< 1 Tawarikh 2 >

1 Anak lelaki Yakub ada dua belas orang: Ruben, Simeon, Lewi, Yehuda, Isakhar, Zebulon,
Hawa ndio wana wa Israeli: Reubeni, Simioni, Lawi, Yuda, Isakari, Zebuloni,
2 Dan, Yusuf, Benyamin, Naftali, Gad, Asyer.
Dani, Yusufu, Benyamini, Naftali, Gadi, na Asheri.
3 Anak lelaki Yehuda ada lima orang. Dari istrinya yang bernama Batsyua, wanita Kanaan, lahir Er, Onan dan Sela; dari istrinya yang bernama Tamar, yaitu anak menantunya sendiri, lahir Peres dan Zerah. Er anak sulung Yehuda itu sangat jahat, sehingga TUHAN membunuhnya.
Wana wa Yuda walikuwa Eri, Onani, na Shela, ambao walizaliwa na binti wa Shua, Wakanaani. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa muovu katika macho ya Yahweh, na Yahweh akamwua.
4
Tamari, mkwe wake, alimzalia Peresi na Zera. Yuda alikuwa na wana wa kiume wa tano.
5 Peres mempunyai dua anak laki-laki, yaitu Hezron dan Hamul.
Wana wa Peresi walikuwa Hesroni na Hamuli.
6 Zerah mempunyai lima anak laki-laki: Zimri, Etan, Heman, Kalkol, dan Dara.
Wana wa Zera walikuwa Zimri, Ethani, Hemani, Kalikoli na Darda, wote kwa jumla ni watano.
7 Akhan anak Karmi keturunan Zerah, mendatangkan malapetaka atas umat Israel karena mengambil barang rampasan perang yang dikhususkan untuk Allah.
Mwana wa Karmi alikuwa ni Akani, aliye leta taabu katika Israeli alipo iba kile kilicho hifadhiwa kwa ajili ya Mungu.
8 Anak laki-laki Etan ialah Azarya.
Mwana wa Ethani alikuwa Azaria.
9 Hezron mempunyai tiga anak laki-laki: Yerahmeel, Ram dan Kaleb.
Wana wa Hezroni walikuwa ni Yerameeli, Ramu, na Kalebu.
10 Garis silsilah dari Ram sampai kepada Isai adalah sebagai berikut: Ram, Aminadab, Nahason (seorang tokoh suku Yehuda),
Ramu akawa baba wa Aminadabu, na Aminadabu akawa baba wa Nashoni, kiongozi miongoni uzao wa Yuda.
11 Salmon, Boas,
Nashoni akawa baba wa Salmoni, na Salmon akawa baba wa Boazi.
12 Obed, Isai.
Boazi akawa baba wa Obedi, na Obedi akawa baba wa Yese.
13 Anak lelaki Isai ada tujuh. Inilah nama-nama mereka menurut urutan umur: Eliab, Abinadab, Simea,
Yese akawa baba wa mzaliwa wake wa kwanza Eliabu, wa pili Abinadabu, wa tatu Shama.
14 Netaneel, Radai,
Nethaneli wa nne, Radai wa tano.
15 Ozem, Daud.
Ozemu wa sita, na Daudi wa saba.
16 Isai juga mempunyai dua anak perempuan: Zeruya dan Abigail. Zeruya mempunyai tiga orang anak: Abisai, Yoab dan Asael.
Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa Abishai, Yoabu, na Asaheli, jumla watatu.
17 Abigail kawin dengan Yeter keturunan Ismael. Mereka mempunyai seorang anak laki-laki bernama Amasa.
Abigali akamzaa Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri Mwishmaeli.
18 Kaleb anak Hezron kawin dengan Azuba dan mendapat seorang anak perempuan bernama Yeriot. Yeriot ini mempunyai tiga anak laki-laki: Yezer, Sobab, Ardon.
Kalebu mwana wa Hesroni akawa baba wa watoto wa Azubu mkewe, na Yeriothi. Wanawe walikuwa Yesheri, Shobabu, na Ardoni.
19 Setelah Azuba meninggal, Kaleb kawin dengan Efrat dan mendapat seorang anak laki-laki bernama Hur.
Azuba akafa, na Kalebu akamuoa Efrathi, aliye mzalia Huri.
20 Anak laki-laki Hur bernama Uri dan cucunya bernama Bezaleel.
Huri akawa baba wa Uri, na Uri akawa baba wa Besaleli.
21 Ketika Hezron berumur 60 tahun ia kawin dengan saudara perempuan Gilead, anak Makhir. Mereka mendapat seorang anak laki-laki bernama Segub,
Baadae Hesroni (alipo kuwa na miaka sitini) akamuoa binti wa Makiri, baba wa Gileadi. Akamzalia Segubu.
