< Ayub 34 >

1 Bukankah kamu pandai dan berakal budi? Nah, dengarkanlah segala perkataanku ini.
Kisha Elihu akasema:
2
“Sikieni maneno yangu, enyi watu wenye hekima; nisikilizeni mimi, ninyi watu wenye maarifa.
3 Orang tahu makanan enak bila mengecapnya, dan kata-kata bijak bila mendengarnya.
Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno kama vile ulimi uonjavyo chakula.
4 Persoalan ini harus kita periksa lalu kita pecahkan bersama-sama.
Tujichagulie wenyewe yaliyo sawa, nasi tujifunze pamoja yaliyo mema.
5 Kata Ayub, 'Tak ada salah padaku, tetapi Allah tak mau memberi apa yang adil kepadaku.
“Ayubu anasema, ‘Mimi sina hatia, lakini Mungu ameninyima haki yangu.
6 Aku dianggap berdusta, karena mengatakan aku tak berdosa. Kini aku luka parah, meskipun aku tak bersalah.'
Ingawa niko sawa, ninaonekana mwongo; nami ingawa sina kosa, kidonda changu hakiponi.’
7 Pernahkah kamu melihat orang seperti Ayub ini? Ia mencemooh Allah berkali-kali.
Ni mtu gani aliye kama Ayubu, anywaye dharau kama maji?
8 Ia suka berkawan dengan orang-orang durhaka serta bergaul dengan orang-orang durjana.
Ashirikianaye na watenda mabaya na kuchangamana na watu waovu.
9 Ia berkata, bahwa sia-sia sajalah jika ia berusaha melakukan kehendak Allah.
Kwa kuwa anasema, ‘Haimfaidi mwanadamu kitu chochote anapojitahidi kumpendeza Mungu.’
10 Hai orang-orang yang bijak, dengarlah! Masakan Allah Yang Mahakuasa berbuat salah?
“Hivyo nisikilizeni mimi, ninyi watu wenye ufahamu. Kamwe Mungu hatendi uovu, Mwenyezi hafanyi kosa.
11 Ia mengganjar manusia setimpal perbuatannya, memperlakukan dia sesuai kelakuannya.
Humlipa mwanadamu kwa ajili ya lile alilotenda; huleta juu yake kile ambacho matendo yake yanastahili.
12 Allah Yang Mahakuasa tidak melakukan kejahatan; semua orang diberi-Nya keadilan.
Ni jambo lisiloweza kufikiriwa kwamba Mungu angefanya makosa, kwamba Mwenyezi angepotosha hukumu.
13 Dari siapakah Allah menerima kuasa-Nya? Siapakah mempercayakan bumi ini kepada-Nya?
Je, ni nani aliyemtawaza juu ya dunia? Ni nani aliyemweka kuwa mwangalizi wa ulimwengu wote?
14 Seandainya Allah mencabut nyawa manusia, dan mengambil kembali napas hidupnya,
Kama lilikuwa kusudi la Mungu, naye akaiondoa Roho yake na pumzi yake,
15 maka matilah semua makhluk yang bernyawa, dan manusia menjadi debu seperti semula.
wanadamu wote wangeliangamia kwa pamoja, na mtu angerudi mavumbini.
16 Nah, jika engkau arif, perhatikanlah, pasanglah telingamu dan dengarkanlah.
“Kama ninyi mnaufahamu, sikieni hili; sikilizeni hili nisemalo.
17 Apakah Allah yang adil dan perkasa itu kaupersalahkan? Apakah pada sangkamu Allah membenci keadilan?
Je, yeye aichukiaye haki aweza kutawala? Je, utamhukumu mwenye haki, Aliye na Nguvu Zote?
18 Allah menghukum raja dan penguasa bila mereka jahat dan durhaka.
Je, si ni yeye awaambiaye wafalme, ‘Ninyi hamfai kitu,’ nao watu mashuhuri, ‘Ninyi ni waovu,’
19 Ia tidak memihak kepada para raja, atau mengutamakan orang kaya daripada orang papa. Karena mereka semua adalah ciptaan-Nya.
yeye asiyependelea wakuu, wala haonyeshi upendeleo kwa matajiri kuliko maskini, kwa kuwa wote ni kazi ya mikono yake?
20 Di tengah malam, mereka dapat mati dengan tiba-tiba. Allah menghukum penguasa dan mereka pun binasa; dengan mudah dibunuh-Nya orang perkasa.
