< Ebrania 12 >
1 Ku lulo, ku nsoko kupilimikiigwe ni ilunde ikulu nila ahuiili, ni kugume kila ikintu ni kikuhumiiye palung'wi ni milandu nai iza ikugilinkiiye ku upepeele. Kukue i ntambo ku usumbiilyo mu wikilyi nai uikilwe ntongeela itu.
Sisi tunalo kundi hili kubwa la mashahidi mbele yetu. Kwa hiyo tuondoe kila kizuizi kinachotuzuia, na dhambi ile inayotung'ang'ania. Tupige mbio kwa uvumilivu katika mashindano yaliyowekwa mbele yetu.
2 Kumatunje i miho itu kung'wa Yesu, ni mandiilyi hangi munya kukondeelya u uhuiili nuitu, na iza ku nsoko a ulowa nu uikilwe ntongeela akwe ai uugimiiye ikonta nila mpaga, waze umeile i minyala akwe, hangi wakikie pihi a mukono nua kigoha nua ituntu ni likulyo nilang'wa Itunda.
Tumwelekee Yesu ambaye ndiye aliyeianzisha imani yetu na ambaye ataikamilisha. Kwa ajili ya furaha iliyokuwa inamngojea, yeye alivumilia kifo msalabani, bila kujali juu ya aibu yake, na sasa anaketi upande wa kulia wa kiti cha enzi cha Mungu.
3 Ndogoelyo musigiili nuanso nai ugimilye i makani i ikuo kupuma ku anya milandu, kungwaakwe mukola iti kina muleke kukatala ang'wi kusha kisha mukanka inkolo nianyu.
Fikirini juu ya mambo yaliyompata Yesu, jinsi alivyostahimili upinzani mkubwa kwa watu wenye dhambi. Basi, msife moyo, wala msikate tamaa.
4 Mukili kunyomeka ang'wi kagisha muzikilya nu mulandu ngele a kuuilwa i sakami.
Maana katika kupambana na dhambi, ninyi hamjapigana mpaka kiasi cha kumwaga damu yenu.
5 Hangi miilwe uko kukinyilwa i nkolo naiza imutungilye anga ana a kigoha; “Ng'waane, leka kumahola ku upepeele i masukiilo a Mukulu, ang'wi muleke kuhung'wa ukata ni mukuhuguligwa nu ng'wenso.”
Je, mmesahau yale maneno ya kutia moyo ambayo Mungu anawataja ninyi kuwa wanawe? “Mwanangu, usidharau adhabu ya Bwana, wala usife moyo anapokukanya.
6 Ku nsoko uMukulu wimusushaa wihi nai iza umuloilwe, nu kumupisiilya kila u ng'wana nai iza wimusingiilya.
Maana Bwana humwadhibu kila anayempenda, humpinga kila anayekubali kuwa mwanae.”
7 Gigimiilya i mageng'wa anga kusukilwa. Itunda witumilwa nu nyenye anga nuitumilwaa ni ana, ndogoelyo ingi ng'wana nu uli nai iza u tata nuakwe shanga uhumile kumususha?
Vumilieni adhabu kwani ni mafundisho; Mungu huwatendea ninyi kama wanawe. Maana ni mwana gani asiyeadhibiwa na baba yake?
8 Kuiti anga ize kutili kusukigwa, kai iza usese kihi kuhanguie, iti gwa unyenye ingi mia kibudu hangi shanga ana akwe.
Lakini msipoadhibiwa kama wana wengine, basi, ninyi si wanawe, bali ni wana haramu.
9 Ikilo nila yihi, ai kukete i a tata itu nia kinyihi nai aku ususha, hangi ai kuakuiye. Itii shanga ikutakile ga ni ikilo kumukulya uTata nua kinkolo nu kikie?
Zaidi ya hayo sisi tunawaheshimu wazazi wetu waliotuzaa hata wanapotuadhibu. Basi, tunapaswa kumtii zaidi Baba yetu wa kiroho ili tupate kuishi.
