< Dagiti Salmo 99 >

1 Agar-ari ni Yahweh, agpigerger koma dagiti nasion. Agtugtugaw isuna iti tronona iti ngatoen ti kerubim; ken agginggined ti daga.
Yahwe anatawala; mataifa na yatetemeke. Ameketi juu ya makerubi; nchi inatetemeka.
2 Naindaklan ni Yahweh idiay Sion; maitagtag-ay isuna kadagiti amin a nasion.
Yahwe ni mkuu katika Sayuni; naye ametukuka juu ya mataifa yote.
3 Idaydayawda koma ti naindaklan ken natan-ok a nagganmo; nasantoan isuna.
Nao walisifu jina lako kuu na lenye kutisha; yeye ni mtakatifu.
4 Nabileg ti ari, ken ay-ayatena ti hustisia. Inrugim ti awan panangidumduma; nangaramidka iti nalinteg a paglintegan kenni Jacob.
Mfalme ana nguvu, naye hupenda haki. Wewe umeimarisha haki; umetenda haki na hukumu katika Yakobo.
5 Idaydayawyo ni Yahweh a Diostayo ken agrukbabkayo iti sakaananna. Nasantoan isuna.
Msifuni Yahwe Mungu wetu na sujuduni miguuni pake. Yeye ni mtakatifu.
6 Da Moises ken Aaron ket maysada kadagiti papadina, ken ni Samuel ket maysa kadagiti nagkararag kenkuana. Nagkararagda kenni Yahweh ket sinungbatanna ida.
Musa na Haruni walikuwa miongoni mwa makuhani wake, na Samweli alikuwa miongoni mwa wale walio muomba Yeye. Walimuomba Yahwe, naye akawajibu.
7 Kinasaritana ida manipud iti adigi ti ulep. Sinalimetmetanda dagiti pammaneknekna ken alagaden nga intedna kadakuada.
Alizungumza nao toka nguzo ya wingu. Walizishika amri zake takatifu na sheria ambazo aliwapatia.
8 Sinungbatam ida, O Yahweh a Diosmi. Sika ti Dios a nangpakawan kadakuada, uray no dinusam dagiti basbasolda.
Wewe uliwajibu, Yahwe Mungu wetu. Ulikuwa kwao Mungu mwenye kusamehe, lakini uliye adhibu matendo yao ya dhambi.
9 Idaydayawyo ni Yahweh a Diostayo, ken agrukbabkayo idiay nasantoan a turodna, ta nasantoan ni Yahweh a Diostayo.
Msifuni Yahwe Mungu wetu, na mwabuduni kwenye mlima wake mtakatifu, maana Yahwe Mungu wetu ni Mtakatifu.

< Dagiti Salmo 99 >