< Mazmur 22 >

1 Untuk pemimpin kor. Menurut lagu: Rusa di kala fajar. Mazmur Daud. Allahku, ya Allahku, mengapa Engkau meninggalkan aku? Aku berseru, tetapi Engkau tetap jauh dan tidak menolong aku.
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa utenzi wa “Kulungu wa Alfajiri.” Zaburi ya Daudi. Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha? Kwa nini uko mbali hivyo kuniokoa? Mbali hivyo na maneno ya kuugua kwangu?
2 Ya Allahku, aku berseru di waktu siang, tetapi Engkau tetap diam. Aku berdoa di waktu malam, hatiku tidak juga tenang.
Ee Mungu wangu, ninalia mchana, lakini hunijibu, hata usiku, sinyamazi.
3 Namun Engkau Raja Yang Mahasuci, yang dipuji-puji oleh Israel.
Hata hivyo umesimikwa katika kiti cha enzi kama Uliye Mtakatifu; wewe ni sifa ya Israeli.
4 Nenek moyang kami berharap kepada-Mu, mereka berharap, dan Engkau menyelamatkan mereka.
Kwako wewe baba zetu waliweka tumaini lao, walikutumaini nawe ukawaokoa.
5 Mereka berseru kepada-Mu dan diluputkan; mereka berharap dan tidak dikecewakan.
Walikulilia wewe na ukawaokoa, walikutegemea wewe nao hawakuaibika.
6 Tetapi aku ini cacing, bukan manusia, dicemoohkan dan dihina orang banyak.
Mimi ni mnyoo wala si mwanadamu, wanaume wamenibeza, na watu wamenidharau.
7 Semua yang melihat aku, mengejek aku, mencibirkan bibir dan menggelengkan kepala.
Wote wanionao hunidhihaki, hunivurumishia matusi, wakitikisa vichwa vyao:
8 Kata mereka, "Biarlah ia mengandalkan TUHAN, supaya TUHAN menyelamatkan dia, kalau TUHAN senang kepadanya!"
Husema, “Anamtegemea Bwana, basi Bwana na amwokoe. Amkomboe basi, kwa maana anapendezwa naye.”
9 Engkaulah yang mengeluarkan aku dari kandungan, dan membuat aku aman di pangkuan ibuku.
Hata hivyo ulinitoa tumboni, ukanifanya nikutegemee, hata nilipokuwa ninanyonya matiti ya mama yangu.
10 Sejak lahir, nasibku ada di tangan-Mu, sejak dalam kandungan, Engkaulah Allahku.
Nimekabidhiwa kwako tangu kuzaliwa, toka tumboni mwa mama yangu umekuwa Mungu wangu.
11 Janganlah jauh, sebab bahaya sudah dekat, dan tidak ada yang menolong.
Usiwe mbali nami, kwa maana shida iko karibu na hakuna wa kunisaidia.
12 Seperti kawanan banteng, musuh mengerumuni aku, seperti banteng liar dari Basan mereka mengepung aku.
Mafahali wengi wamenizunguka, mafahali wa Bashani wenye nguvu wamenizingira.
13 Mereka menghadapi aku dengan mulut ternganga, seperti singa yang mengaum dan menerkam.
Simba wangurumao wanaorarua mawindo yao hupanua vinywa vyao dhidi yangu.
14 Tenagaku habis seperti air yang tumpah, semua tulangku terlepas dari sendinya, hatiku meleleh seperti lilin.
Nimemiminwa kama maji, mifupa yangu yote imetoka katika viungo vyake. Moyo wangu umegeuka kuwa nta, umeyeyuka ndani yangu.
15 Kerongkonganku kering seperti beling, lidahku melekat di langit-langit mulutku. TUHAN, Kautinggalkan aku di atas debu seperti orang yang sudah mati.
Nguvu zangu zimekauka kama kigae, ulimi wangu umegandamana na kaakaa la kinywa changu, kwa sababu umenilaza katika mavumbi ya kifo.