10 Ku kulu kuulu atata itu ai akupisiiye ku myaka misheenyu anga nai yigeelekile iziza kitalao, kuiti Itunda shanga wikupisiilya ku nsailo itu iti kihanguile u welu nuakwe.
Wazazi wetu hapa duniani walituadhibu kwa muda, kama wao wenyewe walivyoona kuwa vema; lakini Mungu anatuadhibu kwa ajili ya faida yetu wenyewe, tupate kuushiriki utakatifu wake.
11 Kutili upisiiligwa nu uloeeye ku itungo nilanso. Witulaa nu uwai. Ga ni iti, panyambele witugaa nkali nia ulyuuku nua elu a nkolo ku awo nai amanyisigwe ni menso.
Kuadhibiwa si jambo la kufurahisha bali la kuhuzunisha. Lakini wale waliofunzwa kuwa na nidhamu mwishowe watavuna tuzo la amani kutoka katika maisha adili!
12 Ku lulo nyansuli i mikono anyu ni itoile nu kutenda i malu anyu ni imbyoto kutula akete ingulu hangi;
Basi, inueni mikono yenu inayolegea na kuimarisha magoti yenu yaliyo dhaifu.
13 gooli u ukiilo nua upambatilyo nuanyu, iti kina wihi nuaile mulema shanga ukutongwa mu ulimili kuiti walije kugunika.
Endeleeni kutembea katika njia iliyonyoka, ili kile kilicholemaa kisiumizwe, bali kiponywe.
14 Dumiili u ulyuuku ni antu ihi, ga nu welu nai anga ize shanga wuwo kutili nuikamihenga uMukulu.
Jitahidini kuishi kwa amani na watu wote. Ishini maisha ya utakatifu, kwa sababu hakuna mtu atakayemwona Bwana bila ya maisha kama hayo.
15 Mutule miakendegeeli iti kina waleke kutula ukoli nuikabagulwa kuli nu ukende nuang'wa Itunda, ni kina lileke kupembya itina ila uwai nilikategeta nu kusasha u lwago nu kupiula idu.
Jitahidini sana mtu yeyote asije akapoteza neema ya Mungu. Muwe waangalifu ili mti mchungu usizuke kati yenu na kuwaua wengi kwa sumu yake.
16 Ihengi kina kutili u ugoolya ang'wi muntu nishanga ng'welu anga u Esau, nai iza ku nsoko a ulyi ung'wi ai uguiye itai akwe na utuugwa.
Jihadharini ili miongoni mwenu pasiwe na mtu mwasherati au mtu asiyemcha Mungu kama Esau, aliyeuza haki yake ya mzaliwa wa kwanza kwa mlo mmoja.
17 Ku nsoko mulingile kina panyambele, nai uhumilwe i nsula a kusala u ukende, ai uhitilwe, ku nsoko shanga ai uligilye i lyoma nila kila itunu palung'wi nu tata nuakwe, ga ni iti ai udumila nangaluu ku liholi.
Ninyi mnafahamu kwamba hata alipotaka kuipata tena ile baraka iliyokuwa yake, alikataliwa, maana hakupata tena nafasi ya kutubu, ingawa aliitafuta kwa machozi.
18 Ku nsoko shanga ai muzile mu lugulu naza uhumile ku kumpigwa, Lugulu nu wakie u moto, kiti, kihumya ukata nu kimpupu.
Ninyi hamkuwasili mlimani Sinai, ambao unaweza kushikika kama walivyofanya watu wa Israeli, hamkufika kwenye moto uwakao, penye giza, tufani,
19 Shanga ai mupembilye ku nduli nia akinembu, ang'wi ku makani napembeeye mu nduli nai iza isakilye kila niigulye aleke kulompa kihi kuligitigwa ni enso kitalao.
mvumo wa tarumbeta na sauti ya maneno. Wale waliosikia sauti hiyo waliomba wasisikie tena neno jingine,
20 Ku nsoko shanga ai ahumile kugimya iko nai kilamuwe; “Anga itule ga ni kikali ni kikumpya u lugulu kikuwe ku magwe.'
kwani hawakuweza kustahimili amri iliyotolewa: “Atakayegusa mlima huu, hata kama ni mnyama, atapigwa mawe.”
