< 2 Raja-raja 10 >

1 Raja Ahab mempunyai tujuh puluh anak cucu di kota Samaria. Sebab itu Yehu mengirim surat ke Samaria, kepada para wali anak cucu Ahab dan kepada penguasa-penguasa serta pemuka-pemuka masyarakat di kota itu. Bunyi surat itu begini,
Wakati huu katika Samaria walikuwepo wana sabini wa nyumba ya Ahabu. Kwa hiyo Yehu akaandika barua na kuzituma Samaria: kwa maafisa wa Yezreeli, kwa wazee, na kwa walezi wa watoto wa Ahabu. Akasema,
2 "Anak cucu Ahab ada dalam pengawasan kalian, dan kalian mempunyai kereta perang, kuda, senjata dan kota berbenteng. Sebab itu, segera setelah kalian menerima surat ini,
“Mara tu barua hii itakapokufikia, kwa kuwa wana wa bwana wako wapo pamoja nawe, nawe una magari ya vita na farasi, mji wenye ngome na silaha,
3 pilihlah yang terbaik dari antara anak cucu Ahab itu dan angkatlah dia menjadi raja, lalu berjuanglah membela dia."
mchague mwenye uwezo zaidi kati ya wana wa bwana wako, na umweke juu ya kiti cha enzi cha baba yake. Kisha upigane kwa ajili ya nyumba ya bwana wako.”
4 Penguasa-penguasa Samaria menjadi takut. Mereka berkata, "Raja Yoram dan Raja Ahazia pun tidak bisa melawan Yehu, apalagi kita!"
Lakini wakaogopa sana na kusema, “Ikiwa wafalme wawili hawakuweza kupambana na Yehu, sisi tutawezaje?”
5 Karena itu kepala istana dan walikota bersama pemuka-pemuka masyarakat dan para wali anak cucu Ahab itu mengirim berita ini kepada Yehu, "Kami takluk kepada Tuan dan bersedia melakukan apa saja yang Tuan perintahkan kepada kami. Kami tidak akan mengangkat siapa pun menjadi raja. Lakukanlah apa yang baik menurut pandangan Tuan."
Basi msimamizi wa jumba la mfalme, mtawala wa mji, na wazee na walezi wakatuma ujumbe huu kwa Yehu: “Sisi tu watumishi wako, na tutafanya kila kitu utakachosema. Hatutamteuwa mtu yeyote kuwa mfalme. Wewe fanya uonalo kuwa ni bora.”
6 Lalu Yehu mengirim lagi surat kepada mereka, bunyinya, "Kalau kalian ada di pihakku, serta bersedia menuruti perintah-perintahku, bunuhlah anak cucu Ahab itu, dan besok pada waktu seperti ini bawalah kepala-kepala mereka kepadaku di Yizreel." Ketujuh puluh anak cucu Raja Ahab itu tinggal pada pemuka-pemuka masyarakat di kota Samaria, dan diasuh oleh mereka.
Kisha Yehu akawaandikia barua ya pili, akisema, “Ikiwa ninyi mko upande wangu na mtanitii mimi, twaeni vichwa vya wana wa bwana wenu, na mnijie huku Yezreeli kesho wakati kama huu.” Wakati huo wana sabini wa mfalme walikuwa wakiishi pamoja na viongozi wa mji wa Samaria, waliokuwa wakiwalea.
7 Setelah menerima surat Yehu, pemuka-pemuka masyarakat kota Samaria itu membunuh ketujuh puluh anak cucu Ahab itu lalu kepala-kepala mereka dimasukkan ke dalam keranjang dan dikirim kepada Yehu di Yizreel.
Hiyo barua ilipowafikia, watu hawa wakawachukua wale wana sabini wa mfalme na kuwachinja wote. Wakaweka vichwa vyao ndani ya makapu na kumpelekea Yehu huko Yezreeli.
8 Setelah hal itu diberitahukan kepada Yehu, ia memerintahkan supaya kepala-kepala itu disusun menjadi dua tumpukan pada gerbang kota, dan dibiarkan di situ sampai pagi.
Mjumbe alipofika, akamwambia Yehu, “Wameleta vichwa vya wana wa mfalme.” Ndipo Yehu akaagiza, “Viwekeni malundo mawili katika ingilio la lango la mji mpaka asubuhi.”
