< Dagiti Salmo 41 >

1 Nagasat isuna a maseknan kadagiti nakapuy; iti aldaw ti riribuk, ispalen ni Yahweh isuna.
Amebarikiwa mtu yule amkumbukaye mnyonge; katika siku ya taabu, Yahwe atamuokoa.
2 Aywanan ni Yahweh isuna ken pagtalinaedenna a sibibiag, ken mabendisionanto isuna iti daga; Saanto nga iyawat ni Yahweh isuna iti pagayatan dagiti kabusorna.
Yahwe atamuhifadhi na kumuweka hai, naye atabarikiwa duniani; Yahwe hata mrudisha kwenye mapenzi ya adui zake.
3 Saranayento ni Yahweh isuna iti pagiddaan ti panagsagaba; pagbalinemto ti pagiddaan ti panagsaksakitna a pagiddaan ti pannakaagasna.
Awapo kwenye kitanda cha mateso Yahwe atamsaidia; nawe utakifanya kitanda cha ugonjwa kuwa kitanda cha uponyaji.
4 Kinunak, “O Yahweh, maasika kaniak! Agasannak, ta nagbasolak kenka.”
Nami nilisema, “Yahwe unihurumie! Uniponye, kwa maana nimekutenda dhambi wewe.”
5 Agsao iti dakes a maibusor kaniak dagiti kabusorko, kunkunada, 'Kaanonto a matay isuna ken mapukaw ti naganna?'
Adui zangu huongea maovu dhidi yangu, wakisema, 'Atakufa lini na jina lake lipotee?'
6 No umaydak kitaen dagiti kabusorko, agibaga isuna kadagiti awan serserbina a banbanag; ur-urnongen ti pusona ti pannakadidigrak; inton umadayo isuna kaniak, ibagbagana kadagiti sabali ti maipapan iti daytoy.
Adui yangu ajapo kuniona, huongea mambo yasiyo na maana; moyo wake hukusanya maafa yangu kwa ajili yake mwenyewe; na aondokapo kwangu, yeye huwaambia watu wengine kuhusu hayo.
7 Pagi-innarasaasdak dagiti manggurgura kaniak; maibusor kaniak mangnamnamada iti maibusor kaniak a pakadangrak.
Wale wote wanaonichukia kwa pamoja hunon'gona dhidi yangu; nao wanafarijika kwa ajili ya maumivu yangu.
8 Kunada “Dakes a sakit ti kimpet kenkuana; ita ta agid-iddan isuna, saanton a makabangon pay.”
Wakisema, “Gonjwa baya limemshikilia yeye haswa; na sasa kuwa amelala kitandani, hatainuka kamwe.”
9 Kinapudnona, uray ti kadekketan a gayyemko, a nagtaltalkak, a nangan iti tinapayko, in-ngatona ti mukodna maibusor kaniak.
Kweli, hata rafiki yangu wa karibu, ambae nilimuamini, aliye kula mkate wangu, ameinua kisigino chake dhidi yangu.
10 Ngem sika, O Yahweh, maasika kaniak, ken itag-aynak tapno makabalesak kadakuada.
Bali wewe, Yahwe, unihurumie na uniinue ili kwamba niwalipizie kisasi.
11 Babaen iti daytoy maammoak a maragsakanka kaniak, ta saan nga agballigi kaniak ti kabusorko.
Na hivi nitajua kuwa unafurahishwa nami, kwa kuwa adui yangu hatafurahia kunishinda.
12 Kaniak, saranayennak iti kinapudnok ken salimetmetannak iti sangoanam iti agnanayon.
Kwangu mimi, wewe unanisaidia katika uadilifu wangu na utaniweka mbele ya uso wako milele.
13 Maidayaw koma ni Yahweh, ti Dios ti Israel, iti agnanayon nga awan inggana. Amen ken Amen. Maikadua a libro
Yahwe, Mungu wa Israeli asifiwe milele na milele. Amen na Amen. Kitabu ya Pili

< Dagiti Salmo 41 >