< Dagiti Salmo 116 >
1 Ay-ayatek ni Yahweh gapu ta dengdenggenna ti timekko ken dagiti panagpakpakaasik.
Ninampenda Bwana kwa maana amesikia sauti yangu; amesikia kilio changu ili anihurumie.
2 Gapu ta ipangpangagnak, umawagak kenkuana iti unos ti panagbiagko.
Kwa sababu amenitegea sikio lake, nitamwita siku zote za maisha yangu.
3 Pinalikmutandak dagiti tali ti patay, ken tinubngarnak ti palab-og ti sheol; nakariknaak iti sanaang ken ladingit. (Sheol )
Kamba za mauti zilinizunguka, maumivu makuu ya kuzimu yalinipata, nikalemewa na taabu na huzuni. (Sheol )
4 Ket immawagak iti nagan ni Yahweh: “Pangngaasim O Yahweh, ispalem ti biagko.”
Ndipo nikaliitia jina la Bwana: “Ee Bwana, niokoe!”
5 Naasi ken awan panangidumduma ni Yahweh; manangngaasi ti Diostayo.
Bwana ni mwenye neema na haki, Mungu wetu ni mwingi wa huruma.
6 Salakniban ni Yahweh dagiti awan gayawna; naipababaak ket insalakannak.
Bwana huwalinda wanyenyekevu, nilipokuwa katika shida kubwa, aliniokoa.
7 Mabalinen nga agsubli ti kararruak iti paginanaanna, ta nagimbag ni Yahweh kaniak.
Ee nafsi yangu, tulia tena, kwa kuwa Bwana amekuwa mwema kwako.
8 Ta inispalmo ti biagko manipud iti patay, dagiti matak manipud kadagiti lulua, ken dagiti sakak manipud iti pannakaitublak.
Kwa kuwa wewe, Ee Bwana, umeniokoa nafsi yangu na mauti, macho yangu kutokana na machozi, miguu yangu kutokana na kujikwaa,
9 Agserbiak kenni Yahweh iti daga dagiti sibibiag.
ili niweze kutembea mbele za Bwana, katika nchi ya walio hai.
10 Namatiak kenkuana, uray idi imbagak “Kasta unay ti panagsagabak.”
Niliamini, kwa hiyo nilisema, “Mimi nimeteseka sana.”
11 Dagusko nga imbaga, “Ulbod dagiti amin a tattao.”
Katika taabu yangu nilisema, “Wanadamu wote ni waongo.”
12 Kasano a masubadak ni Yahweh kadagiti amin a kinaimbagna kaniak?
Nimrudishie Bwana nini kwa wema wake wote alionitendea?
13 Itag-aykonto ti kopa ti pannakaisalakan, ken umawagak iti nagan ni Yahweh.
Nitakiinua kikombe cha wokovu na kulitangaza jina la Bwana.
14 Tungpalekto dagiti sapatak kenni Yahweh iti imatang dagiti amin a tattaona.
Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana mbele za watu wake wote.
15 Napateg iti imatang ni Yahweh ti ipapatay dagiti santona.
Kifo cha watakatifu kina thamani machoni pa Bwana.
16 Pudno, O Yahweh, adipennak; adipennak, ti anak a lalaki ti adipenmo a babai; winarwarmo dagiti kawarko.
Ee Bwana, hakika mimi ni mtumishi wako, mimi ni mtumishi wako, mwana wa mjakazi wako; umeniweka huru toka katika minyororo yangu.
17 Idatonkonto kenka ti daton ti panagyaman ken umawagakto iti nagan ni Yahweh.
Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru na kuliita jina la Bwana.
18 Tungpalekto dagiti sapatak kenni Yahweh iti imatang dagiti amin a tattaona,
Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana mbele za watu wake wote,
19 kadagiti paraangan ti balay ni Yahweh, iti tengngam, Jerusalem. Idaydayawyo ni Yahweh.
katika nyua za nyumba ya Bwana, katikati yako, ee Yerusalemu. Msifuni Bwana.