9 Pagi-pagi keluarlah Yehu ke pintu gerbang, lalu berkata kepada orang-orang yang berkumpul di situ, "Sayalah yang bersekongkol melawan Raja Yoram dan membunuh dia; kalian tidak bersalah dalam hal itu. Tetapi semua orang ini bukan saya yang membunuh.
Asubuhi yake, Yehu akatoka nje. Akasimama mbele ya watu wote na akasema, “Hamna hatia. Ni mimi niliyefanya shauri baya dhidi ya bwana wangu na kumuua, lakini ni nani aliyewaua wote hawa?
10 Inilah buktinya bahwa segala yang dikatakan TUHAN tentang anak cucu Ahab akan terjadi. TUHAN sudah melaksanakan apa yang diucapkan-Nya melalui Elia hamba-Nya."
Fahamuni basi kwamba, hakuna neno ambalo Bwana amesema dhidi ya nyumba ya Ahabu ambalo halitatimia. Bwana amefanya lile aliloahidi kupitia mtumishi wake Eliya.”
11 Kemudian Yehu membunuh semua sanak saudara Ahab yang lain yang tinggal di Yizreel, dan semua pegawai, teman-teman karib, dan imam-imamnya; tidak seorang pun dibiarkan hidup.
Hivyo Yehu akaua kila mtu huko Yezreeli aliyekuwa amebaki wa nyumba ya Ahabu, ikiwa ni pamoja na wakuu wake, rafiki zake wa karibu, na makuhani wake. Hakuacha yeyote anusurike.
12 Yehu meninggalkan Yizreel lalu pergi ke Samaria. Di tengah jalan, di tempat yang disebut "Perkampungan Gembala",
Kisha Yehu akaondoka kuelekea Samaria. Alipokuwa njiani karibu na nyumba ya kukatia manyoya ya kondoo, yaani, Beth-Ekedi ya wachunga kondoo,
13 ia berjumpa dengan beberapa sanak saudara Ahazia raja Yehuda. Ia bertanya, "Kalian siapa?" "Kami sanak saudara Ahazia," jawab mereka. "Kami hendak ke Yizreel untuk mengunjungi seluruh keluarga raja dan anak cucu Ratu Izebel."
Yehu akakutana na watu wa jamaa ya Ahazia mfalme wa Yuda, akauliza, “Ninyi ni nani?” Wao wakasema, “Sisi ni jamaa ya Ahazia, nasi tumeshuka kuwasalimu jamaa ya mfalme na ya mama malkia.”
14 "Tangkap mereka hidup-hidup!" perintah Yehu kepada anak buahnya. Maka orang-orang itu ditangkap, lalu dibunuh di dekat sebuah sumur yang kering, semuanya empat puluh dua orang. Tidak seorang pun dibiarkan hidup.
Yehu akaagiza, “Wakamateni wakiwa hai!” Kwa hiyo wakawachukua wakiwa hai, watu arobaini na wawili, na kuwachinja kando ya kisima cha Beth-Ekedi. Hakuacha yeyote anusurike.
15 Yehu meneruskan perjalanannya. Di tengah jalan, ia disambut oleh Yonadab anak Rekhab. Yehu memberi salam kepadanya dan berkata, "Bukankah kita sehati? Maukah engkau menyokong saya?" "Ya," jawab Yonadab. "Kalau begitu, mari kita berjabat tangan," balas Yehu. Mereka berjabatan tangan, dan Yehu menolong Yonadab naik ke dalam keretanya,
Baada ya kuondoka hapo, alimkuta Yehonadabu mwana wa Rekabu, aliyekuwa akienda kumlaki. Yehu akamsalimu na kusema, “Je, moyo wako ni mnyofu kwangu kama moyo wangu ulivyo kwako?” Yehonadabu akajibu, “Ndiyo.” Yehu akasema, “Kama ndivyo, nipe mkono wako.” Yeye akampa mkono, naye Yehu akampandisha kwenye gari lake la vita.
16 sambil berkata, "Mari ikut dan saksikan sendiri bagaimana giatnya saya untuk TUHAN." Lalu mereka bersama-sama naik kereta ke Samaria.