Wanakufa ghafula, usiku wa manane; watu wanatikiswa nao hupita; wenye nguvu huondolewa bila mkono wa mwanadamu.
21 Ia mengawasi hidup manusia, dilihat-Nya segala langkahnya.
“Macho yake yanazitazama njia za wanadamu; anaona kila hatua yao.
22 Tak ada kegelapan, betapa pun pekatnya, yang dapat menyembunyikan orang berdosa.
Hakuna mahali penye giza nene, wala uvuli mkubwa, ambapo watenda mabaya wanaweza kujificha.
23 Tidak perlu Allah menentukan saatnya, manusia datang untuk diadili oleh-Nya.
Mungu hana haja ya kumchunguza mtu sana, ili apate kuja mbele zake kwa hukumu.
24 Tanpa menyelidiki dan memeriksa Ia memecat penguasa dan mengangkat penggantinya.
Bila kuuliza huwapondaponda wenye nguvu nyingi na kuwaweka wengine mahali pao.
25 Sebab, Ia tahu apa yang mereka lakukan; maka Ia menggulingkan dan menghancurkan mereka di waktu malam.
Kwa sababu huyaangalia matendo yao yote, huwaondoa usiku, nao wakaangamia.
26 Mereka ditampar-Nya karena dosa mereka, di depan umum mereka dihukum-Nya.
Anawaadhibu kwa ajili ya uovu wao mahali ambapo kila mmoja ataweza kuwaona,
27 Sebab, mereka tidak mentaati kehendak-Nya dan tak mengindahkan segala perintah-Nya.
kwa sababu wameacha kumfuata Mungu, nao hawakuiheshimu njia yake hata moja.
28 Mereka menyebabkan orang miskin berkeluh kesah tangisan mereka didengar Allah.
Wamesababisha kilio cha maskini kifike mbele zake, hivyo akasikia kilio cha wahitaji.
29 Apabila Allah memutuskan untuk diam saja, tak seorang pun akan berani mengecam-Nya. Apabila Ia menyembunyikan wajah-Nya, tak seorang pun dapat menemukan-Nya.
Lakini kama akinyamaza kimya, ni nani awezaye kumhukumu? Kama akiuficha uso wake, ni nani awezaye kumwona? Ikiwa ni taifa au mtu mmoja, kwake ni sawa,
30 Maka bangsa-bangsa tidak berdaya untuk mencegah penindasan jahat berkuasa.
ili kumzuia mtu mwovu kutawala, au wale ambao huwategea watu mitego.
31 Ayub, apakah dosamu kepada Allah telah kauakui? sudahkah kau berjanji tak akan berdosa lagi?
“Kama mwanadamu akimwambia Mungu, ‘Nimekosa lakini sitatenda dhambi tena.
32 Sudahkah kauminta agar ditunjukkan-Nya kesalahanmu? Sudahkah kau bersumpah menghentikan perbuatan itu?
Nifundishe nisichoweza kuona; kama nimekukosea, sitafanya hivyo tena.’
33 Masakan Allah akan mengabulkan apa yang kauingini, setelah perbuatan Allah tidak kausetujui? Kini, engkau yang harus memutuskan, bukan aku. Katakanlah apa pendapatmu!
Je basi, Mungu atakulipa kwa masharti yako, wakati wewe umekataa kutubu? Yakupasa wewe uamue, wala si mimi; sasa niambie lile ulijualo.
34 Semua orang arif pastilah akan menyetujuinya; orang bijak yang mendengar aku akan berkata
“Wanadamu wenye ufahamu husema, wenye hekima wanaonisikia huniambia,
35 bahwa Ayub berbicara tanpa mengerti, dan bahwa perkataannya tidak mengandung arti.
‘Ayubu huongea bila maarifa; maneno yake hayana busara.’
36 Jika kata-kata Ayub ditinjau dengan cermat, akan nyatalah bahwa bicaranya seperti orang jahat.
Laiti Ayubu angejaribiwa hadi kikomo cha mwisho, kwa sababu anajibu kama mtu mwovu!
37 Kesalahannya ditambah lagi dengan sebuah dosa; ia memberontak terhadap Allah, dan menghina-Nya di hadapan kita.
Kwenye dhambi yake huongeza uasi; kwa dharau hupiga makofi miongoni mwetu, na kuzidisha maneno yake dhidi ya Mungu.”

< Ayub 34 >