< Dagiti Salmo 43 >

1 Ukomennak, O Dios, ken ipakaasim ti kalintegak kadagiti saan a nadiosan a nasion;
Mungu, uniletee haki, na unitetee dhidi ya taifa lisilo la kimungu.
2 Ta sika ti Dios ti pigsak; apay nga imbellengnak? Apay nga agdung-awak iti panangparigat dagiti kabusor?
Kwa kuwa wewe ni Mungu wa nguvu zangu. Kwa nini umenikataa? Kwa nini ninaenenda katika maombolezo kwa sababu ya ukandamizaji wa adui yangu?
3 O, ibaonmo ti silawmo ken ti kinapudnom; idalandak koma; ipandak koma iti nasantoan a turodmo ken iti tabernakulom.
Oh, tuma nuru yako na kweli yako ziniongoze. Ziniletee mlima wako mtakatifu na makao yako.
4 Ket mapanakto iti altar ti Dios, iti Dios nga aglaplapusanan a rag-ok; ken iti arpa idaydayawkanto, O Dios, a Diosko.
Kisha nitakwenda madhabahuni mwa Mungu, kwa Mungu wangu aliye furaha yangu kuu. Nami nitakusifu wewe kwa kinubi, Ee Mungu, Mungu wangu.
5 Apay a nakadumogka, kararuak? Apay a maringgoranka iti kaunggak? Mangnamnamaka iti Dios; ta agdayawak pay kenkuana, nga isu ti tulong ken Diosko.
Roho yangu, kwa nini umeinama? Kwa nini unahuzuni ndani yangu? Kwa kuwa nitamsifu tena yeye ambaye ni wokovu wangu na Mungu wangu.

< Dagiti Salmo 43 >