< Luka 19 >
1 U Yesu aewingie nukukela mukate a Yeriko.
Yesu aliingia mjini Yeriko, akawa anapita katika njia za mji huo.
2 Nepang'wanso aukole muntu elina lakwe Zakayo. Hange ae mukulu waatoza ushulu hange muntu numugole.
Kulikuwa na mtu mmoja mjini, jina lake Zakayo ambaye alikuwa mkuu wa watoza ushuru tena mtu tajiri.
3 Aukugema kumuona u Yesu muntu wa namunake, lakini shanga aukondilye kuona kunsoko amilundo wa antu, kunsoko aemukupe wakimo.
Alitaka kuona Yesu alikuwa nani, lakini kwa sababu ya umati wa watu, na kwa vile alikuwa mfupi, hakufaulu.
4 Kuite wikatongela intambo ntongeela aantu, wikanankela migulya amunkuyu kuite wahume kuona, kunsoko u Yesu aewahumbela ukukeela inzila yeyo.
Hivyo, alitangulia mbio, akapanda juu ya mkuyu ili aweze kumwona Yesu, kwa maana alikuwa apitie hapo.
5 Imatungo u Yesu naupikile pang'wanso, augozile migulya akamuila, “Zakayo sima kaya, kundogoelyo lelo lazima nshinde munyumbako.
Basi, Yesu alipofika mahali pale, aliangalia juu akamwambia, “Zakayo, shuka upesi, maana leo ni lazima nishinde nyumbani mwako.”
6 Wikituma halaka, wekasima nukumukalibisha kwakiloelya.
Zakayo akashuka haraka, akamkaribisha kwa furaha.
7 Eantu ehi naaine nanso, akalalameka, nukulunga, “Wendamugendela umuntu nukete imilandu.”
Watu wote walipoona hayo, wakaanza kunung'unika wakisema, “Amekwenda kukaa kwa mtu mwenye dhambi.”
8 U Zakayo wikimeka wikamuila Bwana, goza Bwana enusu ansailo yane kuapa eaula, anga itule numuhegeye muntuwehi ekentu, kumusukelya nkua inne.”
Lakini Zakayo akasimama akamwambia Yesu, “Sikiliza Bwana! Mimi nitawapa maskini nusu ya mali yangu, na kama nimenyang'anya mtu yeyote kitu, nitamrudishia mara nne.”
9 U Yesu wikamuila, Elelo uugunwa upikile munyumba yeye, kunsoko nuanso nung'wenso ng'wana wang'wa Ibrahimu.
Yesu akamwambia, “Leo wokovu umefika katika nyumba hii, kwa vile huyu pia ni wa ukoo wa Abrahamu.
10 Kundogoelyo ung'wana wamuntu uzile kuduma nukuaokola eantu nialimie.”
Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa waliopotea.”
11 Naaigulye nanso, wikaendelea kuligitya nukuapumilya impyani, kunsoko aukole pakupe ne Yerusalemu, neenso alengile kina utemi wang'wi Tunda aeukole pakupe kigela nkuaing'wi.
Wakati watu walipokuwa bado wanasikiliza hayo, Yesu akawaambia mfano. (Hapo alikuwa anakaribia Yerusalemu, na watu wale walidhani kwamba muda si muda, Ufalme wa Mungu ungefika.)
12 Kuite wekamuila, “ofisa ung'wi aewendile ihe akole ili apokeele utemi hange wasuke.
Hivyo akawaambia, “Kulikuwa na mtu mmoja wa ukoo wa kifalme aliyefanya safari kwenda nchi ya mbali ili apokee madaraka ya ufalme, halafu arudi.
13 Aeutangile iitumi akwe ikumi, wikaapa mafungu ikumi, wikaaila, itumi ebiashala kuite mpaka nekusuka.
Basi, kabla ya kuondoka aliwaita watumishi wake kumi, akawapa kiasi cha fedha kila mmoja na kumwambia: Fanyeni nazo biashara mpaka nitakaporudi.
14 Lakini enihe akwe shanga aeamuloilwe kuite wekaatuma eajumbe ende amudume nukulunga, shangakutakile umuntu uyu ite wakutawale.
Lakini wananchi wenzake walimchukia na hivyo wakatuma wajumbe waende wakaseme: Hatumtaki huyu atutawale.
15 Kuite nausukile kito baada akupegwa uutemi, akalagelya eitumi naualekee impia itangwe kung'wakwe ahume kumanya faedake naamepatile naeitumile ebiashala.
