< Mazmur 14 >

1 Untuk pemimpin kor. Mazmur Daud. Orang dungu berkata dalam hati, "Tidak ada Allah." Perbuatan mereka jahat dan keji tidak ada yang berbuat baik.
Mpumbavu husema moyoni mwake, “Hakuna Mungu.” Wamepotoka nakufanya uovu haramu; hakuna hata mmoja atendaye dhambi.
2 Dari surga TUHAN memandang umat manusia untuk mencari orang bijak yang menyembah Dia.
Yahwe anatazama chini kwa wanadamu kutoka mbinguni aone kama kuna yeyote anayeelewa, amtafutaye Mungu.
3 Tetapi semua orang sudah menyeleweng dan bejat, tak ada seorang pun yang berbuat baik.
Wote wamegeukia njia nyingine. Kwa pamoja wamepotoka. Hakuna yeyote atendaye mema, hakuna, hata mmoja.
4 Kata TUHAN, "Tak sadarkah orang-orang jahat itu? Mereka hidup dengan merampasi umat-Ku dan tak pernah berdoa kepada-Ku."
Je, hawajui lolote, wale wafanyao uovu, wale wanao kula watu wangu kama vile wanakula mkate, lakini hao hawamuiti Yahwe?
5 Orang jahat akan sangat ketakutan, sebab Allah melindungi orang yang taat kepada-Nya.
Wao wana tetemeka kwa hofu. Kwa kuwa Mungu yuko pamoja na kusanyiko la wenye haki!
6 Orang jahat mau merintangi orang miskin, tetapi TUHAN menjadi pelindungnya.
Ninyi mnataka kumfedhehesha mtu maskini japo kuwa Yahwe ni kimbilio lake.
7 Semoga dari Sion datang keselamatan bagi Israel! Maka keturunan Yakub akan bersukacita bila TUHAN memulihkan keadaan umat-Nya.
Oh, kwamba wokovu wa Israeli ungetokea Sayuni! Wakati Yahwe akiwarudisha watu wake kutoka utumwani, ndipo Yakobo atashangilia na Israeli itakuwa na furaha!

< Mazmur 14 >