< uYohana 14 >

1 Leka kulekela inkolo ako kutula mu lwago. Umuhuiie Itunda ni huiile ga nunene.
Yesu aliwaambia, “Msifadhaike mioyoni mwenu. Mwaminini Mungu, niaminini na mimi pia.
2 Mi ito nilang'wa Tata nuane lukoli u likalo lidu nula kikie; anga aza ihite kutula iti, aza izee natula nakutambuila, ku nulanso nongoe kuzipiililya kianza kunsoko ako.
Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; la sivyo ningalikwisha waambieni. Sasa nakwenda kuwatayarishieni nafasi.
3 Anga nongole nu kumu zipiililya i kianza, nikapemya hangi kumusingiilya kitalane, iti ikianza ni nkoli nu nyenye ga mutule mukoli.
Na nikienda na kuwatayarishieni nafasi, nitarudi na kuwachukueni kwangu, ili nanyi muwe pale nilipo mimi.
4 Mulingile i nzila ku nongoe,
Mnajua njia ya kwenda huko ninakokwenda.”
5 uTomaso ai umutambuie uYesu, “Mukulu, shanga kulingile i kianza kulongoe; Itii! ku uhuma uli kulinga inzila?
Thoma akamwuliza, “Bwana, hatujui unakokwenda, tutawezaje basi, kuijua hiyo njia?”
6 uYesu ai umutambuie, “Unene yiyo nzila, tai nu upanga; kutili nu uhumile kupemya kung'wa Tata kwaala kukiila kitalane.
Yesu akamjibu, “Mimi ni njia, na ukweli na uzima. Hakuna awezaye kwenda kwa Baba ila kwa kupitia kwangu.
7 Anga aize muningile unene, aize matulaa mamulingaa nu Tata ga; kandiilya itungili nu kulongoleka mamulingaa hangi mamihengaa u ng'wenso.”
Ikiwa mnanijua mimi mnamjua na Baba yangu pia. Na tangu sasa, mnamjua, tena mmekwisha mwona.”
8 uPhilpo ai umutambuie uYesu, “Mukulu, kulagiile uTata ni iti ikutula yakondya.”
Filipo akamwambia, “Bwana, tuonyeshe Baba, nasi tutatosheka.”
9 uYesu akamutambuila, “Shanga natulaa palung'wi nu nyenye ku itungo ilipu, hang ukili shanga uningile unene, Philipo? Wihi nuanihengilee unene wamihengaa uTata; Kinya uli ukuligitya, 'kulagiile uTata?
Yesu akamwambia, “Filipo, nimekaa nanyi muda wote huu, nawe hujanijua? Aliyekwisha niona mimi amemwona Baba. Unawezaje basi, kusema: Tuonyeshe Baba?
10 Shanga muhuiie kina unene nkoli mukati ang'wa Tata, nu Tata ukoli mukati ane, Makani ni kumaligitya kitalanyu shanga kumaligitya ku isigo nilane mukola, badala akwe, ingi Tata nuikiie mukati ane nukituma u mulimo nuakwe.
Je, huamini kwamba mimi niko ndani ya Baba, naye Baba yuko ndani yangu? Maneno ninayowaambieni nyote siyasemi kwa mamlaka yangu; Baba aliye ndani yangu anafanya kazi yake.
11 Nihuiili unene, kina nkoli mukati ang'wa Tata, nu Tata ukoli mukati ane; Ga ni iti nihuiili unene ku nsko a milimo ane kulu kuulu.
Mnapaswa kuniamini ninaposema kwamba mimi niko ndani ya Baba naye Baba yuko ndani yangu. Ama sivyo, aminini kwa sababu ya mambo ninayofanya.
12 Huiili, huiili, kumuila, nuanso nunihuiie unene, milimo iyo ni nitumaa, ukituma ga ni milimo iyi; nangi ukituma ga ni milimo mikulu ku nsoko nalongolaa kung'wa Tata.
Kweli nawaambieni, anayeniamini atafanya mambo ninayofanya mimi; naam, atafanya hata makuu zaidi, maana nakwenda kwa Baba.
13 Kihi anga mulompe ku lina nilane, nikituma iti kina uTata wahume kukuligwa mu ng'wana.
Na chochote mtakachoomba kwa jina langu nitafanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana.
14 Anga mulompe kintu kihi ku lina nilane, nilanso kituma.
Mkiniomba chochote kwa jina langu, nitawafanyieni.
15 Anga mundowe, mukuamba i malagiilyo ane.
“Mkinipenda mtazishika amri zangu.
16 Hangi nika mulompa uTata, Nu ng'wenso ukuminkiilya u muaiilya mungiiza iti kina ahume kutula palung'wi nu nyenye i kali na kali. (aiōn g165)
Nami nitamwomba Baba naye atawapeni Msaidizi mwingine, atakayekaa nanyi milele. (aiōn g165)
17 Ng'wau Ng'welu nua tai. u Unkumbigulu shanga uhumule kumusingiilya nuanso ku nsoko shanga umihengile, ang'wi kumumanya nuanso. Ga ni iti unyenye mumulingile nuanso. Kuiti wikiie palung'wi nu nyenye nu kutula mukati anyu.
