4 Awa wawa nisingangaa ikanzile ienso kuasungu, kundogoilyo aisungile ienso kuntendo yausambo, Inge wawa naiamutytile ung'wankolo pehi naekeze nkali yang'wandyo kung'wi Tunda hange nukung'wankolo.
Watu hao ndio wale waliojiweka safi kwa kutoonana kimwili na wanawake, nao ni mabikira. Wao humfuata Mwanakondoo kokote aendako. Wamekombolewa kutoka miongoni mwa binadamu wengine, wakawa wa kwanza kutolewa kwa Mungu na kwa Mwanakondoo.
5 Kutile anga utele naeutambuwe mumilomo ao shangaiemeilwe.
Hawakupata kamwe kuwa waongo; hawana hatia yoyote.
6 Nikamuona malaeka numuya akazewimekile mumalunde, naukete impola niyakilunde kunkani ninza kuatanatelya neikie mihe kukela ihe, ndugu, nambu niantu. (aiōnios g166)
Kisha nikamwona malaika mwingine anaruka juu angani akiwa na Habari Njema ya milele ya Mungu, aitangaze kwa watu wote waishio duniani, kwa mataifa yote, makabila yote, watu wa lugha zote na rangi zote. (aiōnios g166)
7 Wikaitanga kululi nulukulu, “mugopi Itunda hangi mupi uukulu. Kundogoilyo ematungo auamuli ahugela. Mukuli ung'wenso, nuanso nijeelyo yamaziwa.
Akasema kwa sauti kubwa, “Mcheni Mungu na kumtukuza! Maana saa imefika ya kutoa hukumu yake. Mwabuduni yeye aliyeumba mbingu na nchi, bahari na chemchemi za maji.”
8 Malaeka numungeza - malaeka wakabiile - wikatyata wikalunga, “Ugwie - ugwie Babeli nuukulu, nuang'wensilye ianyakilungu imagae naukosi, megaenanso ikaleta utaki kung'waakwe.
Malaika wa pili alimfuata huyo wa kwanza akisema, “Ameanguka! Naam, Babuloni mkuu ameanguka! Babuloni ambaye aliwapa mataifa yote wainywe divai yake—divai kali ya uzinzi wake!”
9 Malaeka numungeza - malaeka wakatatu wekaatyata wikalunga kululi, “Nulukulu wihi nuekakulya ekekale nekanso nududu wakwe, nukusingilya ugomola kuntongeela ausu wakwe kang'wi kumukono.
Na malaika wa tatu aliwafuata hao wawili akisema kwa sauti kubwa, “Yeyote anayemwabudu yule mnyama na sanamu yake na kukubali kutiwa alama yake juu ya paji la uso wake au juu ya mkono wake,
10 Nung'wenso ga ukung'wa imagae nautaki wang'wi Tunda imagai nanso aeazipegwa nukukunulwa singaeahalinkanigwe nikikombe kautaki wakwe. Umtunuekang'wa ukagigwa numoto hange numoto nuakebiliti ntongela amalaeka akwe niakuigwe hange btongeela ang'wankolo.
yeye mwenyewe atakunywa divai ya ghadhabu ya Mungu, ambayo imemiminwa katika kikombe cha ghadhabu yake bila kuchanganywa na maji. Mtu huyo atateseka ndani ya moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu na mbele ya Mwanakondoo.
11 Nulyuki nulaube wao ukalongola ikale nekale hange agila anga kusupya mong'we ang'wi utiku awa neekolya ikekale nudubu wakwe, hange kila umuntu nuusingeye ugomola nualina lakwe. (aiōn g165)
Moshi wa moto unaowatesa kupanda juu milele na milele. Watu hao waliomwabudu huyo mnyama na sanamu yake, na kutiwa alama ya jina lake, hawatakuwa na nafuu yoyote usiku na mchana.” (aiōn g165)
12 Uu witangwi wakulindela nukigigimelya kuakueli awa neze amagombile imalago ang'wi Tunda nuuhueli wang'wa Yesu.
Kutokana na hayo, ni lazima watu wa Mungu, yaani watu wanaotii amri ya Mungu na kumwamini Yesu, wawe na uvumilivu.
