< Numero 33 >

1 Dagitoy dagiti panagdaliasat dagiti tattao ti Israel kalpasan a pimmanawda ti daga ti Egipto segun kadagiti bunggoy dagiti armadada iti panangidaulo ni Moises ken ni Aaron.
Hizi ndizo safari za wana wa Israeli hapo walipotoka katika nchi ya Misri pamoja na makundi yao ya kijeshi chini ya uongozi wa Musa na Haruni.
2 Insurat ni Moises dagiti lugar a naggapgappoanda agingga iti napananda, a kas imbilin ni Yahweh. Dagitoy dagiti panagdaliasatda, segun kadagiti panagakar-akarda.
Musa aliandika maeneo yote tangu walipoondoka mpaka walipofika, kama alivyoamuriwa na BWANA. Hizi ndizo safari zao kama kutoka kwao kulivyokuwa kwa kila walipotoka.
3 Nagdaliasatda manipud Rameses bayat iti umuna a bulan, nagrubwatda iti maika-15 nga aldaw ti umuna a bulan. Iti agsapa kalpasan ti Ilalabas, siwayawaya a nagrubwat dagiti tattao ti Israel iti imatang dagiti amin nga Egipcio.
Mwezi wa kwanza walisafiri kutoka Ramesi, waliondoka siku ya kumi na tano. Asubuhi siku iliyofuata baada ya Pasaka, Wana wa Israeli waliondoka wazi wazi, mbele ya machoya Wamisri wote.
4 Napasamak daytoy bayat nga itabtabon idi dagiti Egipcio dagiti inauna nga annakda a pinatay ni Yahweh kadakuada, ta inyegna met ti dusa kadagiti diosda.
Hii ilitokea wakati Wamisiri walipokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza, ambao BWANA alikuwa amewaua miongoni mwao, kwa kuwa pia alikuwa ameiadhibu miungu yao.
5 Nagrubwat dagiti tattao ti Israel manipud Rameses ket nagkampoda idiay Succot.
Wana wa Israeli walisafiri kutoka Ramesi na kuweka kambi
6 Nagrubwatda manipud Succot ket nagkampoda idiay Etam, iti pungto ti let-ang.
Sukothi. Walisafiri toka Sukothi na kuweka kambi Ethamu, mwisho wa nyika.
7 Nagrubwatda manipud Etam ket nanglikawda idiay Pi-hahirot, a sango ti Baalsefon, a nagkampoanda iti sango ti Migdol.
Wakasafiri kutoka Ethamu wakarudi mpaka Pi-Hahirothi, ambayo inaikabili Baali Zephoni, ambapo waliweka kambi kuikabili Migidoli
8 Ket nagrubwatda manipud iti sango ti Pi-hahirot ket limmasatda iti tengnga ti baybay agingga iti let-ang. Nagdaliasatda iti tallo nga aldaw iti let-ang ti Etam, ket nagkampoda idiay Mara.
Kisha wakasafiri toka mkabala wa Pi-Hairothi na kupita katikati ya bahari kuelekea nyikani. Wakasafiri safari ya siku tatu katika nyika ya Ethamu na kuweka kambi Mara.
9 Nagrubwatda manipud Mara ket simmangpetda idiay Elim. Idiay Elim, nga ayan ti sangapulo ket dua nga ubbog ken pitupulo a kaykayo ti palma. Isu ti nagkampoanda.
Wakasafiri kutoka Mara kufika Elimu. Pale Elimu kulikuwa na chemichemi kumi na mbili za maji na miti sabini ya mitende. hapo ndipo walipoweka kambi.
10 Nagrubwatda manipud Elim ket nagkampoda iti igid ti baybay dagiti Runo.
Walisafiri kutoka Elimu na kuweka kambi karibu na Bahari ya Shamu.
11 Nagrubwatda manipud iti baybay dagiti Runo ket nagkampoda idiay let-ang ti Sin.
Walisafiri kutoka Bahari ya Shamu na kuweka kambi katika nyika ya Sini.
12 Nagrubwatda manipud iti let-ang ti Sin ket nagkampoda idiay Dofia.
Walisafiri kutoka nyika ya Sini na kuweka kambi Dofka.
13 Nagrubwatda manipud Dofia ket nagkampoda idiay Alus.
Wakasafiri kutoka Dofka na kuweka kambi Alushi.
14 Nagrubwatda manipud Alus ket nagkampoda idiay Refidim, a no sadino ket awan ti masarakanda a danum nga inumen dagiti tattao.