22 dan Segub mendapat seorang anak laki-laki bernama Yair, yang mempunyai 23 desa di wilayah Gilead.
Segubu akawa baba wa Yairi, aliye miliki miji ishirini na mitatu katika nchi ya Gileadi.
23 Tetapi kerajaan Gesur dan Aram mengalahkan 60 desa di wilayah itu termasuk desa-desa orang Yair, desa Kenat, serta desa-desa kecil di sekitarnya. Semua orang yang tinggal di situ adalah keturunan Makhir ayah Gilead.
Geshuri na Aramu wakawapokonya miji ya Yairi na Kenathi, pamoja na miji sitini iliyo zunguka. Hawa wakazi wote walikuwa ni uzao wa Makiri, baba wa Gileadi.
24 Setelah Hezron meninggal, Kaleb anaknya kawin dengan Efrat janda ayahnya. Anak mereka yang laki-laki bernama Asyur; dialah yang mendirikan kota Tekoa.
Baada ya kifo cha Hesroni, Kalebu akalala na Efrata, mke wa baba yake Hesroni. Akamzalia Ashuri, baba wa Tekoa.
25 Yerahmeel anak sulung Hezron mempunyai lima anak laki-laki: Ram yang tertua, lalu Buna, Oren, Ozem dan Ahia.
Wana wa Yerameeli, mzaliwa wa kwanza wa Hesroni, walikuwa ni Ramu mzaliwa wa kwanza, Buna, Oreni, Ozemu, na Ahiya.
26 Ram mempunyai tiga anak laki-laki: Maas, Yamin dan Eker. Yerahmeel mempunyai istri lain bernama Atara; mereka mendapat anak laki-laki bernama Onam.
Yerameeli alikuwa na mke mwingine, Jina lake lilikuwa Atara. Yeye alikuwa mama wa Onamu.
Wana wa Ramu, mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli, walikuwa Maasi, Yamini, na Ekeri.
28 Anak laki-laki Onam ada dua orang: Samai dan Yada. Samai pun mempunyai dua anak laki-laki, yaitu Nadab dan Abisur.
Wana wa Onamu walikuwa ni Shamai na Yada. Wana wa Shamai walikuwa ni Nadabu na Abishuri.
29 Abisur kawin dengan Abihail dan mereka mendapat dua anak laki-laki; Ahban dan Molid.
Jina la mke wa Abishuri lilikuwa Abihaili, na akamzalia Abani na Molidi.
30 Nadab abang Abisur mempunyai dua anak laki-laki juga yang bernama Seled dan Apaim, tetapi Seled meninggal tanpa mempunyai anak laki-laki.
Wana wa Nadabu walikuwa Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa pasipo watoto.
31 Apaim adalah ayah Yisei, Yisei ayah Sesan, dan Sesan ayah Ahlai.
Mwana wa Apaimu alikuwa Ishi. Mwana wa Ishi alikuwa Sheshani. Mwana wa Sheshani alikuwa Alai.
32 Yada saudara Samai mempunyai dua anak laki-laki bernama Yeter dan Yonatan. Tetapi Yeter meninggal tanpa mempunyai anak laki-laki.
Wana wa Yada, kaka yake Shamai, walikuwa Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa pasipo mtoto.
33 Yonatan mempunyai dua anak laki-laki, yaitu Pelet dan Zaza. Mereka semua adalah keturunan Yerahmeel.
Wana wa Yonathani walikuwa Pelethi na Zaza. Hawa ndio uzao wa Yerameeli.
34 Sesan tidak mempunyai anak laki-laki, hanya anak perempuan. Hambanya, seorang Mesir bernama Yarha,
Sasa Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, bali wa kike pekee. Sheshani alikuwa na mtumishi, wa Kimisri, ambaye jina lake lilikuwa Yariha.
35 dikawinkannya dengan salah seorang anaknya. Mereka mendapat anak laki-laki yang bernama Atai.
Sheshani alimkabidhi binti yake kwa Yariha mtumishi wake kama mke wake. Akamzalia Atai.
36 Garis keturunan dari Atai sampai kepada Elisama berturut-turut adalah sebagai berikut: Atai, Natan, Zabad, Eflal, Obed, Yehu, Azarya, Heles, Elasa, Sismai, Salum, Yekamya, Elisama.
Atai akawa baba wa Nathani, na Nathani akawa baba wa Zabadi.
Zabadi akawa baba wa Efalali, na Afalali akawa baba wa Obedi.
Obedi akawa baba wa Yehu, na Yehu akawa baba wa Azaria.
Azaria akawa baba wa Helesi, na Helesi akawa baba wa Eleasa.