13 Aigule ululi kupuma milunde ekalunga, “Andekeaya; Bahu eashi neashie kung'wa Bwana, “Ee” alungile ung'waung'welu, “wahume kusupya kupumela mumikomo ao, indogoilyo intendo yao nukuatyata.”
Kisha nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, “Andika! Heri watu ambao tangu sasa wanakufa wakiwa wameungana na Bwana.” Naye Roho asema, “Naam! Watapumzika kutoka taabu zao; maana matunda ya jasho lao yatawafuata.”
14 Aingozile nikaona ailekole ilunde lyelu, hange naewikie milunde aiung'wi aewipyani nung'wana witu. Aukete engala azahabu mitwe lakwe numuundu utaki mumukono wakwe.
Kisha nikatazama, na kumbe palikuwapo wingu jeupe hapo. Na juu ya wingu hilo kulikuwa na kiumbe kama mtu. Alikuwa amevaa taji ya dhahabu kichwani, na kushika mundu mkononi mwake.
15 Malaeka mungeza wakeza hange kupuma mitekeelo hange wikitanga kululi lukenda kung'wa uyu naiwikie milunde: Hola umuundu wako wandye kuogola. Kunsoko imatungo akuogola apika, ndogoilyo imaogola apika namihe akonda.
Kisha malaika mwingine akatoka Hekaluni, na kwa sauti kubwa akamwambia yule aliyekuwa amekaa juu ya wingu, “Tafadhali, tumia mundu wako ukavune mavuno, maana wakati wa mavuno umefika; mavuno ya dunia yameiva.”
16 Hange uyu naukole milunde auekeeye umuundu wakwe mihe, nung'wenso aukete muundu utaki.
Basi, yule aliyekuwa amekaa juu ya wingu akautupa mundu wake duniani, na mavuno ya dunia yakavunwa.
17 Umalaeka numuya wakiza kupuma mitekeelo nila kilunde, nung'wenso aukete umuundu utaki.
Kisha malaika mwingine akatoka katika Hekalu mbinguni akiwa na mundu wenye makali.
18 Hange akele numalaeka numuya wekiza kupuma pakizindaalo, numalaeka naukete uhumi kumoto. Akamitanga kululi lukulu umalaeka naukete umuundu nuutaki, “Hola umuundu nuutaki hange wilingele imatambe amizabibu kupuma mumuzabibu nuihe, kunsoko azabibu yitungele yaelya.
Kisha malaika mwingine msimamizi wa moto, akatoka madhabahuni akamwambia kwa sauti kubwa yule malaika mwenye mundu wenye makali, “Nawe tia huo mundu wako mkali, ukakate vichala vya mizabibu ya dunia, maana zabibu zake zimeiva!”
19 Umalaeka wakatwala umuundu wakwe munu mihe hange wikilingeela imaogola azabibu yamihe hange wikaptya mipipa nikulu nilamagae ikuo lang'wi Tunda.
Basi, malaika huyo akautupa mundu wake duniani, akakata zabibu za dunia, akazitia ndani ya chombo kikubwa cha kukamulia zabibu, chombo cha ghadhabu ya Mungu.
20 Ipununtelo lamagae aeletulangile kunzi akesale nusakami wikahunuka kupuma mung'wanso mukimo kahatamu afalasi kustadia 1,600.
Zabibu zikakamuliwa ndani ya hilo shinikizo lililoko nje ya mji, na damu ikatoka katika shinikizo hilo mtiririko mrefu kiasi cha mita mia tatu na kina chake kiasi cha mita mia mbili.

< Ufunuo 14 >