< 1 Korintho 1 >

1 U Paulo, naewilangilwe nu Yesu Kilisto kutula mutume kuulowa wang'wi Tunda, nu Sosthene muluwa witu.
Mimi Paulo, niliyeitwa kuwa mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na ndugu Sosthene,
2 Kitekeelo nilang'wi Tunda nilikole kukorintho, kuawa niaikilwe wakfu mung'wa yesu Kilisto, neitangilwe kutula antu neatakatifu. Kuuaandekila ga nawa ehi neelitanga elina lamukkulu witu u Yesu Kilisto mukianza kehi, Mukulu nuao nuyu nuulu.
tunawaandikia ninyi mlio kanisa la Mungu huko Korintho. Ninyi mmefanywa watakatifu katika kuungana na Kristo Yesu, mkaitwa muwe watu wa Mungu, pamoja na watu wote popote wanaomwomba Bwana wetu Yesu Kristo aliye Bwana wao na wetu pia.
3 Ukende nuupolo utule kung'waanyu kupuma kung'wi Tunda utata witu nu Mukulu witu u Yesu Kilisto.
Nawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana wetu Yesu Kristo.
4 Mahiku ehi numusongeeye Itunda nuane kunsoko anyu, kunsoko aukende wang'wi Tunda nu Yesu Kilisto awapee.
Ninamshukuru Mungu wangu daima kwa ajili yenu kwa sababu amewatunukia ninyi neema yake kwa njia ya Kristo Yesu.
5 Watendile kutula agole kukila nzila, muutambu mpalung'wi nimahala ehi.
Maana, kwa kuungana na Kristo mmetajirishwa katika kila kitu. Mmejaliwa elimu yote na uwezo wote wa kuhubiri,
6 Watendile agole, anga uwikengwi kukiila kung'wa Kilisto kina ugombilwe kutai mumo mitalanyu.
kwani, ujumbe juu ya Kristo umethibitishwa ndani yenu,
7 Kuite gwa shamukuhielwa uupegwe yakenkolo, anga nimukete insula nakulindiila ukunukuilwe nua Mukulu witu u Yesu Kilisto.
hata hampungukiwi kipaji chochote cha kiroho mkiwa mnangojea kufunuliwa kwake Bwana wetu Yesu Kristo.
8 Ukumukomisa unye gwa, sunga impelo nsoko muleke kumelwa muluhiku nula Mukulu witu u Yesu Kilisto.
Yeye atawaimarisha ninyi mpaka mwisho mpate kuonekana bila hatia Siku ile ya Bwana wetu Yesu Kristo.
9 Itunda shawikalika naumitangile unye muupalung'wi nuang'wakwe, u Yesu Mkulu witu.
Mungu ni mwaminifu; yeye aliwaita ninyi muwe na umoja na Mwanae Yesu Kristo Bwana wetu.
10 Itungeli kumupepeelya akaka niadada ane, kukiila elina nila Mukulu witu u Yesu Kilisto, kina ehi agombe, hange kina itule kutile uwikomi mung'waanyu. Kumupepelya kina mihanguile palung'wi kisigo ling'wi nuupikeeli ung'wi.
Ndugu, ninawasihi kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo: pataneni nyote katika kila jambo msemalo; yasiweko mafarakano kati yenu; muwe na fikira moja na nia moja.
11 Inge iantu amito nilawa Klowe ambila kina ukole wikani nulongolekile mitalanyu.
Ndugu zangu, habari nilizopata kutoka kwa watu kadhaa wa jamaa ya Kloe, zaonyesha wazi kwamba kuna kutoelewana kati yenu.
12 Nkete ndogoilyo siye: Kela ung'wi wanyu wilunga, unene niang'wa Paulo,” ang'wi, “unene niang'wa Apolo,” ang'wi niang'wa Kefa” ang'wi “unene niang'wa Kilisto.”
Nataka kusema hivi: kila mmoja anasema chake: mmoja husema, “Mimi ni wa Paulo,” mwingine: “Mimi ni wa Apolo,” mwingine: “Mimi ni wa Kefa,” na mwingine: “Mimi ni wa Kristo,”.
13 Itee, Ukilisto utemanukilene? Itee, Upaulo aewagigwe kunsoko anyune? Itea, aemubadisigwe kulina lang'wa Paulone?
Je, Kristo amegawanyika? Je, Paulo ndiye aliyesulubiwa kwa ajili yenu? Au je, mlibatizwa kwa jina la Paulo?
14 Nimusongeeye Itunda kina singa aembadisilya wehi inge Ukilisto du nu Gayo.
Namshukuru Mungu kwamba sikumbatiza mtu yeyote miongoni mwenu isipokuwa tu Krispo na Gayo.
15 Iye naeyezetula kina kutile wehi nauzelunga mbadisigwe kulina lane.
Kwa hiyo hakuna awezaye kusema amebatizwa kwa jina langu.
16 (Aeniabadisilye ga nawaniamilo nilang'wa Stephania. Kukila pang'wanso, singanengile ang'wi aenamubadisa muntu numungiza wehi).
(Samahani, nilibatiza pia jamaa ya Stefana; lakini zaidi ya hawa, sidhani kama nilimbatiza mtu mwingine yeyote.)
17 Kunsoko u Kilisto shanga auntumile kubadisa inge aekutanatya inkani ninziza. Shanga auntumile kutanantya inkani niikulyo lakuuntu, nsoko kina engulu nikota lampaga nilang'wa Kilisto ilekekuhegigwa.