“Huyo mtu mashuhuri alirudi nyumbani baada ya kufanywa mfalme, na mara akaamuru wale watumishi aliowapa zile fedha waitwe ili aweze kujua kila mmoja amepata faida gani.
16 Nuang'wandyo wekeza, nukulunga, “Bwana ifungu lako litumile mafungu ikumi zaidi.”
Mtumishi wa kwanza akatokea, akasema: Mheshimiwa, faida iliyopatikana ni mara kumi ya zile fedha ulizonipa.
17 Uofisa nuanso akamuila, iza, mitume numuza, kunsoko aeumuhueli kueke nekenino, ukutula nuuhueli migulya aisale ikumi.
Naye akamwambia: Vema; wewe ni mtumishi mwema. Kwa kuwa umekuwa mwaminifu katika jambo dogo, utakuwa na madaraka juu ya miji kumi!
18 Nuakabeele wekiza, akalunga, “Bwana ifungu lako lituma mafungu ataano.
Mtumishi wa pili akaja, akasema: Mheshimiwa, faida iliyopatikana ni mara tano ya zile fedha ulizonipa.
19 Uofisa nuanso wekamuila, Hola utawala migulya aisale itaano.”
Naye akamwambia pia: Nawe utakuwa na madaraka juu ya miji mitano.
20 Nuyu numungiza wekiza, akalunga, “Bwana seye apa empia ako, kuite aembekile iza mukitambala,
“Mtumishi mwingine akaja, akasema: Chukua fedha yako; niliificha salama katika kitambaa,
21 kundogoilyo aenogopile kunsoko, kunsoko uewe umutaki, nihola neshanukeekile nukuvuna neshauketeme.”
kwa maana niliogopa kwa sababu wewe ni mtu mkali. Wewe ni mtu ambaye huchukua yasiyo yako, na huchuma ambacho hukupanda.
22 Uofisa nuanso akamuila, “Kunkani yako uewe, nukuhukumu, ue umitumi numube. Aulengile kina unene nemuntu numutaki, nehola neshanganukeekile, nukuvuna nishanga nuketemee.
Naye akamwambia: Nakuhukumu kutokana na msemo wako, ewe mtumishi mbaya! Ulijua kwamba mimi ni mtu mkali, ambaye huchukua yasiyo yangu na kuchuma nisichopanda.
23 Ite shangawekaekane empia ane mubenki, kuite nensukile numehole palung'wi nefaida?
Kwa nini basi, hukuiweka fedha yangu benki, nami ningeichukua pamoja na faida baada ya kurudi kwangu?
24 Uofisa wekaaela eantu naeakole imekile apaite, Muhegelyi ifungu nelanso nukumupa uyu nuamafungu ikumi.”
Hapo akawaambia wale waliokuwa pale: Mnyang'anyeni hizo fedha, mkampe yule aliyepata faida mara kumi.
25 Wekamuela, Bwana, nuanso ukete mafungu ikumi.
Nao wakamwambia: Lakini Mheshimiwa, huyo ana faida ya kiasi hicho mara kumi!
26 Kumuela, kila umuntu nukete ukupegwa ikulu, lakini uyu numugila, ata keke nukete kekuholwa.
Naye akawajibu: Kila aliye na kitu atapewa na kuzidishiwa. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.
27 Lakini awaite ebee ane, kuite shangae atakile ntule numutemi wao, aleti apaite muabulage ntongeela ane.”
Na sasa, kuhusu hao maadui wangu ambao hawapendi niwe mfalme wao, waleteni hapa, mkawaue papa hapa mbele yangu.”
28 Baada akulunga nanso, wikendelea kuntongela nukunankela kulongola ku Yerusalemu.
Yesu alisema hayo, kisha akatangulia mbele yao kuelekea Yerusalemu.
29 Kuite nauhugie ku Bethfage nuku Bethania, pakupe numulema wa Mizeituni, autumile eamanyisigwa akwe abeele,
Alipokaribia kufika Bethfage na Bethania, karibu na mlima wa Mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili,
30 akalunga: “Longoli kijiji nekakesale. Mingile mukumuhanga ng'wandogwe nukele kunankelwa. Mutungoli, mumulete kung'waane.
akawaambia: “Nendeni katika kijiji kilicho mbele yenu. Mtakapokuwa mnaingia kijijini, mtamkuta mwana punda amefungwa ambaye hajatumiwa na mtu. Mfungeni, mkamlete hapa.
31 Anga muntu wamukolya, “Mbona mukumutungwela? “Lungu, “Bwana umutakile.”
Kama mtu akiwauliza, kwa nini mnamfungua, mwambieni, Bwana ana haja naye.”
