< Dagiti Salmo 29 >

1 Bigbigenyo a ni Yahweh - dakayo nga annak ti nabileg - bigbigenyo nga addaan ni Yahweh iti dayag ken pannakabalin!
Mpeni sifa Yahwe, enyi wana wa Mungu! Mpeni sifa Yahwe kwa ajili ya utukufu wake na nguvu.
2 Itedyo kenni Yahweh ti dayaw a maikari iti naganna; idaydayawyo ni Yahweh iti kawes a mayannatup iti kinasantona.
Mpeni Yahwe utukufu ambao jina lake linastahili. Mpigieni magoti Yahwe katika mapambo ya utakatifu.
3 Mangngeg ti timek ni Yahweh iti rabaw dagiti dandanum; aggurruod ti dayag ti Dios, aggurruod ni Yahweh iti rabaw dagiti adu a danum.
Sauti ya Yahwe imesikika zaidi ya maji; Mungu wa radi ya utukufu, radi yaYahwe i juu ya maji mengi.
4 Mannakabalin ti timek ni Yahweh; naindaklan ti timek ni Yahweh.
Sauti ya Yahwe ina nguvu; sauti ya Yahwe ni kuu.
5 Tukkolen ti timek ni Yahweh dagiti sedro; Tukku-tukkolen ni Yahweh dagiti sedro ti Libano.
Sauti ya Yahwe huivunja mierezi; Yahwe huivunja vipande vipande mierezi ya Lebanon.
6 Paglagtoenna ti Libano a kasla urbon a baka ken ti Hermon a kasla urbon a toro.
Yeye huifanya Lebanoni kuruka kama ndama wa ng'ombe na Sirioni kama mwana wa nyati.
7 Dumarup ti timek ni Yahweh a mapakuyogan iti gumilgil-ayab nga apuy.
Sauti ya Yahwe hutoa miale ya moto.
8 Gun-gunen ti timek ni Yahweh ti let-ang; gun-gunen ni Yahweh ti let-ang ti Kades.
Sauti ya Yahwe hutetemesha Jangwa; Yahwe hutetemesha jangwa la Kadeshi.
9 Pagsikalen ti timek ni Yahweh ti kabaian nga ugsa; labusanna dagiti kakaykaywan; ngem iti templona kuna ti tunggal maysa, “Nadayag ti Dios!”
Sauti ya Yahwe huufanya miti mikubwa kutikisika na huipukutisha misitu. Kila mmoja katika hekalu lake husema, “Utukufu!”
10 Agturay ni Yahweh a kas ari iti layus; agturay ni Yahweh a kas ari iti agnanayon.
Yahwe hukaa kama mfalme juu ya mafuriko; Yahwe hukaa kama mfalme milele.
11 Mangmangted ni Yahweh iti pigsa kadagiti tattaona; benbendisionan ni Yahweh dagiti tattaona iti kapia.
Yahwe huwatia nguvu watu wake; Yahwe huwa bariki watu wake na amani.

< Dagiti Salmo 29 >