< Dagiti Salmo 56 >

1 Maasika kaniak, O Dios, ta kayatnak nga alun-onen ti maysa a tao; agmalmalem a dardarupen ken idaddadanesnak.
Uwe na huruma nami, Mungu, kwa maana watu wananishambulia! Muda wote wale wanao pigana nami hunikaribia zaidi ili wanishambulie.
2 Agmalmalem a kayatdak nga alun-onen dagiti kabusorko; ta adu dagiti natangsit a dumarup kaniak.
Adui zangu hunikanyaga muda wote; maana ni wengi ambao kwa kiburi hupigana dhidi yangu.
3 No mabutengak, agtalekak kenka.
Wakati nina woga, nitaweka imani yangu katika wewe.
4 Iti Dios, a daydayawek ti saona—agtalekak iti Dios; saanakto nga agbuteng; ania ti mabalin nga aramiden ti tao kaniak?
Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu - nimeweka imani yangu katika Mungu; sitaogopa; mtu wa kawaida atanifanya nini?
5 Agmalmalem a baliktadenda dagiti sasaok; amin a panagpanpanunotda ket maibusor kaniak para iti pakadaksan.
Muda wote wanayageuza maneno yangu; mawazo yao yote yako kinyume na mimi kwa ajili ya uovu.
6 Agu-ummongda, aglemmengda, ket sipsiputanda amin nga addangko, a kas iti panangurayda iti biagko.
Wanajikusanya kwa pamoja, wanajificha wenyewe, na kuzifuatilia hatua zangu, wakisubiri kuniua.
7 Saanmo nga ipalubos a makalibasda nga agar-aramid iti kinadakes. Ipababam dagiti tattao iti ungetmo, O Dios.
Usiwaache waikimbie adhabu yako kwa ajili ya uovu wao. Uwaangushe watu chini katika hasira yako, Mungu.
8 Bilangem dagiti pannakaiyaw-awanko ken ikabilmo dagiti luluak iti boteliam; saanda aya a nailista iti bukodmo a libro?
Wewe unahesabu kutangatanga kwangu na kuweka machozi yangu kwenye chupa yako; je, hayako kitabuni mwako?
9 Ket agsanudto dagiti kabusorko iti aldaw nga umawagak kenka; daytoy ti ammok, adda ti Dios kaniak.
Ndipo maadui zangu watakimbia katika siku ile nikuitapo wewe; hili najua, kwamba Mungu yupo kwa ajili yangu.
10 Iti Dios, a daydayawek ti saona—kenni Yahweh, a daydayawek ti saona—
Katika Mungu ambaye neno lake ninalisifu, katika Yahwe ambaye neno lake ninalisifu,
11 Agtalekak iti Dios; saanakto nga agbuteng, ania ti mabalin nga aramidek ti tao kaniak?
katika Mungu ninaamini, sitaogopa. Yeyote atanifanya nini?
12 Adda kaniak ti pagrebbengan a mangtungpal kadagiti karik kenka, O Dios; agidatonakto iti pagyamanko kenka.
Wajibu wa kutimiza viapo vyangu kwako uko juu yangu, Mungu; nitatoa sadaka ya shukurani.
13 Ta inispalmo ti biagko manipud iti patay; inlisim dagiti sakak manipud iti pannakatinnag, tapno makapagnaak iti sangoanan ti Dios iti lawag ti sibibiag.
Kwa kuwa umeokoa uhai wangu na mauti; umezuia miguu yangu isianguke, ili kwamba niweze kutembea mbele ya Mungu katika nuru ya uhai.

< Dagiti Salmo 56 >