16 Aku dikepung gerombolan orang jahat; seperti kawanan anjing mereka mengerumuni aku, menusuki tangan dan kakiku.
Mbwa wamenizunguka, kundi la watu waovu limenizingira, wametoboa mikono yangu na miguu yangu.
17 Semua tulangku dapat kuhitung, musuh memandangi aku sebagai tontonan.
Naweza kuhesabu mifupa yangu yote, watu wananikodolea macho na kunisimanga.
18 Mereka membagi-bagikan pakaianku, dan membuang undi atas jubahku.
Wanagawana nguo zangu wao kwa wao, na vazi langu wanalipigia kura.
19 Tetapi Engkau, janganlah jauh, ya TUHAN, datanglah segera menolong aku, sebab Engkaulah kekuatanku.
Lakini wewe, Ee Bwana, usiwe mbali. Ee Nguvu yangu, uje haraka unisaidie.
20 Luputkanlah nyawaku dari pedang, selamatkan aku dari cengkeraman anjing.
Okoa maisha yangu na upanga, uhai wangu wa thamani kutoka nguvu za mbwa.
21 Aku tidak berdaya, lepaskanlah aku dari tanduk banteng dan dari moncong singa.
Niokoe kutoka kinywani mwa simba, niokoe kutoka pembe za mafahali mwitu.
22 Perbuatan-Mu akan kuceritakan kepada saudara-saudaraku; dalam pertemuan umat-Mu aku memuji-muji Engkau.
Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu, katika kusanyiko nitakusifu wewe.
23 Pujilah Dia, hai orang-orang takwa! Agungkanlah Dia, semua keturunan Yakub! Sujudlah kepada-Nya, semua keturunan Israel!
Ninyi ambao mnamcha Bwana, msifuni! Ninyi nyote wazao wote wa Yakobo, mheshimuni yeye! Mcheni yeye, ninyi wazao wote wa Israeli!
24 Sebab Ia tidak memandang hina orang tertindas, dan tidak meremehkan kesengsaraannya. Ia tidak berpaling dari orang itu, tetapi mendengar bila ia minta tolong kepada-Nya.
Kwa maana hakupuuza wala kudharau mateso ya aliyeonewa; hakumficha uso wake bali alisikiliza kilio chake ili amsaidie.
25 Di tengah kumpulan umat aku memuji Engkau, karena segala yang telah Kaulakukan. Di depan umat yang takwa kupersembahkan kurban yang kujanjikan.
Kwako wewe hutoka kiini cha sifa zangu katika kusanyiko kubwa, nitatimiza nadhiri zangu mbele ya wale wakuchao wewe.
26 Orang miskin akan makan sampai kenyang; orang yang datang kepada TUHAN akan memuji Dia. Semoga kamu sejahtera selama-lamanya!
Maskini watakula na kushiba, wale wamtafutao Bwana watamsifu: mioyo yenu na iishi milele!
27 Semua bangsa akan ingat kepada TUHAN dan kembali kepada-Nya, segala suku bangsa akan sujud menyembah Dia.
Miisho yote ya dunia itakumbuka na kumgeukia Bwana, nazo jamaa zote za mataifa watasujudu mbele zake,
28 Sebab Tuhanlah yang berkuasa, Ia memerintah bangsa-bangsa.
kwa maana ufalme ni wa Bwana naye hutawala juu ya mataifa.
29 Semua orang besar akan sujud di hadapan-Nya, semua manusia fana akan sujud menyembah Dia.
Matajiri wote wa dunia watasherehekea na kuabudu. Wote waendao mavumbini watapiga magoti mbele yake, wote ambao hawawezi kudumisha uhai wao.
30 Angkatan-angkatan berikut akan berbakti kepada TUHAN, Ia akan diberitakan turun-temurun.
Wazao wa baadaye watamtumikia yeye; vizazi vijavyo vitajulishwa habari za Bwana.
31 Kepada bangsa yang lahir kemudian akan dikabarkan bahwa TUHAN telah menyelamatkan umat-Nya.
Watatangaza haki yake kwa watu ambao hawajazaliwa bado, kwa maana yeye ametenda hili.

< Mazmur 22 >