21 Nika kitumba ikilo nai wihengile uMusa ai uligitilye, “Nitumbaa nangaluu ngele a kukagata.”
Hayo yote yalionekana ya kutisha mno, hata Mose akasema, “Naogopa na kutetemeka.”
22 Badala akwe, muzile mulugulu nula Sayuni nu mu kisali ni kang'wi Itunda ni mupanga, Yerusalemu na kilunde, nu ku a malaika magana a nzogu ikumi nia kuina.
Lakini ninyi mmefika katika mlima wa Sioni, kwenye mji wa Mungu aliye hai. Mmefika Yerusalemu, mji wa mbinguni, ambapo wamekusanyika malaika elfu nyingi wasiohesabika.
23 Muzile mu milundo nua atugwaa ang'wandyo ihi nai asagiie kilunde, kung'wa Itunda ni mulamuli nua ihi, nu ku nkolo nia elu naza akondaniiligwa.
Mmefika kwenye kusanyiko kubwa la wazaliwa wa kwanza wa Mungu, ambao majina yao yameandikwa mbinguni. Mnasimama mbele ya Mungu aliye hakimu wa wote, na mbele ya roho za watu waadilifu waliofanywa kuwa wakamilifu.
24 Muzile kung'wa Yesu ni muhungi nu ilago niziila, nu kusakami nai iminzilwe nai iza iganulwa iziza ikilo kukila i sakami ang'wa Habili.
Mmefika kwa Yesu ambaye ameratibisha agano jipya, na ambaye damu yake iliyomwagika inasema mambo mema zaidi kuliko ile ya Abeli.
25 Goza kina uleke kumuhita ung'wi nai iza wiligitya. Ku nsoko anga ize shanga ahugile nai amuhugile ung'wi nai uahugue mi ihi, ku kulu kuulu shanga ku uhuga anga itule kupiluka kuli kupuma kung'wa uyo nui kuhugula kupuma kilunde.
Basi, jihadharini msije mkakataa kumsikiliza yeye ambaye anasema nanyi. Kama wale walikataa kumsikiliza yule aliyewaonya hapa duniani hawakuokoka, sisi tutawezaje kuokoka kama tukikataa kumsikiliza yule anayetuonya kutoka mbinguni?
26 Ku itungo nilanso u luli nulakwe ai ligigwe mihi. Kuiti itungili ulagile nu kutambula, “Ikili nkua ingiiza hangi shanga kuhingisa ihi ing'wene duu, ila ni ilunde ga.”
Wakati ule sauti ilitetemesha nchi, lakini sasa ameahidi: “Nitatetemesha nchi tena, lakini si nchi tu bali pia mbingu.”
27 Makani aya, “Nkua ing'wi hangi,” ikulagiila kulimiligwa ku intu izo ni ikagatigwa, izi ingi, intu izo nai iza iumbilwe, iti kina intu izo nishanga i kagatigwa isagiile.
Neno hili: “tena” linatuonyesha kwamba vitu vyote vilivyoumbwa vitatetemeshwa na kutoweka ili vibaki vile visivyotetemeshwa.
28 Ku lulo, kusingiilye u utemi naiza shanga wikagatigwa, kiloeelye mu hali a kumukulya Itunda ku kumugomba palung'wi nu kutuna pihi mu ikulyo.
Sisi basi, na tushukuru kwani tunapokea utawala usiotikisika. Tuwe na shukrani na kumwabudu Mungu kwa namna itakayompendeza, kwa ibada na hofu;
29 Ku ndogoelyo Itunda nuitu ingi moto nuiliza.
maana Mungu wetu kweli ni moto mkali unaoteketeza.