< Dagiti Salmo 135 >

1 Idaydayawyo ni Yahweh. Idaydayawyo ti nagan ni Yawheh. Idaydayawyo isuna, dakayo nga addipen ni Yahweh,
Msifuni Bwana. Lisifuni jina la Bwana, msifuni, enyi watumishi wa Bwana,
2 dakayo nga agtaktakder iti balay ni Yahweh, iti paraangan ti balay ti Diostayo.
ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya Bwana, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
3 Idaydayawyo ni Yahweh, ta naimbag isuna; agkantakayo kadagiti pagdayaw iti naganna, ta makaay-ayo nga aramiden ti kasta.
Msifuni Bwana, kwa kuwa Bwana ni mwema, liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.
4 Ta pinili ni Yahweh ni Jacob a para kenkuana, ni Israel a kas sanikuana.
Kwa maana Bwana amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe, Israeli kuwa mali yake ya thamani.
5 Ammok a ni Yahweh ket naindaklan, a ti Apotayo ket kangatoan kadagiti amin a dios.
Ninajua ya kuwa Bwana ni mkuu, kwamba Bwana wetu ni mkuu kuliko miungu yote.
6 Aniaman a tarigagayan ni Yahweh, ar-aramidenna sadi-langit, iti rabaw ti daga, kadagiti taaw ken kadagiti kaadalman a paset ti baybay.
Bwana hufanya lolote apendalo, mbinguni na duniani, katika bahari na vilindi vyake vyote.
7 Iyeyegna dagiti ulep manipud iti adayu, mangparparnuay iti kimat a maikuyog iti tudo ken iruruarna ti angin manipud iti pangiduldulinanna.
Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia; hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua na huleta upepo kutoka ghala zake.
8 Pinapatayna dagiti inauna nga annak ti Egipto, iti tao ken kasta met kadagiti ayup.
Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri, mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.
9 Nangibaon isuna kadagiti pagilasinan ken nakaskasdaaw iti tengngam, O Egipto, a maibusor kenni Faraon ken kadagiti amin nga adipenna.
Alipeleka ishara zake na maajabu katikati yako, ee Misri, dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
10 Rinautna dagiti adu a nasion ken pinapatayna dagiti nabibileg nga ar-ari,
Aliyapiga mataifa mengi, na akaua wafalme wenye nguvu:
11 ni Sihon nga ari dagiti Amorreo ken ni Og nga ari ti Basan, ken dagiti amin a pagarian ti Canaan.
Mfalme Sihoni na Waamori, Ogu mfalme wa Bashani na wafalme wote wa Kanaani:
12 Intedna ti dagada a pannakatawidda, maysa a pannakatawid ti Israel a tattaona.
akatoa nchi yao kuwa urithi, urithi kwa watu wake Israeli.
13 Ti naganmo, O Yahweh ket agtalinaed iti agnanayon; ti laglagip kenka, O Yahweh, ket agtalinaed kadagiti amin a kaputotan.
Ee Bwana, jina lako ladumu milele, kumbukumbu za fahari zako, Ee Bwana, kwa vizazi vyote.
14 Ta ikankanawa ni Yahweh dagiti tattaona ken kakaasianna dagiti addipenna.
Maana Bwana atawathibitisha watu wake, na kuwahurumia watumishi wake.
15 Dagiti didiosen dagiti nasion ket pirak ken balitok, ar-aramid dagiti im-ima dagiti tattao.
Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
16 Dagitoy a didiosen ket addaan kadagiti ngiwat, ngem saanda a makasao; addaanda kadagiti mata, ngem saanda a makakita;
Zina vinywa, lakini haziwezi kusema, zina macho, lakini haziwezi kuona;
17 addaanda kadagiti lapayag, ngem saanda a makangngeg, wenno awan ti anges kadagiti ngiwatda.
zina masikio, lakini haziwezi kusikia, wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.
18 Dagiti nangaramid kadakuada ket kasla met laeng kadakuada, kasta met iti tunggal agtaltalek kadakuada.
Wale wanaozitengeneza watafanana nazo, vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
19 O kaputotan ni Israel, idaydayawyo ni Yahweh; O kaputotan ni Aaron, idaydayawyo ni Yahweh.
Ee nyumba ya Israeli, msifuni Bwana; ee nyumba ya Aroni, msifuni Bwana;
20 O kaputotan ni Levi, idaydayawyo ni Yahweh; dakayo a mangitantan-ok kenni Yahweh, idaydayawyo ni Yahweh.
ee nyumba ya Lawi, msifuni Bwana; ninyi mnaomcha, msifuni Bwana.
21 Madaydayaw ni Yahweh idiay Sion, isuna nga agnanaed iti Jerusalem. Idaydayawyo ni Yahweh.
Msifuni Bwana kutoka Sayuni, msifuni yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Bwana.

< Dagiti Salmo 135 >