Yeye ni Roho wa kweli. Ulimwengu hauwezi kumpokea kwa sababu hauwezi kumwona wala kumjua. Lakini ninyi mnamjua kwa sababu anabaki nanyi na yu ndani yenu.
18 Shanga kumuleka ming'wene; Nikasuka kitalanyu.
“Sitawaacha ninyi yatima; nitakuja tena kwenu.
19 Ku itungo ihelu, u unkumbigulu shanga ukunihenga hangi, kuiti unyenye mukunihenga. Ku nsoko ni kiie, ga nu nyenye mukikie.
Bado kidogo nao ulimwengu hautaniona tena, lakini ninyi mtaniona; na kwa kuwa mimi ni hai, nanyi pia mtakuwa hai.
20 Mu luhiku nulanso mukulinga kina unene nkoli mukati ang'wa Tata, ni kina unyenye mukoli mukati ane, ni kina unene nkoli mukati anyu.
Siku ile itakapofika mtajua kwamba mimi niko ndani ya Baba, nanyi mko ndani yangu, nami ndani yenu.
21 Wihii nui ambaa i malagiilyo ane nu kituma, yuyo ung'wi niiza undoilwe unene; hangi niiza undoilwe unene wikalowa nu Tata nuane, Hangi nikamulowa hangi nikigeeleka unene mukola kitalakwe.”
Azipokeaye amri zangu na kuzishika, yeye ndiye anipendaye. Naye anipendaye mimi atapendwa na Baba yangu, nami nitampenda na kujidhihirisha kwake.”
22 uYuda (shanga Iskariote) akamuila uYesu, “Mukulu, Itii ingi ki ntuni kikupumila kina ukigeeleka mukola kitaitu ni shanga ku unkumbigulu?
Yuda (si yule Iskarioti) akamwambia, “Bwana, itawezekanaje wewe kujidhihirisha kwetu na si kwa ulimwengu?”
23 uYesu ai usukiiye akamutambuila, “Anga ize wihi ukundowa, ukuluamba u lukani nu lane, nu Tata nuane ukumulowa, hangi kikapembya nu kuzipya likalo litu palung'wi nu ng'wenso.
Yesu akamjibu, “Mtu akinipenda atashika neno langu, na Baba yangu atampenda, nasi tutakuja kwake na kukaa naye.
24 Wihi niiza shanga undoilwe unene, shanga wiambaa u lukani nulane. Lukani naza mukija shanga lane ila lang'wa Tata naza undagiiye.
Asiyenipenda hashiki maneno yangu. Na neno mlilosikia si langu, bali ni lake Baba aliyenituma.
25 Nimaligitilye imakani aya kitalanyu, itungo ni nkili kikie mukati anyu.
“Nimewaambieni mambo haya nikiwa bado pamoja nanyi
26 Ga ni iti, uMupoeelyi, Ng'wau Ng'welu, naiza uTata ukumulagiilya ku lina lane, ukumumanyisa i makani ihi hangi wikamutenda mukimbukiilye ihi naiza nimaligitilye kitalanyu.
lakini Msaidizi, Roho Mtakatifu, ambaye Baba atamtuma kwa jina langu, atawafundisheni kila kitu na kuwakumbusheni yote niliyowaambieni.
27 U ulyuuku, kuminkiilya ulyuuku nuane unyenye, shanga kuminkiilya uwu anga unkumbigulu nuipumyaa. Leki kuzipyi inkolo nianyu kutula nu lwago, nu woa.
“Nawaachieni amani; nawapeni amani yangu. Siwapi ninyi kama vile ulimwengu ufanyavyo. Msiwe na wasiwasi, wala msifadhaike.
28 Ai migule iti nai numutambuie, 'Nongoe yane, hangi nikasuka kitalanyu, 'Anga aza ize mundoilwe unene, aza muze mukete ulowa kunsoko nongoe kung'wa Tata, kunsoko uTata ingi mukulu kukila unene.
Mlikwisha sikia nikiwaambieni: Ninakwenda zangu, kisha nitarudi tena kwenu. Kama mngalinipenda mngalifurahi kwa sababu ninakwenda kwa Baba, maana yeye ni mkuu kuliko mimi.
29 Itungili nakondyaa kumutambuila ze ikili kupumila iti kina, itungo anga lipumile, muhume kuhuiila.
Nimewaambieni haya sasa kabla hayajatokea, ili yatakapotokea mpate kuamini.
30 Shanga kutambula nu nyenye makani idu, kunsoko mukulu nua ihi iyi upembilye, Nuanso mugila ingulu migulya lane,
Sitasema nanyi tena mambo mengi, maana mtawala wa ulimwengu huu anakuja. Kwangu mimi hawezi kitu;
31 kuiti kina u unkumbigulu ulije kulinga kina numuloilwe uTata, nitumaa iko uTata nukundagiilya unene, anga iti nai uninkiiye ilagiilyo. Nyansuki, hangi kupume i kianza iki.
lakini ulimwengu unapaswa kujua kwamba nampenda Baba, na ndiyo maana nafanya kila kitu kama Baba alivyoniamuru. Simameni, tutoke hapa!”

< uYohana 14 >