< Dagiti Salmo 22 >

1 Diosko, Diosko apay a binaybay-annak? Apay nga adayuka unay manipud iti panangisalakanmo kaniak ken adayuka manipud kadagiti sasao ti panagasugko?
Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha? Kwa nini uko mbali na wokovu wangu na mbali na maneno yangu yenye uchungu?
2 O Diosko, umawagak iti tenga iti aldaw, ngem saanka a sumungbat, ken iti rabii ket saanak nga agulimek!
Mungu wangu, ninalia mchana kutwa, lakini haunijibu, na wakati wa usiku sinyamazi!
3 Ngem nasantoanka latta, agtugawka a kas ari nga addaan panangidaydayaw ti Israel.
Bado wewe ni mtakatifu; wewe umekaa kama mfalme pamoja na sifa za Israeli.
4 Nagtalek kenka dagiti kapuonanmi; nagtalekda kenka, ken inispalmo ida.
Mababu zetu walikuamini wewe, na wewe uliwaokoa wao.
5 Immasugda kenka ket naispalda. Nagtalekda kenka ket saanda a naupay.
Walikulilia wewe nao waka okolewa. Wao walikuamini wewe na hawakuvunjwa moyo.
6 Ngem maysaak nga igges ket saan a tao, nakababainak iti sangkataoan ken inum-umsidak dagiti tattao.
Bali mimi ni funza na sio mtu, nisiye faa kwa ubinadamu na hudharauliwa na watu.
7 Uy-uyawendak amin dagiti makakita kaniak; lalaisendak; iwingiwingda dagiti uloda kaniak.
Wale wote wanionao hunisuta; hunidhihaki; hunitikisia vichwa vyao.
8 Kunkunada, “Agtaltalek isuna kenni Yahweh; bay-anyo nga ispalen ni Yahweh isuna. Bay-anyo nga ispalenna isuna, ta maragsakan isuna kenkuana.”
Wao husema, “Yeye anamwamini Yahwe; mwache Yahwe amuokoe. Mwache amuokoe yeye, kwa kuwa yeye anampendeza sana Yeye.”
9 Ta sika ti nangiyaon kaniak iti aanakan; pinagtaleknak kenka idi addaak kadagiti barukong ni inak.
Kwa kuwa wewe ulinileta kutoka tumboni; wewe ulinifanya nikuamini wewe wakati nikiwa nanyonya matiti ya mama yangu.
10 Naipurruakak kenka manipud iti aanakan; sika ti Diosko idi pay addaak iti aanakan ti inak!
Nimekwisha tupwa kwako wewe tokea tumboni; wewe ni Mungu wangu tangu nikiwa tumboni mwa mama yangu!
11 Saanka koma nga adayu kaniak, ta asideg ti riribuk; awan iti siasinoman a tumulong.
Usiwe mbali na mimi, kwa kuwa shida ikaribu; hayupo hata mmoja wa kusaidia.
12 Adu a toro iti manglawlawlaw kaniak; dagiti napipigsa a toro ti Bashan lawlawendak.
Maksai wengi wananizunguka mimi; maksai wenye nguvu ya Bashan wananizunguka mimi.
13 Ingangada iti kasta unay dagiti ngiwatda a maibusor kaniak a kasla ngumerngernger a leon a mangpirpirsay iti biktimana.
Wao wanafungua midomo yao kwangu kama simba aungurumaye akirarua windo lake.
14 Naibukbukak a kas iti danum ken nagkalagsi amin dagiti tultulangko. Ti pusok ket kasla iti allid, marunrunaw daytoy kadagiti kaun-gak.
Ninamwagwa nje kama maji, na mifupa yangu yote imeteguka. Moyo wangu ni kama nta; nao unayeyuka ndani ya sehemu zangu za ndani.
15 Namagaan ti pigsak a kasla iti maysa a damili; dimket ti dilak iti ngangawko. Impaiddanak iti tapuk ni patay.
Nguvu zangu zimekaushwa kama kipande cha ufinyanzi; ulimi wangu unanata juu ya mdomo wangu. Wewe umenilaza mimi katika vumbi la mauti.
16 Ta linawlawdak dagiti aso, linikmutdak iti bunggoy dagiti managdakdakes; tinudokda dagiti im-imak ken saksakak.
Kwa maana mbwa wamenizunguka; kundi la watu waovu limenizunguka; wamenitoboa mikono yangu na miguu yangu.
