< Galatia 3 >
1 Unye Agalatia ni miagila imahala, iti gwa nyenyu nai umulogile, unyenye naza u Yesu Kristo ai uikilwe kihenga ntongeela a miho anyu. Kina wagigwe?
Enyi Wagalatia, mmekuwa wajinga kweli! Ni nani aliyewaloga? Habari juu ya kusulubiwa kwake Yesu Kristo ilielezwa waziwazi mbele ya macho yenu.
2 Unene ndoilwe kulinga ikani ling'wi kupuma kitalanyu, Iti gwa ai mumusingiye Ungg'wau ng'welu ku ntendo ni a malagiilyo, ang'wi kuhuuila iki nai mukigule?
Napenda kujua tu kitu kimoja kutoka kwenu: Je, mlipokea Roho wa Mungu kwa sababu ya kutimiza matakwa ya Sheria ama kwa sababu ya kuisikia na kuiamini Habari Njema?
3 Itii gwa unyenye inge miapungu ngele iyi? iti gwa unyenye inge miapungu ngele iyi? Iti gwa ai mandilye mu ng'wa ng'welu iti mumale mumiili?
Je, mu wajinga kiasi hicho? Ninyi mlianza yote kwa msaada wa Roho je, mnataka sasa kumaliza kwa nguvu zenu wenyewe?
4 Iti gwa ai magile ku makani idu na nkanda, anga tai ai atulaa a nankanda?
Je, mambo yale yote yaliyowapata ninyi yamekuwa bure tu? Haiwezekani!
5 Iti nuanso mupumyaa ung'wau n'wgelu kitalanyu nu kituma i ntendo ni angulu kati anyu witumaa ku ntendo ni a malagiilyo ang'wi ku kigiilya palung'wi nu uhuiili?
Je, Mungu huwajalia Roho na kutenda miujiza kati yenu ati kwa sababu mnatimiza yanayotakiwa na sheria, ama kwa sababu mnasikia Habari Njema na kuiamini?
6 Abrahamu; ''Ai umuhuiie Itunda aka aligwa kina munya tai''.
Chukueni kwa mfano habari za Abrahamu: yeye alimwamini Mungu, naye Mungu akamkubali kuwa mwadilifu.
7 Ku ndogoelyo yiyo yiyoo lingi kina, awo naza ahuiie inge ana ang'wa Abrahamu.
Sasa basi jueni kwamba watu wenye kumwamini ndio walio watoto halisi wa Abrahamu.
8 Uukilisigwa ai ultile kina Itunda aza uze a aiilya tai ane antu a mahi ku nzila a uhuiili, nkani ninza ai itanantigwe hanza kung'wa Abrahamu; ''Ku ewe mahi ihi akukendetwa ''.
Maandiko Matakatifu yalionyesha kabla kwamba Mungu atawakubali watu wa mataifa kuwa waadilifu kwa njia ya imani. Hivyo Maandiko Matakatifu yalitangulia kumtangazia Abrahamu Habari Njema: “Katika wewe mataifa yote yatabarikiwa.”
9 Iti panyambele awo naza akete uhuiili akembetwe palung'wi nu Abrahamu, naza watulaa nu uhuiili.
Basi, wale walio na imani wanabarikiwa pamoja na Abrahamu aliyeamini.
10 Awo naza asumbiiye intendo ni ya malagiilyo akoli pihi a uzung'wa, ku kina ikilisilwe, ''Uzumilwe kila muntu niiza shanga uambinkanile ni makani ihi na kililigwe mu mbugulu ama lagiilyo kituma ihi''.
Lakini wote wanaotegemea tu kutimiza yanayotakiwa na Sheria, wako chini ya laana. Maana, Maandiko Matakatifu yasema: “Yeyote asiyeshika na kutimiza yote yaliyoandikwa katika kitabu cha Sheria, yuko chini ya laana.”
11 Itungili inge ikihenga kina Itunda shanga ukumualya tai akwe ga nung'wi ku malagiilyo, ku nsoko, ''Munya tai ane ukukie ku uhuiili''.
Ni dhahiri kwamba Sheria haiwezi kumfanya mtu akubaliwe kuwa mwadilifu; maana Maandiko Matakatifu yasema: “Mwadilifu kwa imani ataishi.”
12 Ilagiilyo shanga lipumiie mu uhuili ku iti badala akwe, ''Niiza witumaa imakani aya ku malagiilyo, ukikie ku malagiilyo''.
Lakini Sheria haitegemei imani, ila Maandiko yasema: “Mwenye kutimiza yanayotakiwa na Sheria ataishi.”
13 Kristo ai ukugunile usese kupuma ku uzung'wa nui ilagiilyo itungo nai wizepilye kizug'wa akunsoko itu. Kunsoko ikilisigwe ''Uzumilwe kila muntu nuikakong, wa migulya ikota''.
Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya Sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”
14 Isigo ai lituile kina ukende naza watulaa kung'wa Ibrahimuaza uzee tula ku antu a mahi kung'wa Kristo Yesu, Iti kina kuhume kusingiilya u wigombya nua ng'wau ng'welu kukiila uhuiili.
Jambo hili lilifanyika kusudi ile baraka aliyopewa Abrahamu iwashukie watu wa mataifa mengine kwa njia ya Kristo, na ili kwa imani, tumpokee yule Roho ambaye Mungu alituahidia.
15 Muluna, kutambula ku mpyani aki binaadamu, ga ni itungo naza wigombyaa nu wakinadamu wakondile kuikwa ukomu kutile nuhumile kuleka uu ang'we kongeelya.
Ndugu, nitawapeni mfano kutoka maisha yetu ya kila siku. Fikirini juu ya mkataba kati ya watu wawili. Mkataba ukisha fanyika na kutiwa sahihi hapana mtu anayeuweka kando au kuuongezea kitu.
