< Dagiti Salmo 132 >
1 O Yahweh, lagipem para kenni David dagiti amin a pakarigatanna.
Yahwe, kwa ajili ya Daudi kumbuka mateso yake yote.
2 Lagipem no kasano a nagsapata isuna kenni Yahweh, ti panagkarina iti Mannakabalin a Dios ni Jacob.
Kumbuka ndiye aliye mwapia Yahwe, aliweka nadhiri kwa Shujaa wa Yakobo.
3 Kinunana, “Saanakto a sumrek iti balayko wenno mapan iti pagiddaak,
Alisema, sitaingia nyumbani mwangu wala sitaenda kitandani mwangu,
4 saanakto a maturog wenno aginana
sitayapa macho yangu usingizi wala kope zangu kupumzika
5 aginggana makabirukak iti lugar nga agpaay kenni Yahweh, a tabernakulo para iti Mannakabalin a Dios ni Jacob.”
mpaka nitakapopata mahali kwa ajili ya Yahwe, na maskani kwa ajili ya Shujaa wa Yakobo.”
6 Adtoy, nangngegmi iti maipanggep iti daytoy idiay Efrata; nasarakanmi daytoy kadagiti kataltalonan ti Jaar.
Tazama tulisikia kuhusu hilo katika Efrata; tuliipata katika konde la Yearimu.
7 Umunegkaminto iti tabernakulo ti Dios; agdayawkaminto iti sakaananna.
Tutaingia katika maskani ya Mungu; tutasujudu miguuni pake.
8 Tumakderka, O Yahweh; umayka iti pagin-inanaam a lugar.
Inuka, Ee Yahwe, uje mahali pako pa kupumzika, wewe na sanduku la nguvu zako!
9 Makawesan koma iti kinatarnaw dagiti papadim; agpukkaw koma iti rag-o dagiti napudno a taom.
Makuhani wako na wavikwe uadilifu; waaminifu wako washangilie.
10 Para iti adipenmo a ni David, saanmo a tallikodan ti pinulotam nga ari.
Kwa ajili ya mtumishi wako Daudi, usimuache mfalme wako uliye mpaka mafuta.
11 Nagsapata ni Yahweh nga agbalin a matalek kenni David; saananto a baliwan iti sapatana: “Isaadkonto ti maysa kadagiti kaputotam iti tronom.
Yahwe alimwapia Daudi kiapo cha uhakika, kiapo cha uhakika ambacho hatakivunja: “Nitamuweka mmoja wa wazawa wako kwenye kiti chako cha enzi.
12 No salimetmetan dagiti annakmo ti tulag ken dagiti lintegko nga isurokto kadakuada, agtugawto met dagiti annakda iti tronom iti agnanayon nga awan patinggana.”
Kama wana wako watalishika agano langu na sheria ambazo nitawafundisha, watoto wao pia watakaa kwenye kiti chako cha enzi milele.”
13 Pudno a pinili ni Yahweh ti Sion; tinarigagayanna isuna a pagnaedanna.
Hakika Yahwe ameichagua Sayuni, ameitamani kwa ajili ya makao yake.
14 Daytoy ti lugar a paginanaak iti agnanayon, agnaedakto ditoy, ta tarigagayak isuna.
“Hapa ni mahali pangu pa kupumzika milele. Nitaishi hapa, kwa kuwa ninapatamani.
15 Aglaplapusananto a bendisionak isuna iti pakasapulanna; pennekekto iti tinapay dagiti nakurapayna.
Nitapabariki sana kwa mahitaji. Nitawatosheleza maskini wake kwa mkate.
16 Kawesakto dagiti papadina iti pannakaisalakan; agpukkawto dagiti napudno a tattaona iti napigsa gapu iti rag-o.
Nitawavisha makuhani wake kwa wokovu, waaminifu wake watashangilia kwa furaha.
17 Sadiay, patuboekto ti sara ni David; nangikabilak sadiay iti pagsilawan para iti pinulotak.
Hapo nitachipusha pembe kwa ajili ya Daudi na kuweka taa juu kwa ajili ya mpakwa mafuta wangu.
18 Kawesakto dagiti kabusorna iti bain, ngem agraniagto ti balangatna.
Nitawavisha adui kwa aibu, bali juu yake taji yake itang'aa.”