Kristo hakunituma kubatiza, bali kuhubiri Habari Njema; tena, niihubiri bila kutegemea maarifa ya hotuba za watu kusudi nguvu ya kifo cha Kristo msalabani isibatilishwe.
18 Kunsoko ulukani likota lampaga upungu huawa niakusha kuite kuawa ni Tunda ukuaguna, ngulu ang'wi Tunda.
Maana ujumbe kuhusu kifo cha Kristo msalabani ni jambo la kipumbavu kwa wale walio katika mkumbo wa kupotea, lakini kwetu sisi tulio katika njia ya wokovu ujumbe huo ni nguvu ya Mungu.
19 Kunsoko iandekile, “Kubipya ikulyo lao awa niakete kubipya ulingi wao nuamahala.
Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Nitaiharibu hekima yao wenye hekima, na elimu ya wataalamu nitaitupilia mbali.”
20 Ukolipe umuntu nukete ikulyo? Ukolipe nukete umanyisi? Ukolipe umutambuli umupepeli nuamuunkumbigulu uwu? Itee, Itunda shamaaupiunene ikulyo nilamuunkumbigulu uwu kutula upugu? (aiōn g165)
Yu wapi basi, mwenye hekima? Yu wapi basi, mwalimu wa Sheria? Naye bingwa wa mabishano wa nyakati hizi yuko wapi? Mungu ameifanya hekima ya ulimwengu kuwa upumbavu. (aiōn g165)
21 Kupuma uunkumbigulu nikulyo lakwe shaeumulengile Itunda, aeyemunonee tunda kuupungu wao nuautananti nsoko waagune awa niakuhuela.
Maana, kadiri ya hekima ya Mungu, watu hawawezi kumjua Mungu kwa njia ya hekima yao wenyewe. Badala yake, Mungu amependa kuwaokoa wale wanaoamini kwa njia ya kile ambacho wenye hekima wanakiona kuwa ni upumbavu, yaani ujumbe tunaohubiri.
22 Iayahudi ekolya ilengasiilyo niamakula nukuayunani eduma ikulyo.
Wayahudi wanataka ishara, na Wagiriki wanatafuta hekima;
23 Kuite kuumutanantya u Kilisto naeupagekilwe, naekimeli kuayahudi muupungu kuayunani.
lakini sisi tunamhubiri Kristo aliyesulubiwa. Kwa Wayahudi jambo hili ni kikwazo, na kwa watu wa mataifa ni upumbavu;
24 Kuite awanaeitangilwe ni Tunda, Iayahudi nia Yunani, kuu mutanantya u Kilisto anga ngulu nikulyo lang'wi Tunda.
lakini kwa wale walioitwa, Wayahudi kwa Wagiriki, Kristo ni nguvu ya Mungu na hekima ya Mungu.
25 Kunsoko u upungu nuang'wa Itunda, ukete upolo ikila nua ana adamu, nu unyeku nuang'wa Itunda ukete ngulu ikilo nua ana adamu.
Maana kinachoonekana kuwa ni upumbavu wa Mungu, kina busara zaidi kuliko hekima ya binadamu; na kinachoonekana kuwa ni udhaifu wa Mungu, kina nguvu zaidi kuliko nguvu za binadamu.
26 Gozi uwitangi nuang'wi Tunda kung'waanyu, akaka niadada ane. Singa aemiedu tai naemukete ingulu. Singamiedu tai nemutugilwe muukulu.
Ndugu, kumbukeni wakati mlipoitwa: wengi wenu hawakuwa wenye hekima hata kwa fikira za binadamu; wengi hawakuwa wenye nguvu au watu wa tabaka ya juu.
27 Kuite Itunda ausague imaintu nimapungu namihe nsoko akuhumye iminyala aya nakete ikulyo. Itunda ausague aya nimanegetu nikamihe kukihumya iminyala nikikete ingulu.
Ndiyo kusema, Mungu aliyachagua yale ambayo ulimwengu huyaona ni upumbavu, ili awaaibishe wenye hekima; na aliyachagua yale ambayo ulimwengu huyaona ni dhaifu, ili awaaibishe wenye nguvu.
28 Itunda ausague iki nikikole pihe nikinikimeilwe munumuhe. Ausague nimaintu nisinga aiaaigwe kina maintu nukimatenda singa kintu imaintu nakete insailo.
Mungu ameyachagua yale ambayo kwa fikira za dunia ni mambo yaliyo duni na yanayodharauliwa, mambo ambayo hata hayakuwako, ili kwa hayo ayafutilie mbali yale ambayo kwa fikira za binadamu ni mambo ya maana.
29 Autendile ite nsoko itule kutile wehi nukete insoko akihumbula ntongeela akwe.
Basi, hakuna mtu awezaye kujivunia chochote mbele ya Mungu.
30 Kunsoko aeki Itunda nukitendile, itungo ile mukole mukati ang'wa Yesu Kilisto, nutendekile ikulyo kunsoko itu kupuma kung'wi Tunda. Naetai itu, utakatifu nukomolwi.
Mungu mwenyewe ndiye aliyewaunganisha ninyi na Kristo Yesu. Mungu amemfanya Kristo awe hekima yetu; kwa njia yake sisi tunapatanishwa na Mungu, tunakuwa watu wake Mungu na kukombolewa.
31 Anga wigeeli, anga ulukani nululungile, “nukikulya, wikulye Mumukulu.”
Basi, kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mwenye kutaka kujivuna, basi, na ajivunie kazi ya Bwana.”

< 1 Korintho 1 >