16 Itungili i malago ai aligitigwe kung'wa Ibrahimu nu ku ulelwa nu akwe. shanga ai iligitigwe anga ''ku uutugi'' kusigiilya idu, ila badala akwe ku ung'wi wing'wene, ''ku utugi nu ako'' ni iza inge Kristo.
Basi, Abrahamu alipewa ahadi, yeye pamoja na mzawa wake. Maandiko hayasemi: “Na wazawa wake,” yaani wengi, bali yasema, “Na mzawa wake,” yaani mmoja, naye ndiye Kristo.
17 Itungili kiligitya iti, ilagiilyo naza lizile myaka 430 panyambele, Shanga lihejaa ilagiilyo ni la kunyuma nai liikilwe niItunda.
Ninachotaka kusema ni hiki: Mungu alifanya agano lake akalithibitisha; Sheria ambayo ilitokea miaka mia nne na thelathini baadaye, haiwezi kulitangua hilo agano wala kuibatilisha hiyo ahadi.
18 Ku nsoko anga ize uusali ai ize uzile ku nzila a malagiilyo, shnga ai uzee tula hangi uzile ku nzila a wigombya. Ku iti Itunda ai uupumilye nankanda kung'wa Ibrahimu ku nzila a wigombya.
Maana, kama urithi ya Mungu inategemea Sheria, basi, haiwezi kutegemea tena ahadi ya Mungu. Kumbe, lakini Mungu alimkirimia Abrahamu kwa sababu aliahidi.
19 Ku niki itungili ilagiilyo ai lipumgwe? Ai longeeigwe kunsoko a milandu, kupikiila mulewa nu ang'wa Ibrahimu waze ku awo naza kitalao ai ai watulaa ulagiilwe. Ilagiilyo ai liikilwe kuukinyila kukiila u malaika ku mukono nua mulamuli.
Ya nini basi, Sheria? Iliongezwa hapo ili kuonyesha uhalifu ni kitu gani, mpaka atakapokuja yule mzawa wa Abrahamu aliyepewa ile ahadi. Sheria ililetwa na malaika kwa mkono wa mpatanishi.
20 Itungili u mulamuli usigiiwe ku kilinkiila a muntu ung'wi, Ila Itunda inge ung'we wing'wene du.
Ama hakika, mpatanishi hahitajiwi ikiwa jambo lenyewe lamhusu mtu mmoja; na Mungu ni mmoja.
21 Ku lulo iti gwa ilagiilyo likoli nsuta ni ilagiilyo ni la ng'wi Itunda? A! a! kunsoko anga ize ilagiilyo nai atulaa ipumugwe ai atulaa nu uhumi nu akuleta u upanga, tai ane ai iziigela ki ilagiilyo.
Je, Sheria inapingana na ahadi za Mungu? Hata kidogo! Maana, kama kungalitolewa sheria ambayo ingeweza kuwapa watu uzima, basi, tungeweza kukubaliwa kuwa waadilifu kwa njia ya Sheria.
22 Ku iti badala akwe, Uukilisigwa ulugaie makani ihi pihi a milandu. Itunda ai uzepilye izi iti kina wigombya nu akwe nua kuuguna usese mu uhuiili mung'wa Kristo Yesu uhume kigeeleka ku awo ni akuhuiila.
Lakini sivyo; Maandiko Matakatifu yamekwisha sema kwamba ulimwengu wote upo chini ya utawala wa dhambi; na hivyo, kwa kumwamini Yesu Kristo, wenye kuamini watimiziwe ile ahadi.
23 Ku iti ze ikili nu uhuiili kung'wa Kristo kuza, ai katulaa katung'waa nu kutula pihi ilagiilyo kupikiila uze uukunukulwa nu auhuiili.
Kabla ya kujaliwa imani, Sheria ilitufanya wafungwa mpaka imani hiyo iliyokuwa inakuja ifunuliwe.
24 Ku lulo ilagiilyo ai lizepigwe mutongeeli witu kupikiila Kristo nai akiza, iti kina kualigwe tai ane ku uhuiili.
Basi, hiyo Sheria ilikuwa kama mlezi wetu mpaka alipokuja Kristo, ili kwa njia ya imani, tukubaliwe kuwa waadilifu.
25 Itungili kunsoko uhuiilin wazilee kutili hangi pihi a mugozeeli.
Tangu kufika kwa hiyo imani, Sheria si mlezi wetu tena.
26 Kunsoko unyenye mihi inge mi ana ang'wi Itunda kukiila uhuiili mung'wa Kristo Yesu.
Kwa njia ya imani, ninyi nyote mmekuwa watoto wa Mungu katika kuungana na Kristo.
27 Ihi naza mogigwe mu ng'wa Kristo, Mumutugae Krusto.
Ninyi nyote mliobatizwa mkaungana na Kristo ni kama vile mmemvaa Kristo.
28 Kitili Muyahudi ang'wi mu Yunami, mutuung'wa ang'wi mulyuku, mugoha ang'wi musungu, kunsoko unyenye mihi inge ung'wi mung'wa Kristo Yesu. Anga ize unyenye inge mi ang'wa Kristo Yesu.
Hivyo, hakuna tena tofauti kati ya Myahudi na Mgiriki, mtumwa na mtu huru, mwanamume na mwanamke. Nyote ni kitu kimoja katika kuungana na Kristo Yesu.
29 Uu inge uutugwa nuang'wa Ibrahimu, Asali ku ngulu ilaggo.
Ikiwa ninyi ni wa Kristo, basi ni wazawa wa Abrahamu, na mtapokea yale aliyoahidi Mungu.