< Dagiti Salmo 54 >

1 Isalakannak, O Dios, babaen iti naganmo ket usigennak iti pannakabalinmo,
Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za uimbaji. Utenzi wa Daudi. Wakati Wazifu walimwendea Sauli na kumjulisha, “Je, Daudi hajifichi miongoni mwetu?” Ee Mungu uniokoe kwa jina lako, unifanyie hukumu kwa uwezo wako.
2 Denggem ti kararagko, O Dios; denggem dagiti sao ti ngiwatko.
Ee Mungu, sikia maombi yangu, usikilize maneno ya kinywa changu.
3 Ta darupendak dagiti natangsit a tattao, ken sinapul dagiti awanan asi a tattao ti biagko; saanda nga impangag ti Dios iti sangoananda. (Selah)
Wageni wananishambulia, watu wakatili wanayatafuta maisha yangu, watu wasiomjali Mungu.
4 Kitaem, ti Dios ti katulongak, ti Apo ti mangsaranay kaniak.
Hakika Mungu ni msaada wangu, Bwana ndiye anayenitegemeza.
5 Supapakannanto ti dakes dagiti kabusorko; babaen iti kinapudnom, dadaelem ida!
Mabaya na yawarudie wale wanaonisingizia, kwa uaminifu wako uwaangamize.
6 Siraragsakakto a mangipaay iti datonko kenka; agyamanakto iti naganmo, O Yahweh, ta naimbagka.
Nitakutolea dhabihu za hiari; Ee Bwana, nitalisifu jina lako kwa kuwa ni vyema.
7 Ta inispalnak kadagiti amin a parikutko; nakitak ti balligi kadagiti kabusorko.
Kwa maana ameniokoa katika shida zangu zote, na macho yangu yamewatazama adui zangu kwa ushindi.

< Dagiti Salmo 54 >