< 1 Korintho 16 >
1 Itungo ile uhangueli nuutakewe miahueli, anga nemulagiwe mumatekeelo aa Galatia, uu uuu mutakiwe kituma.
Sasa, yahusu ule mchango kwa ajili ya watu wa Mungu: fanyeni kama nilivyoyaagiza makanisa ya Galatia.
2 Muluhiku nulang'wandyo nula wiki, kela ung'wi wanyu waike kentu kehi kuleka kusaja, anga nemuhumile. Tendi uu nsoko kina ileke kutula nuuhangueli imatungo nenzile.
Kila Jumapili kila mmoja wenu atenge kiasi cha fedha kadiri ya mapato yake, ili kusiwe na haja ya kufanya mchango wakati nitakapokuja.
3 Hange nekupika, wehi nemukumsagula, kumuntuma palung'wi nebalua kupumya isongeelyo lanyu uko ku Yelusalemu.
Wakati nitakapokuja kwenu, nitawatuma wale mtakaowachagua miongoni mwenu wapeleke barua na zawadi zenu Yerusalemu.
4 Hange ang'wi inonee unene kenda gwa, akulongole palung'wi nunene.
Kama itafaa nami niende, basi, watakwenda pamoja nami.
5 Kuite nzile kitalanyu, imatungo nekukila ku Makedonia. Kunsoko kukiila ku Makedonia.
Nitakuja kwenu, baada ya kupitia Makedonia—maana nataraji kupitia Makedonia.
6 Ang'wi nahume kikie nunyee ang'wi ukuma imatungo nampepo, nsoko kina muhume kunzaiilya mumuhinzo nuane, pehi nenomile.
Labda nitakaa kwenu kwa muda fulani, au huenda nitakaa pamoja nanyi wakati wote wa baridi, ili mpate kunisaidia niendelee na safari yangu kokote nitakakokwenda.
7 Kunsoko singa nsegile kumuona kumatungo makupe. Inge nihuie kikie nunyee kumatungo udu, ang'wi u Mukulu ukungombya.
Sipendi kupita kwenu harakaharaka na kuendelea na safari. Natumaini kukaa kwenu kwa kitambo fulani, Bwana akiniruhusu.
8 Kuite kikie ku Efeso sunga ipendekoste.
Lakini nitabaki hapa Efeso mpaka siku ya Pentekoste.
9 Kunsoko ukiilo ugale utuguwe kunsoko ane, hange akule alugu eedu niakungilya.
Mlango uko wazi kabisa kwa ajili ya kazi yangu muhimu hapa, ingawa wapinzani nao ni wengi.
10 Inge itungo u Timoteo nuzile, muoni kinaukole nunyenye muleke kogopa, ukituma umulimo nua Mukulu, anga nekituma.
Timotheo akija, angalieni asiwe na hofu yoyote wakati yupo kati yenu, kwani anafanya kazi ya Bwana kama mimi.
11 Muntu wehi waleke kumela. Mumu ailye munzila yakwe muupolo, nsoko kina wahume keza kungwaane. Kunsoko nsegile waze palung'wi nialunda.
Kwa hiyo mtu yeyote asimdharau, ila msaidieni aendelee na safari yake kwa amani ili aweze kurudi kwangu, maana mimi namngojea pamoja na ndugu zetu.
12 Itungo ile kutakelwa numuluna witu u Apolo. Aenumutiile umoyo kukila kuagendeela unye palungwi nialuna. Kuite wikalamula waleke keza itungo ile. Atauu, uzile imatungo anga walija ilyoma.
Kuhusu ndugu Apolo, nimemsihi sana aje kwenu pamoja na ndugu wengine, lakini hapendelei kabisa kuja sasa ila atakuja mara itakapowezekana.
13 Mutule miho, imeki kisa, mitume anga miagoka, mutule ningulu.
Kesheni, simameni imara katika imani, muwe hodari na wenye nguvu.
14 Inge ehi nemukumatenda mumatende muulowa.
Kila mfanyacho kifanyike kwa upendo.
15 Mulelingile ito nilang'wa Stephano. Mulegile kina aeahueli ang'wandyo uko kuakaya, hange kina aeiekile ienso muwitumi nua uhueli. Nitungo ile kumupepeelya akaka nea dada ane,
Ndugu, mnaifahamu jamaa ya Stefana; wao ni watu wa kwanza kabisa kuipokea imani ya Kikristo katika Akaya, na wamejitolea kuwatumikia watu wa Mungu. Ninawasihi ninyi ndugu zangu,
16 tuli nuupolo kuantu anga ao, nukukela muntu nukuailya imilimo neituma milimo palung'wi nuse.
muufuate uongozi wa watu kama hao, na uongozi wa kila mtu afanyaye kazi na kutumikia pamoja nao.
17 Hange ndoilwe kiza kung'wa Stephano, Fotunato nu Akiko. Imekile pakianza naza unyenye yemunonee kutula pang'wanso.
Nafurahi sana kwamba Stefana, Fortunato na Akaiko wamefika; wamelijaza pengo lililokuwako kwa kutokuwako kwenu.
18 Kunsoko ameloelya inkolo ane niyi nanyu. Kuite itungo ile, alingi iantu anga awa.
Wameiburudisha roho yangu na yenu pia. Kwa hiyo inafaa kuwakumbuka watu wa namna hii.
19 Imatekeelo a Asia atumile milamu kung'waanyu. Akila nu Priska amulamukilye mu Mukulu, palung; wi nitekeelo nelekole mito lao.
Makanisa yote ya Asia yanawasalimuni. Akula na Priskila pamoja na watu wote wa Mungu walio nyumbani mwao wanawasalimuni sana katika Bwana.
20 Akaka nia dada anaehi amulamukilye. Ilamushi kuulungeli nuutakatifu.
Ndugu wote wanawasalimuni. Nanyi salimianeni kwa ishara ya mapendo ya Mungu.
21 Unene, Paulo, kuandika ite kumukono wane.
Mimi Paulo nawasalimuni, nikiandika kwa mkono wangu mwenyewe.
22 Ang'wi wehi shumuloilwe u Mukulu, inge ikizumi ketule kung'waakwe. Mukulu witu, nzuu!
Yeyote asiyempenda Bwana, na alaaniwe. MARANA THA—BWANA, njoo!
23 Ukende nua Mukulu utule nunye.
Neema ya Bwana Yesu iwe nanyi.
24 Uulowa wane utule palung'wi nunye mung'wa Yesu Kilisto.
Mapendo yangu yawe kwenu katika kuungana na Kristo Yesu.