Wakasafiri kutoka Alushi na kuweka kambi Refidimu, ambapo watu walikosa maji ya kunywa.
15 Nagrubwatda manipud Refidim ket nagkampoda idiay let-ang ti Sinai.
Walisafiri kutoka Refidimu na kuweka kambi kwenye nyika ya Sinai.
16 Nagrubwatda manipud iti let-ang ti Sinai ket nagkampoda idiay Kibrot-hataava.
Walisafiri kutoka nyika ya Sinai na kuweka kambi Kibrothi Hataava.
17 Nagrubwatda manipud Kibrot-haatava ket nagkampoda iti Haserot.
Walisafiri kutoka Kibrothi Hataava na kuweka kambi Hazerothi.
18 Nagrubwatda manipud Haserot ket nagkampoda idiay Ritma.
Walisafiri kutoka Hazerothi na kuweka kambi Rithima.
19 Nagrubwatda manipud Ritma ket nagkampoda idiay Rimmon-peres.
Walisafiri kutoka Rithima na kuweka kambi Rimoni Perezi.
20 Nagrubwatda manipud Rimmon-peres ket nagkampoda idiay Libna.
Walisafiri kutoka Rimoni Perezi na kuweka kambi Libna.
21 Nagrubwatda manipud Libna ket nagkampoda idiay Rissa.
Walisafiri kutoka Libna na kuweka kambi Risa.
22 Nagrubwatda manipud Rissah ket nagkampoda idiay Ceelata.
Walisafiri kutoka Risa na kuweka kambi Kehelatha.
23 Nagrubwatda manipud Ceelata ket nagkampoda idiay Bantay Sefer.
Walisafiri kutoka Kehelatha na kuweka kambi kwenye Mlima Sheferi.
24 Nagrubwatda manipud iti Bantay Sefer ket nagkampoda idiay Harada.
Walisafiri kutoka Mlima Sheferi na kuweka kambi Harada.
25 Nagrubwatda manipud Harada ket nagkampoda idiay Maselot.
Walisafiri kutoka Harada na kuweka kambi Makelothi.
26 Nagrubwatda manipud Maselot ket nagkampoda idiay Tahat.
Walisafiri kutoka Makelothi na kuweka kambi Tahathi.
27 Nagrubwatda manipud Tahat ket nagkampoda idiay Tera.
Walisafiri kutoka Ttahalathi na kuweka kambi Tera.
28 Nagrubwatda manipud Tera ket nagkampoda idiay Mitka.
Walisafiri kutokaTera na kuweka kambi Mithika.
29 Nagrubwatda manipud Mitka ket nagkampoda idiay Hasmona.
Walisafiri kutoka Mithika na kuweka kambi Hashimona.
30 Nagrubwatda manipud Hasmona ket nagkampoda idiay Moserot.
Walisafiri kutoka Hashimona na kuweka kambi Moserothi.
31 Nagrubwatda manipud Moserot ket nagkampoda idiay Bene-jaakan.
Walisafiri kutoka Moserothi na kuweka kambi Bene Jaakani.
32 Nagrubwatda manipud Bene-jaakan ket nagkampoda idiay Hor Hagidgad.
Walisafiri kutoka Bene Jaakani na kuweka kambi Hori Hagidigadi.
33 Nagrubwatda manipud Hor Hagidgad ket nagkampoda idiay Jotbata.
Walisafiri kutoka Hori Hagidigadi na kuweka kambi Jotibatha.
34 Nagrubwatda manipud Jotbata ket nagkampoda idiay Abrona.
Walisafiri kutoka Jotibatha na kuweka kambi Abrona.
35 Nagrubwatda manipud Abrona ket nagkampoda idiay Esion-geber.
Walisafiri kutoka Abrona na kuweka kambi Ezioni Geberi.
36 Nagrubwatda manipud Esion-geber ket nagkampoda iti let-ang ti Sin idiay Kades.
Walisafiri toka Ezioini Geberi na kuweka kambi katika nyika ya Sini kule Kadeshi.
37 Nagrubwatda manipud Kades ket nagkampoda idiay Bantay Hor, iti pungto ti daga ti Edom.
Walisafiri kutoka Kadeshi na kuweka kambi Mlima Hori, Pembezoni mwa nchi ya Edomu.
38 Simmang-at ni Aaron a padi iti bantay Hor iti bilin ni Yahweh ket natay isuna sadiay iti maika-40 a tawen kalpasan iti ipapanaw dagiti tattao ti Israel iti Egipto, iti maika- 5 a bulan, iti umuna nga aldaw ti bulan.