Eleasa akawa baba wa Sismai, na Sismai akawa baba wa Shalumu.
Shalumu akawa baba wa Yekamia, na Yekamia akawa baba wa Elishama.
42 Kaleb saudara Yerahmeel mempunyai seorang anak laki-laki bernama Mesa. Ia anak sulung. Mesa adalah ayah Zif, Zif ayah Maresa, Maresa ayah Hebron.
Wana wa Kalebu, kaka yake Yerameeli, walikuwa ni Mesha mzaliwa wake wa kwanza, aliye kuwa baba wa Zifu. Mwanae wa pili, Maresha, allikuwa baba wa Hebroni.
43 Hebron mempunyai empat anak laki-laki: Korah, Tapuah, Rekem dan Sema.
Wana wa Hebroni walikuwa Kora, Tapua, Rekemu, na Shema.
44 Sema adalah ayah Raham. Cucu Sema bernama Yorkeam. Rekem abang Sema adalah ayah Samai;
Shema akawa baba wa Rahamu, baba wa Yorkeamu. Rekemu akawa baba wa Shamai.
45 Samai ayah Maon, dan Maon ayah Bet-Zur.
Mwana wa Shamai alikuwa Maoni, na Maoni alikuwa baba wa Bethsuri.
46 Kaleb mempunyai selir bernama Efa. Mereka mendapat tiga anak laki-laki bernama Haran, Moza dan Gazes. Haran juga mempunyai anak yang bernama Gazes.
Efa, suria wa Kalebu, alimza Harani, Mosa, na Gazezi. Harani akawa baba wa Gazezi.
47 (Seorang bernama Yohdai mempunyai enam anak laki-laki: Regem, Yotam, Gesan, Pelet, Efa dan Saaf.)
Wana wa Yadai walikuwa Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa, na Shaafa.
48 Kaleb mempunyai selir lain bernama Maakha. Dengan dia Kaleb mendapat dua anak laki-laki bernama: Seber dan Tirhana;
Maaka, suria wa Kalebu, alimza Sheberi na Tirhana.
49 kemudian mereka mendapat dua anak laki-laki lagi bernama: Saaf dan Sewa. Saaf adalah pendiri kota Madmana, dan Sewa pendiri kota Makhbena dan Gibea. Kaleb juga mempunyai seorang anak perempuan bernama Akhsa.
Pia akamza Shaafu baba wa Madmana, Sheva baba wa Makbena na baba wa Gibea. Binti wa Kalebu alikuwa Aksa. Hawa walikuwa uzao wa Kalebu.
50 Berikut ini adalah keturunan Kaleb juga: Hur adalah anak sulung dari Kaleb dengan istrinya yang bernama Efrat. Syobal anak Hur adalah pendiri kota Kiryat-Yearim.
Hawa walikuwa wana wa Huri, mzaliwa wake wa kwanza kwa Efratha: Shobali baba wa Kiriath-Yearimu.
51 Salma anaknya yang kedua adalah pendiri kota Betlehem; dan Haref anaknya yang ketiga pendiri kota Bet-Gader.
Salma baba wa Bethlehemu, na Harefu baba wa Beth-gaderi.
52 Syobal pendiri kota Kiryat-Yearim adalah leluhur orang Haroe, leluhur separuh penduduk Menuhot,
Shobali baba wa kiriath-Yearimu alikuwa na uzao: Haroe, nusu ya watu Wamenuthite,
53 dan leluhur kaum-kaum yang tinggal di Kiryat-Yearim, yaitu kaum Yetri, Puti, Sumati dan Misrai. (Penduduk kota Zora dan Esytaol adalah orang-orang yang berasal dari kaum-kaum tersebut.)
na ukoo wa Kiriath-Yearimu: Waithri, Waputhi, Washumathi, na Wamishrai. Wasorathi na Waeshtaoli walitoka huku.
54 Salma pendiri kota Betlehem adalah leluhur orang Netofa, orang Atarot-Bet-Yoab, dan orang Zori, yaitu salah satu dari kedua kaum yang tinggal di Manahti.
Ukoo wa Salma ulikuwa kama ufatao: Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, na nusu ya Wamenuhothi na Wazori,
55 Dari kaum Tirati, Simati dan Sukati yang tinggal di kota Yabes ada orang-orang yang ahli dalam hal menulis dan menyalin surat-surat penting. Mereka adalah orang Keni yang kawin dengan orang Rekhab.
ukoo wa waandishi walio ishi Yabesi: Watirathi, Washimeathi, na Wasukathi. Hawa walikuwa Wakeni walio toka katika uzao wa Hamathi, babu wa Warekabu.

< 1 Tawarikh 2 >