32 Awa naatumilwe akalongola ekamuona ung'we - ndogwe anga u Yesu nauaee.
Basi, wakaenda, wakakuta sawa kama alivyowaambia.
33 Naakumutungula ung'wa-ndogwe eatawala akaela, kuneke mukumutungula ung'wa ndogwe uyuite?
Walipokuwa wanamfungua yule mwana punda, wenyewe wakawauliza, “Kwa nini mnamfungua mwana punda huyu?”
34 Ekalunga, Bwana umutakile.
Nao wakawajibu, “Bwana anamhitaji.”
35 Kuite, akamutaila u Yesu, ekaela ian'wenda ao migulya mung'wa - ndogwe ekamunankelya u Yesu migulya akwe.
Basi, wakampelekea Yesu yule mwana punda. Kisha wakatandika mavazi yao juu yake wakampandisha Yesu.
36 Nautuile ukolongola eantu akaela iang'wenda ao mubalabala.
Yesu akaendelea na safari, na watu wakatandaza mavazi yao barabarani.
37 Nautuile ukusima mumulima wa Mizeituni umilondo wehi nuamanyisigwa akwe akanza kumulombeelya nukumukulya Itunda kululi nulukulu, kunsoko amakani nemakulu naamaine,
Alipofika karibu na Yerusalemu, katika mteremko wa mlima wa Mizeituni, umati wote na wanafunzi wake, wakaanza kushangilia na kumtukuza Mungu kwa sauti kubwa, kwa sababu ya mambo makuu waliyoyaona;
38 ekalunga, “Inge ukembetilwe umutemi nuzile kulina lang'wa Bwana! Ulowa, Milunde, nuutukufu migulya!
wakawa wanasema: “Abarikiwe Mfalme ajaye kwa jina la Bwana. Amani mbinguni, na utukufu juu mbinguni!”
39 Baadhi amafarisayo mukate amilundo ekamuila, Mwalimu akilagye imagwe akukulya ululi.
Hapo baadhi ya Mafarisayo waliokuwako katika lile kundi la watu, wakamwambia Yesu, “Mwalimu, wanyamazishe wanafunzi wako!”
40 U Yesu wekaasukilya, nukulunga, wekaaila, anga wawa akilage, imagwe akukulya ululi.”
Yesu akawajibu, “Nawaambieni, kama hawa wakinyamaza, hakika hayo mawe yatapaza sauti.”
41 U Yesu nauhugie ikesale wekakelela,
Alipokaribia zaidi na kuuona ule mji, Yesu aliulilia
42 wikalunga, tazu angezeune ata uewe, muluhiku ulu emakani aya nekuletela ulowa! Lakini itungele apihilwe mumiho ako.
akisema: “Laiti ungelijua leo hii yale yaletayo amani! Lakini sasa yamefichika machoni pako.
43 Kunsoko ipembilye insiku eabee ako akuzenga itando pakupe nuewe.
Maana siku zaja ambapo adui zako watakuzungushia maboma, watakuzingira na kukusonga pande zote.
44 Akugwisa pihe uewe neana ako. Shangaakulekela ata igwe neleng'we migulya anilengiza, kunsoko shanga aulengile imatungo Itunda naugemile kuokoa.
Watakupondaponda wewe pamoja na watoto wako ndani ya kuta zako; hawatakuachia hata jiwe moja juu jingine, kwa sababu hukuutambua wakati Mungu alipokujia kukuokoa.”
45 Uye wakingila mihekalu, akandya kuazunsa awa naeakugulya,
Kisha, Yesu aliingia Hekaluni, akaanza kuwafukuzia nje wafanyabiashara
46 wekaaela, “Yandekilwe, Enyumbane ekutula nyumba amalompi, lakini unyenye yatula anga ikulungu lahegelyi”
akisema, “Imeandikwa: Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala; lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang'anyi.”
47 Kuite, u Yesu aewimanyisa kila uluhiku mihekalu. Eatongeli neakulu nealimu a shelia neatongeli antu naatakile kumubulaga.
Yesu akawa anafundisha kila siku Hekaluni. Makuhani wakuu, walimu wa Sheria na viongozi wa watu walitaka kumwangamiza,
48 Lakini shangaekaweza kulija enzila nakituma nanso, kunsoko eantu ehi amutegeye kwamakini.
lakini hawakuwa na la kufanya, maana watu wote walikuwa wakimsikiliza kwa makini kabisa.