< 1 Petelo 5 >
1 Nialompile ianyampala niakoli kitalanyu, Mianyu hangi mikengi wa wagigwi nuang'wa Kilisto hangi muhuii nuakulu nuuzakunukulwa.
wazee! Mimi niliye mzee ninalo ombi moja kwenu wazee wenzangu. Mimi mwenyewe nilishuhudia kwa macho yangu mateso ya Kristo na natumaini kuushiriki ule utukufu utakaofunuliwa. Mimi nawaombeni
2 Kululo kumusambiilya unye anyampala, lidimi idale lang'wi Tunda nilikoli kitalanyu. Ligozi singa kunsoko munonee kululika ili, kunsoko muloilwe uu, anga Itunda nuloilwe, ugozi singa kunsoko akulowa mpia nia minyala, ingi kua kulowa.
mlichunge lile kundi la Mungu mlilokabidhiwa, mlitunze si kwa kulazimika, bali kwa hiari kama atakavyo Mungu. Fanyeni kazi hiyo si kwa tamaa ya fedha, bali kwa moyo wenu wote.
3 Muleke kuhumbula kuantu awa nienda muimie kitalanyu, nimenda adima, mitume nimaza ahume kumutyata.
Msiwatawale kwa mabavu hao waliowekwa chini ya ulinzi wenu, bali muwe mfano kwa hilo kundi.
4 Pang'waso umudimi numukulu nuzimikigwa muzepegwa ikinyamulimo nikaukulu nishakilimilya uza wakwe.
Na wakati Mchungaji Mkuu atakapotokea, ninyi mtapokea taji ya utukufu isiyofifia.
5 Uu nunyie ahumba nimianino tulinikulyo kuakulu anyu, nunyie mihi tugali ikulyo nukiailya nyenyie kuanyie, ingi Itunda wiagilya niilugoha, kululo wiapeza uukende niakote ikulyo.
Kadhalika nanyi vijana mnapaswa kujiweka chini ya mamlaka ya wazee. Ninyi nyote mnapaswa kuwa na unyenyekevu mpate kutumikiana; maana Maandiko Matakatifu yasema: “Mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwajalia neema wanyenyekevu.”
6 Kululo tuli nikulyo mumukono wang'wi Tunda nuukite ingulu, ahume kumumbula kumatungo akwe.
Basi, nyenyekeeni chini ya mkono wa enzi wa Mungu, ili awainue wakati ufaao.
7 Leti imiligo ihi namilandu kitalakwe ingi nuanso ukuukele nukusupitya.
Mwekeeni matatizo yenu yote, maana yeye anawatunzeni.
8 Tuli nima hala hangi muhule miho, umulugu anyu uyo umubi, anga ihimba nikukoloma izeduma imuambe umuntu.
Muwe macho; kesheni! Maana adui yenu, Ibilisi, huzungukazunguka kama simba angurumaye akitafuta mawindo.
9 Pugamuki kitalakwe, tuli ningulu muuhuili wanyu. Mulinge kina ianyandugu anyu niakoli muunkumbiguli akukiita wagigwi anga wuwo.
Muwe imara katika imani na kumpinga, mkijua kwamba ndugu zenu pote duniani wanapatwa na mateso hayohayo.
10 Ni Tunda nuaukende wihi auitangile kingila muukulu wakwe nuakalinakali kung'wa Kilisto anga magig'wa matungo makupi, ng'wenso ukumimisha nukumupa ingulu. (aiōnios )
Lakini mkisha teseka muda mfupi, Mungu aliye asili ya neema yote na ambaye anawaiteni muushiriki utukufu wake wa milele katika kuungana na Kristo, yeye mwenyewe atawakamilisheni na kuwapeni uthabiti, nguvu na msingi imara. (aiōnios )
11 Uutemi utule nung'wenso kitalakwe mahiku ihi. Amina. (aiōn )
Kwake uwe uwezo milele! Amina. (aiōn )
12 Numuhuie Silwano anga muluna ane numuza, hangi namukisila ibada unyekua ukupi kukiila kitalakwe, kumusisikiilya hangi kumuila kina iko ninikiandikile ingi ukende watai nuang'wi Tunda, miki kitalakwe.
Nimewaandikieni barua hii fupi kwa msaada wa Silwano, ndugu ambaye namjua na kumwamini. Nataka kuwapeni moyo na kushuhudia kwamba jambo hili ni neema ya Mungu kweli. Kaeni imara katika neema hiyo.
13 Ahuili niakoli kubabeli nai aholanigwe palung'wi munye, amulamukilye nu Maliko ng'waane umulamukilye.
Jumuiya ya wenzenu walioteuliwa na Mungu hapa Babuloni wanawasalimuni. Vilevile mwanangu Marko anawasalimuni.
14 Ilamushi kua ilungilo nila ulowa. Uolo utule kitalanyu nimukoli mung'wa Kilisto. Amina.
Salimianeni kwa ishara ya upendo wa Kikristo. Nawatakieni amani ninyi mlio wake Kristo.