< Mazmur 49 >
1 Mazmur kaum Korah. Untuk pemimpin kor. Dengarlah, hai segala bangsa, pasanglah telinga, hai penduduk dunia,
Sikieni hili, ninyi watu wote; tegeni masikio, ninyi wenyeji wa dunia,
2 baik orang sederhana, maupun orang terkemuka, baik orang miskin, maupun orang kaya.
wote walio chini na walio juu, tajiri na masikini wote pamoja.
3 Aku akan mengucapkan kata-kata bijaksana, buah pikiranku sangat dalam.
Mdomo wangu utazungumza hekima na tafakari ya moyo wangu itakuwa ya uelewa.
4 Aku akan memperhatikan peribahasa, dan menerangkan artinya sambil memetik kecapi.
Nitaelekeza sikio langu kwenye mfano; nitaanza mfano wangu kwa kinubi.
5 Aku tidak takut di waktu kesesakan, waktu aku dikepung oleh musuh yang jahat.
Kwa nini nilazimike kuziogopa siku za uovu, wakati uovu umenizunguka kwenye visigino vyangu?
6 Mereka itu mengandalkan kekayaannya, dan menyombongkan harta bendanya.
Kwa nini niwaogope wale wanao amini katika mali zao na kujivuna kuhusu utajiri wao?
7 Sesungguhnya tak seorang pun dapat menyelamatkan saudaranya, atau membayar tebusannya kepada Allah.
Ni hakika kuwa hakuna yeyote atakaye muokoa ndugu yake au kumpa Mungu pesa kwa ajili yake,
8 Apa pun yang diberikannya tak akan mencukupi; terlalu mahal harga tebusan nyawanya,
Kwa maana ukombozi wa uhai wa mtu ni gharama kubwa, na hakuna awezaye kulipa kile tunacho daiwa.
9 agar ia terhindar dari mati dan dapat hidup selamanya.
Hakuna yeyote atakaye ishi milele ili mwili wake usioze.
10 Tidak, ia akan melihat bahwa orang bijaksana pun mati. Orang dungu dan bodoh sama-sama binasa, dan meninggalkan hartanya bagi orang lain.
Maana yeye ataona uozo. Watu wenye hekima hufa; wajinga pia huangamia na kuacha mali zao kwa wengine.
11 Mereka akan tinggal di kuburan selama-lamanya; itulah kediaman mereka untuk seterusnya, walaupun dahulu mereka memiliki banyak tanah.
Mawazo yao ya ndani ni kuwa familia zao zitaishi milele, na mahali waishipo, kwa vizazi vyote; wanaita ardhi zao kwa majina yao wenyewe.
12 Manusia tak dapat hidup terus dalam kemewahan; seperti binatang, ia pun akan binasa.
Lakini mtu, kuwa na mali, haimaanishi atabaki hai; kama wanyama walioangamia.
13 Begitulah nasib orang yang mengandalkan dirinya, dan masa depan orang yang puas dengan perkataannya.
Hii ni hatma ya wafanyao ujinga baada ya kufa, .................
14 Seperti domba, mereka ditentukan untuk mati; maut akan menjadi gembala mereka. Pagi-pagi mereka dikalahkan oleh orang jujur; tubuh mereka segera membusuk di dunia orang mati, jauh dari kediaman yang mewah. (Sheol )
Kama kondoo wamechaguliwa kwa ajili ya kuzimu na kifo kitakuwa mchungaji wao. Nao watatawaliwa na wenye haki ifikapo asubuhi, na miili yao italiwa kuzimuni, wakiwa hawana afasi ya kuishi kwa ajili yao. (Sheol )
15 Tetapi Allah akan membebaskan aku, Ia akan melepaskan aku dari kuasa maut. (Sheol )
Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. (Selah) (Sheol )
16 Jangan takut kalau seorang menjadi kaya, dan hartanya bertambah banyak.
Msifadhaike mtu awapo tajiri, utukufu wa nyumba yake uongezekapo.
17 Sebab waktu mati ia tak dapat membawa apa-apa, hartanya tak akan turun ke kubur bersama dia.
Maana atakapo kufa hataondoka na chochote; utukufu wake hautamfuata yeye.
18 Bahkan apabila seorang beruntung dalam hidupnya, dan disanjung-sanjung karena keberhasilannya,
Yeye huifurahisha nafsi yake awapo hai na watu hukusifu wewe uishipo maisha yako mwenyewe-
19 ia akan menyusul nenek moyangnya juga ke tempat yang gelap untuk selama-lamanya.
naye atakwenda kwenye ukoo wa baba zake naye kamwe hataiona nuru tena.
20 Manusia tak dapat terus hidup dalam kemewahan, seperti binatang, ia pun akan binasa.
Yule ambaye ana mali lakini hana ufahamu ni kama wanyama, ambao wataangamia.