< Dagiti Salmo 145 >

1 Idaydayawka, O Diosko ken Arik; Idaydayawko ti naganmo iti agnanayon ken awan patinggana.
Wimbo wa Sifa. Wa Daudi. Nitakutukuza wewe, Mungu wangu Mfalme, nitalisifu jina lako milele na milele.
2 Inaldaw nga idaydayawka; Idaydayawko ti naganmo iti agnanayon ken awan patinggana.
Kila siku nitakusifu na kulitukuza jina lako milele na milele.
3 Naindaklan ni Yahweh, ken naindaklan unay a mapadayawan; saan a matukod ti kinaindaklanna.
Bwana ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana, ukuu wake haupimiki.
4 Idaydayawdanto ti tunggal henerasion dagiti aramidmo ken iwaragawagdanto dagiti nabibileg a tignaymo.
Kizazi kimoja kitasifia kazi zako kwa kizazi kingine, watasimulia matendo yako makuu.
5 Utobek ti kinadaeg ti dayagmo ken dagiti nakakaskasdaaw nga aramidmo.
Watasema juu ya utukufu wa fahari ya ukuu wako, nami nitatafakari juu ya kazi zako za ajabu.
6 Saritaenda ti pannakabalin dagiti nakaam-amak ken nabileg a tignaymo; ipakaammok ti kinadakkelmo.
Watasimulia uwezo wa kazi zako za kutisha, nami nitatangaza matendo yako makuu.
7 Ipakaammodanto ti aglaplapusanan a kinaimbagmo ket ikantadanto ti kinalintegmo.
Wataadhimisha wema wako mwingi, na wataimba kwa shangwe juu ya haki yako.
8 Managparabur ken manangngaasi ni Yahweh, saan a nalaka nga agpungtot ken aglaplapusanan ti kinapudnona iti tulagna.
Bwana ni mwenye neema na mwingi wa huruma, si mwepesi wa hasira, bali ni mwingi wa upendo.
9 Naimbag ni Yahweh iti amin; ti kinamanangngaasina ket adda kadagiti amin nga aramidna.
Bwana ni mwema kwa wote, ana huruma kwa vyote alivyovifanya.
10 Agyamanto kenka, O Yahweh, dagiti amin nga inaramidmo; idaydayawdaka dagiti napudno kenka.
Ee Bwana, vyote ulivyovifanya vitakusifu, watakatifu wako watakutukuza.
11 Saritaento dagiti napudno kenka ti dayag ti pagariam, ken ibagadanto ti maipanggep iti pannakabalinmo.
Watasimulia utukufu wa ufalme wako na kusema juu ya ukuu wako,
12 Ipakaammodanto iti sangkataoan dagiti nabileg nga aramid ti Dios ken ti kinadayag iti pagarianna.
ili watu wote wajue matendo yako makuu na utukufu wa fahari ya ufalme wako.
13 Ti pagariam ket agnanayon a pagarian ken mataginayon ti panagturaymo iti amin a henerasion.
Ufalme wako ni ufalme wa milele, mamlaka yako hudumu vizazi vyote. Bwana ni mwaminifu kwa ahadi zake zote na mwenye upendo kwa vyote alivyovifanya.
14 Sarsaranayen ni Yahweh dagiti amin a matmatnag ken bangbangonenna dagiti amin a naidasay.
Bwana huwategemeza wote waangukao, na huwainua wote waliolemewa na mizigo yao.
15 Agur-uray kenka dagiti mata ti amin; ik-ikkam ida iti taraonda iti umno a tiempo.
Macho yao wote yanakutazama wewe, nawe huwapa chakula chao wakati wake.
16 Iluklukatmo ta imam ken penpennekem ti tarigagay ti tunggal sibibiag a parsua.
Waufumbua mkono wako, watosheleza haja ya kila kitu kilicho hai.
17 Nalinteg ni Yahweh iti amin a wagasna ken naparabur isuna iti amin nga ar-aramidenna.
Bwana ni mwenye haki katika njia zake zote, na mwenye upendo kwa vyote alivyovifanya.
18 Asideg ni Yahweh kadagiti amin nga umawag kenkuana, kadagiti amin a matalek nga umawag kenkuana.
Bwana yu karibu na wote wamwitao, karibu na wote wamwitao kwa uaminifu.
19 Patpatganna ti tarigagay dagiti agraem kenkuana; dengdenggenna ti asugda ket isalsalakanna ida.
Huwatimizia wamchao matakwa yao, husikia kilio chao na kuwaokoa.
20 Salsalakniban ni Yahweh dagiti amin nga agayat kenkuana, ngem dadaelenna dagiti amin a nadangkes.
Bwana huwalinda wote wampendao, bali waovu wote atawaangamiza.
21 Iyebkasko ti pammadayaw kenni Yahweh; idaydayaw koma ti amin a tattao ti nasantoan a naganna iti agnanayon ken awan patinggana.
Kinywa changu kitazinena sifa za Bwana. Kila kiumbe na kilisifu jina lake takatifu milele na milele.

< Dagiti Salmo 145 >