Yehu akasema, “Twende pamoja ukaone wivu wangu kwa ajili ya Bwana.” Hivyo wakasafiri pamoja kwenye gari lake.
17 Setibanya di sana Yehu membunuh semua sanak saudara Ahab, tidak seorang pun yang tertinggal. Hal itu terjadi sesuai dengan apa yang dikatakan TUHAN kepada Elia.
Yehu alipofika Samaria, akawaua wale wote waliokuwa wamesalia wa jamaa ya Ahabu, akawaangamiza, sawasawa na neno la Bwana alilosema kupitia Eliya.
18 Yehu menyuruh penduduk Samaria berkumpul lalu ia berkata, "Raja Ahab kurang giat mengabdi kepada Baal; aku akan lebih giat dari dia.
Kisha Yehu akawaleta watu wote pamoja na kuwaambia, “Ahabu alimtumikia Baali kidogo. Lakini Yehu atamtumikia zaidi.
19 Sebab itu kumpulkanlah semua nabi Baal dan penyembahnya serta imam-imamnya; seorang pun jangan terkecuali. Aku akan mempersembahkan kurban yang besar untuk Baal. Siapa tidak hadir akan dihukum mati." Tetapi itu hanya suatu siasat dari Yehu untuk membunuh semua penyembah Baal.
Sasa waiteni manabii wote wa Baali, watumishi wake wote na makuhani wake wote. Hakikisheni kwamba hakuna hata mmoja atakayekosekana, kwa sababu ninakwenda kutoa kafara kubwa sana kwa Baali. Yeyote atakayeshindwa kuja hataendelea kuishi.” Lakini Yehu alifanya hivyo kwa hila ili apate kuwaangamiza watumishi wote wa Baali.
20 Yehu memberi perintah ini: "Tentukanlah satu hari khusus untuk menyembah Baal!" Maka orang menentukan hari itu
Yehu akasema, “Itisheni kusanyiko kwa heshima ya Baali.” Basi wakatangaza jambo hilo.
21 dan Yehu mengumumkannya di seluruh Israel. Pada hari itu datanglah semua penyembah Baal, tidak seorang pun yang ketinggalan. Mereka masuk ke kuil Baal dan memenuhi gedung itu dari depan sampai ke belakang.
Kisha Yehu akapeleka ujumbe katika Israeli yote, nao watumishi wote wa Baali wakaja, hakuna hata mmoja ambaye hakufika. Wakasongana ndani ya hekalu la Baali hadi likajaa tangu mlango hadi mwisho wake.
22 Yehu memerintahkan supaya pengurus pakaian-pakaian ibadat di kuil itu memberikan pakaian-pakaian itu kepada orang-orang yang datang untuk beribadat kepada Baal. Sesudah perintah itu dilaksanakan,
Naye Yehu akamwambia yule aliyekuwa mtunza chumba cha mavazi, “Leta majoho kwa ajili ya watumishi wote wa Baali.” Basi akawaletea majoho.
23 Yehu memasuki kuil Baal itu bersama Yonadab anak Rekhab, dan berkata kepada orang-orang di sana, "Periksalah dengan teliti apakah semua yang hadir ini hanya penyembah Baal. Jangan sampai ada di sini orang yang menyembah TUHAN."
Kisha Yehu na Yehonadabu mwana wa Rekabu wakaingia ndani ya hekalu la Baali. Yehu akawaambia watumishi wa Baali, “Tazameni kila mahali mhakikishe kwamba hakuna hata mtumishi mmoja wa Bwana aliye hapa pamoja nanyi, ila ni watumishi wa Baali tu.”
24 Lalu Yehu dan Yonadab mempersembahkan kurban kepada Baal. Di luar gedung, Yehu sudah menempatkan 80 pengawal dan perwira. Ia juga telah memberikan perintah ini kepada mereka, "Kalian harus membunuh semua orang itu. Siapa membiarkan satu dari mereka melarikan diri, akan dibunuh!"
Kwa hiyo wakaingia ndani ili kutoa kafara na sadaka ya kuteketezwa. Wakati huu, Yehu alikuwa amewaweka watu wake themanini akiwa amewapa onyo kwamba, “Ikiwa mmoja wenu atamwachia mtu yeyote ninayemweka mikononi mwake atoroke, itakuwa uhai wako kwa uhai wake.”
