< Dagiti Salmo 129 >
1 “Masansan a rautendak sipud pay kinaagtutubok,” ibaga koma ti Israel.
“Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia,” Israeli na iseme.
2 “Masansan a rautendak sipud pay kinaagtutubok, ngem saandak latta a naparmek.
“Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia, lakini hawajanishinda.
3 Nagarado iti likodak dagiti agar-arado; pinaatiddogda dagiti gulgulisda.
Wakulima wamekuwa wakilima mgonngoni kwangu; wametengeneza matuta yao marefu.
4 Nalinteg ni Yahweh; pinutedna dagiti tali dagiti nadangkes.”
Yahwe ni mwenye haki; amezikata kamba za waovu.”
5 Maibabainda koma amin ken tumallikodda, dagiti manggurgura iti Sion.
Wote waaibishwe na kurudishwa nyuma, wale wachukiao Sayuni.
6 Agbalinda koma a kasla iti ruot kadagiti tuktok ti balay a magango sakbay a dumakkel,
Na wawe kama nyasi juu ya paa ambayo hunyauka kabla hayajakua,
7 a saanna a mapunno iti ima ti aggapgapas wenno ti barukong ti agrepreppet iti apit.
ambayo hayawezi kujaza mkono wa mvunaji wala kifua cha mfunga miganda.
8 Saan koma nga ibaga dagiti lumabas, “Maadda koma kadakayo ti bendision ni Yahweh; bendisionandakayo iti nagan ni Yahweh.”
Wale wapitao karibu wasiseme, “Baraka za Mungu na ziwe juu yako; Tunakubariki katika jina la Yahwe.”