< Numero 36 >
1 Ket immay dagiti mangidadaulo kadagiti pamilia a nagtaud iti puli ni Galaad nga anak a lalaki ni Makir nga anak a lalaki ni Manases —dagiti mangidadaulo kadagiti puli a kaputotan ni Jose, ket nagsaoda iti sangoanan ni Moises ken dagiti mangidadaulo kadagiti pamilia dagiti tattao iti Israel.
Kisha wale viongozi wa nyumba za mababa wa ukoo wa Gileadi mwana wa Machiri (ambaye alikuwa mwana wa Manase), ambao walikuwa wa ukoo wa uzao wa Yusufu, walikuja wakasema mbele za Musa na mbele za vionigozi wa familia za mababa wa watu wa Israeli.
2 Kinunada, “apo, binilinnaka ni Yahweh nga itedmo ti bingay iti daga dagiti Israel babaen iti panagbibinnunot. Binilinnaka pay ni Yahweh nga itedmo ti bingay ni Selofehad a kabsatmi kadagiti annakna a babbai.
Wakasema, “BWANA alikuamuru, wewe bwana wetu, kutupa mgawo wa ardhi kwa kura kwa wana wa Israeli. Uliamuriwa na BWANA kutoa mgawo wa Zerofehadi kaka yetu kwa binti zake.
3 Ngem no makiasawa dagiti annakna a babbai kadagiti lallaki iti sabali a tribu kadagiti tattao ti Israel, maikkatto ngarud manipud iti bingay ti kapuonanmi ti bingayda a daga. Mainayonto daytoy iti bingay dagiti tribu a tumiponanda. Iti dayta a pasamak, maikkatto daytoy manipud iti tawid a naited a bingaymi.
Lakini hawa binti wameolewa na wanaume toka kabila zingine za wana wa Israeli, basi mgawo wao wa ardhi utaondolewa kutoka kwenye mgawo wa mababa zao. Utaongezwa kwenye mgawo wa makabila ambayo wao wanaungana nao. Kwa sababu hiyo, Utaondolewa kwenye mgawo uliopangwa kwenye urithi wetu.
4 No kasta ti mapasamak, inton dumteng kadagiti tattao ti Israel ti Tawen a Panagisubli, mainayonto ngarud dagiti bingayda iti tribu a timmiponanda. Iti kastoy a wagas, maikkatto ti bingayda manipud iti bingay ti tribu ti kapuonanmi.
Kwa sababu hiyo, wakati wa mwaka wa yubilee ya wana wa Israeli utakapofika, mgawo wao utaunganishwa na kabila ile waliyoungana nao. Kwa sababu hii mgawo wao utaondolewa kwenye mgawo wa mababa zetu.”
5 Isu a nangipaulog ni Moises iti maysa a bilin kas insao ni Yahweh. Kinunana, “Husto ti ibagbaga dagiti kaputotan ni Jose.
Basi Musa akawapa amri wana wa Israeli, kwa neno la BWANA. Akasema, “Kile wanachosema watu wa kabila la Yusufu kiko sahihi.
6 Daytoy dagiti bilbilin ni Yahweh maipanggep kadagiti babbai nga annak ni Selofehad. Kunana, 'Bay-anyo ida a makiasawa iti ammoda a kasasayaatan para kadakuada, ngem masapul a makiasawada laeng iti naibilang iti tribu ti amada.'
Hiki ndicho BWANA anaagiza kuhusu mabinti wa Zelofehadi. Anasema, 'Acha waolewa na wale ambao wao wanaofikri ni vizuri zaidi, lakini lazima waolewe ndani ya kabila ya baba yao.'
7 Awan ti bingay dagiti tattao ti Israel a mabalin a maiyakar manipud iti maysa a tribu a mapan iti sabali a tribu. Masapul a saan a mapukaw iti tunggal tattao ti Israel ti bingay ti tribu iti kapuonanna.
Hakuna mgawo wa watu utakaobadilika kutoka kabila moja kwenda jingine. Kila mtu wa Israeli ataendelea na mgawo wa kabila ya baba y ake.
8 Tunggal babai kadagiti tattao ti Israel nga adda bingayna iti tribuna ket masapul a makiasawa iti lalaki manipud iti puli a maibilang iti tribu ti amana. Daytoy ket tapno amin a tattao ti Israel ket maaddaan iti tawid kadagiti kapuonanna.
Kila mwanamke wa watu wa Israeli aliye na mgao kwenye kabila lake lazima aolewe na mtu wa ukoo unaotoka kwenye kabila la baba yake. Hii itafanyika hivyo ili kila mtu wa wana wa Israeli aweze kuwa na urithi kutoka kwa mababa zake.
9 Awan ti bingay a maiyakar manipud iti maysa a tribu a maiyakar iti sabali a tribu. Masapul a mapagtalinaed ti tunggal maysa kadagiti tribu dagiti tattao ti Israel ti tawidna.
Hakuna mgawo utakaobadilika kutoka kabila nyingine kwenda kabila nyingine. Kila mtu wa kabila za watu wa Israeli atalinda urithi wake.”
10 Inaramid ngarud dagiti annak ni Selofehad ti imbilin ni Yahweh kenni Moises.
Kwa hiyo wale binti wa Zelofehadi walifanya kama vile BWANA alivyokuwa amemwamuru Musa. Mahila, Tiriza, Hogila, Milika, na Noha, binti za
11 Ni Maala, Tirza, Milka, Hogla ken ni Noah nga annak a babbai ni Selofehad ket nakiasawa kadagiti kaputotan ni Manases.
Zelofehadi, waliolewa na wana wa uzao wa Manase.
12 Nakiasawada kadagiti puli dagiti kaputotan ni Manases nga anak ni Jose. Iti kastoy a wagas, nagtalinaed dagiti tawidda iti tribu iti puli a nakaibilangan ti amada.
Waliolewa katika koo za uzao wa Manase mwana wa Yusufu. Kwa sababu hii, urithi wao ulibaki kwenye kabila la ukoo ambalo baba yao alikuwa anatoka.
13 Dagitoy dagiti bilbilin ken linlinteg nga inted ni Yahweh kadagiti tattao ti Israel babaen kenni Moises idiay kapatadan ti Moab iti igid ti Jordan idiay Jerico.
Hizi ndizo amri na maagizo ambayo BWANAaliyatoa kupitia Musa kwa wana wa Israeli katika nyanda za Moabu karibu na Yorodani huko Yeriko.