25 Segera setelah Yehu mempersembahkan kurban, ia keluar dan berkata kepada para pengawal dan perwira-perwira itu, "Masuklah dan bunuh mereka semua. Jangan biarkan seorang pun lolos!" Maka masuklah mereka dengan pedang terhunus, dan membunuh semua orang di situ, lalu menyeret mayat-mayat itu ke luar. Kemudian mereka masuk ke bagian dalam kuil,
Mara baada ya Yehu kutoa sadaka ya kuteketezwa, akawaamuru walinzi na maafisa: “Ingieni ndani, waueni; asitoroke hata mmoja.” Basi wakawakatakata kwa upanga. Walinzi na maafisa wakazitupa zile maiti nje, kisha wakaingia mahali pa ndani pa kuabudia miungu katika hekalu la Baali.
26 dan mengeluarkan patung Baal lalu membakarnya.
Wakaileta ile nguzo ya kuabudiwa nje ya hekalu la Baali, na wakaichoma moto.
27 Patung itu dimusnahkan bersama gedungnya lalu tempat itu dijadikan tempat buang air sampai pada hari ini.
Wakabomoa ile nguzo ya kuabudiwa ya Baali pamoja na hekalu la Baali, nao watu wakapafanya kuwa choo hadi leo.
28 Demikianlah Yehu menyapu bersih penyembahan Baal di Israel.
Kwa hiyo Yehu akaangamiza kuabudiwa kwa Baali katika Israeli.
29 Sebab itu TUHAN berkata begini kepada Yehu, "Segala yang Kuperintahkan kepadamu untuk dilakukan terhadap keturunan Ahab telah kaulaksanakan. Karena itu Aku berjanji bahwa anak cucumu sampai keturunan keempat akan menjadi raja atas Israel." Tetapi Yehu tidak dengan sepenuh hati mentaati hukum TUHAN, Allah Israel. Ia menuruti perbuatan Yerobeam yang membuat orang Israel berdosa dengan menyembah lembu emas yang didirikannya di Betel dan di Dan.
Hata hivyo, Yehu hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati, ambazo alikuwa amesababisha Israeli kuzitenda, yaani kuabudu ndama za dhahabu huko Betheli ya Dani.
Bwana akamwambia Yehu, “Kwa kuwa umefanya vyema kwa kutimiza yaliyo sawa machoni pangu, na umetenda kwa nyumba ya Ahabu yale yote niliyokuwa nimekusudia kutenda, wazao wako wataketi juu ya kiti cha enzi cha Israeli hadi kizazi cha nne.”
Lakini Yehu hakuwa mwangalifu kushika sheria za Bwana, Mungu wa Israeli, kwa moyo wake wote. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu, ambazo alikuwa amesababisha Israeli kuzitenda.
32 Pada waktu itu TUHAN mulai memperkecil daerah Israel. Hazael raja Siria merebut seluruh daerah Israel
Katika siku hizo, Bwana akaanza kupunguza ukubwa wa Israeli. Hazaeli akawashinda Waisraeli sehemu zote za nchi yao
33 di sebelah timur Sungai Yordan sampai ke selatan sejauh kota Aroer dekat Sungai Arnon, termasuk daerah Gilead dan Basan, tempat tinggal suku Gad, Ruben dan Manasye timur.
mashariki ya Yordani, katika nchi yote ya Gileadi (eneo la Gadi, Reubeni na Manase), kutoka Aroeri karibu na Bonde la Arnoni kupitia Gileadi hadi Bashani.
34 Kisah lainnya mengenai Yehu, termasuk jasa-jasa kepahlawanannya, dicatat dalam buku Sejarah Raja-raja Israel.
Kwa matukio mengine ya utawala wa Yehu, yote aliyofanya na mafanikio yake yote, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?
35 Yehu memerintah sebagai raja Israel 28 tahun lamanya. Ia meninggal dan dikuburkan di Samaria. Lalu Yoahas anaknya menjadi raja menggantikan dia.
Yehu akalala pamoja na baba zake, naye akazikwa huko Samaria. Naye Yehoahazi mwanawe akawa mfalme baada yake.
Muda Yehu aliotawala juu ya Israeli huko Samaria ilikuwa miaka ishirini na minane.

< 2 Raja-raja 10 >