17 Mabilangko amin a tulangko. Kumitkitada ken matmatmatandak.
Nami ninaweza kuihesabu mifupa yangu. Wao wananitazama na kunishangaa.
18 Pagbibingayanda dagiti pagan-anayko, pagbibinnunotanda dagiti kawesko.
Wao wanagawa mavazi yangu kati yao wenyewe, wanapiga kura kwa ajili ya mavazi yangu.
19 Saanka koma nga umadayu, O Yahweh; pangngaasim ta partakam ti mangtulong kaniak, ti pigsak!
Usiwe mbali, Yahwe; tafadhali harakisha kunisaidia mimi, nguvu yangu!
20 Ispalem toy kararuak manipud iti kampilan, toy kakaisuna a biagko manipud kadagiti kuko dagiti narungsot nga aso. Isalakannak manipud iti ngiwat ti leon;
Uiokoe roho yangu na upanga, maisha yangu mwenyewe na makucha ya mbwa mwitu.
21 Ispalennak manipud kadagiti sara dagiti narungsot a baka.
Uniokoe na mdomo wa simba; uniokoe na mapembe ya ng'ombe wa porini.
22 Iwaragawagkonto ti naganmo kadagiti kakabsatko; iti tengnga ti gimong idaydayawkanto.
Nami nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu; katikati ya kusanyiko la watu nitakusifu wewe.
23 Dakayo nga agbuteng kenni Yahweh, idaydayawyo isuna! Dakayo amin a kaputotan ni Jacob, dayawenyo isuna! Agtakderkayo a siaamak kenkuana, dakayo amin a kaputotan ti Israel!
Ninyi mnao mwogopa Yahwe, msifuni yeye! Ninyi nyote kizazi cha Yakobo, muheshimuni yeye! Simameni katika hofu yake, ninyi nyote kizazi cha Israeli!
24 Ta saanna nga inumsi wenno kinagura ti panagsagaba ti naparigat; saan nga inlemmeng ni Yahweh ti rupana manipud kenkuana; dinengngegna idi immawag kenkuana ti naparigatan.
Kwa kuwa haja dharau au kuchukia mateso ya aliye taabishwa; Yahwe hajamficha uso wake yeye; pindi wale walio taabishwa walipo mlilia yeye, yeye alisikia.
25 Gapu kenka ti panagdayawko idiay dakkel a gimong; tungpalekto dagiti karkarik iti sangoanan dagiti agbuteng kenkuana.
Yahwe, katika kusanyiko la watu wako nitakusifu kwa yale uliyo tenda; nami nitatimiza nadhiri zangu mbele ya wale wanao muhofu yeye.
26 Dagiti naidadanes ket mangan ken mapnekto; dagiti mangsapul kenni Yahweh ket idaydayawdanto isuna. Agbiag koma dagiti pusoyo iti agnanayon.
Walio onewa watakula na kutosheka; wale ambao humtafuta Yahwe watamsifu yeye. Mioyo yenu iishi milele.
27 Malagipto amin dagiti tattao iti daga ket agsublidanto kenni Yahweh, agruknoyto iti sangoanam dagiti amin a pamilia dagiti nasion.
Watu wote wa duniani watakumbuka na kumrudia Yahwe; familia zote za mataifa watapiga magoti chini mbele yako.
28 Ta kukua ni Yahweh ti pagarian; isuna ti mangituray kadagiti nasion.
Kwa kuwa utawala ni wa Yahwe; yeye ni mtawala wa mataifa.
29 Amin dagiti narang-ay a tattao iti daga ket agpadaya ken agdaydayawdanto; amin dagiti agpababa iti tapuk ket agruknoydanto kenkuana, dagiti saan a makabalin a mangpataginayon kadagiti bukodda a biag.
Watu wote wa duniani waliofanikiwa wata sherekea na wata abudu; wale wote washukao katika mavumbi watapiga magoti mbele zake, wale ambao hawawezi kulinda maisha yao wenyewe.
30 Agserbinto kenkuana ti kaputotan nga umay; ibagadanto iti sumaruno a kaputotan ti Apo.
Kizazi kijacho kitamtumikia yeye; wao watakiambia kizazi kinachofuatia kuhusu Bwana.
31 Umaydanto ken ibagada ti kinalintegna; ibagadanto kadagiti tattao a saan pay a naiyanak dagiti naaramidanna!
Wao watakuja na kuzungumza kuhusu haki yake; wao watawaambia watu ambao bado hawaja zaliwa yale ambayo Yahwe ameyafanya!

< Dagiti Salmo 22 >