< Mazmur 101 >

1 Mazmur Daud. Aku mau menyanyi tentang kesetiaan dan keadilan, bagi-Mu, ya TUHAN, nyanyian pujianku!
Nitaimba uaminifu wa agano lako na hukumu; kwako, Ee Yahwe, Nitakuimbia sifa.
2 Aku mau memperhatikan cara hidup yang tak bercela. Bilakah Engkau datang kepadaku? Aku mau hidup suci di rumahku,
Nitatembea katika njia ya uadilifu. Oh, ni lini utakuja kwangu? Nitatembea kwa uadilifu ndani ya nyumba yangu.
3 kejahatan tak akan kubiarkan. Kubenci perbuatan orang murtad, dan tak mau berurusan dengan mereka.
Sitaweka matendo maovu mbele ya macho yangu; ninachukia uovu usio na maana; hauta shikamana nami.
4 Aku tak mau berlaku curang dan tak mau terlibat dalam kejahatan.
Watu waliopotoka wataniacha mimi; mimi sichangamani na uovu.
5 Orang yang memfitnah dengan diam-diam akan kubinasakan. Orang yang sombong dan tinggi hati tak akan kubiarkan.
Nitamwangamiza yeyote amsengenyaye jirani yake kwa siri. Sitamvumilia yeyote mwenye kiburi.
6 Kusukai orang yang setia kepada Allah; mereka boleh tinggal di rumahku. Orang yang hidup tanpa cela boleh melayani aku.
Nitawachagua walio waaminifu katika nchi wakae upande wangu. Wale watembeao katika njia ya uhadilifu watanitumikia.
7 Penipu tak boleh tinggal di rumahku; pembohong tak akan tahan di hadapanku.
Watu wadanganyifu hawatabaki ndani ya nyumba yangu; waongo hawatakaribishwa mbele ya macho yangu.
8 Dari hari ke hari aku akan membasmi orang-orang jahat di negeri ini. Semua orang yang melakukan kejahatan akan kulenyapkan dari kota TUHAN.
Asubuhi hata asubuhi nitawaangamiza waovu wote kutoka nchini; nitawaondoa watendao maovu wote katika mji wa Yahwe.

< Mazmur 101 >