Hapo ndipo Haruni kuhani alipoenda kwenye Mlima Hori kwa amri ya BWANA na kufa kule mwaka wa arobaini bada ya Wisraeli kutoka katika nchi ya Misri, katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano.
39 Agtawen ti 123 ni Aaron idi natay isuna idiay Bantay Hor.
Haruni alikuwa na umri wa mika 123 alipokufa pale juu ya Mlima Hori.
40 Ti Cananeo nga ari ti Arad nga agnanaed iti akin-abagatan a let-ang iti daga ti Caanan, ket nangngegna ti idadateng dagiti tattao ti Israel.
Wakanaani, mfalme wa Aradi, ambao waliishi kusini mwa nyika katika nchi ya Kanaani, walisikia juu ya ujio wa wana wa Israeli.
41 Nagrubwatda manipud iti bantay Hor ket nagkampoda idiay Salmona.
Walisafiri kutika Mlima Hori n a kuweka kambi Zalimona.
42 Nagrubwatda manipud Salmona ket nagkampoda idiay Punon.
Walisafiri kutoka Zalimona na kuweka kambi Punoni.
43 Nagrubwatda manipud Punon ket nagkampoda idiay Obot.
Walisafiri kutoka Punoni na kuweka kambi Obothi.
44 Nagrubwatda manipud Obot ket nagkampoda idiay Ige-abarim, idiay beddeng ti Moab.
Walisafiri kutoka Obothi na kuweka kambi Abarimu, katika mpaka wa Moabu.
45 Nagrubwatda manipud Ige-abarim ket nagkampoda idiay Dibon-gad.
Walisafiri kutoka Abarimu na kuweka kambi Diboni Gadi.
46 Nagrubwatda manipud Dibon-gad ket nagkampoda idiay Almon-diblataim.
Walisafiri kutoka Diboni Gadi na kuweka kambi Alimoni Diblathaimu.
47 Nagrubwatda manipud Almon-diblataim ket nagkampoda kadagiti bantay ti Abarim a sangoanan ti Nebo.
Walisafiri kutoka Alimoni Diblathaimu na kuweka kambi kwenye milima ya Abarimu mkabala na Nebo.
48 Nagrubwatda manipud kadagiti bantay ti Abarim ket nagkampoda kadagiti patad ti Moab iti igid ti Jordan idiay Jerico.
Walisafiri kutoka mlima wa Abarimuna kuweka kambi kwenye nyanda za Moabu karibu na Yorodani huko Yeriko.
49 Nagkampoda iti igid ti Jordan, manipud Beth-jesimot agingga idiay Abel Shittim kadagiti patad iti Moab.
Waliweka kambi karibu na Yorodani, kutoka Bethi Jeshimothi mpaka Abeli Shitimu katika nyanda za Moabu.
50 Nagsao ni Yahweh kenni Moises kadagiti patad ti Moab iti igid ti Jordan idiay Jerico ket kinunana,
Hapo BWANA alinenana Musa katika nyanda za Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko akasema,
51 “Agsaoka kadagiti tattao ti Israel ket ibagam kadakuada, 'Inton bummallasiwkayo iti Jordan iti daga ti Canaan,
“Nena na wana wa Israeli uwaambie. 'Mtakapovuka mto Yorodani kuingia Kanaani,
52 ket masapul a papanawenyo dagiti amin nga agnanaed iti daga iti sangoananyo. Masapul a dadaelenyo dagiti amin a nakitikitan a ladawanda. Masapul a dadaelenyo amin a nasukog a ladawanda ken rebbaenyo amin dagiti nangangato a dissoda.
ndipo mtakapowafukuza wenyeji wote mbele yenu. Mtaziharibu sanamu zote za kuchongwa. Mtaziharibu sanamu zao za kusubu na kuharibu mahali pao pote palipoinuka.
53 Masapul a tagikauenyo ti daga ket agnaedkayo iti daytoy, gapu ta intedko ti daga a tagikuaenyo.
Mtachukua hiyo ardhi iwe mali yenu na muishi ndani yake, kwa sababu nimewapeni hiyo nchi iwe mali yenu.
54 Masapul a tawidenyo ti daga babaen ti panaggiginnasat segun iti tunggal puli. Masapul nga itedyo ti dakdakkel a bingay ti daga kadagiti dakdakkel a puli, ken itedyo ti basbassit a bingay ti daga kadagiti basbassit a puli. Sadinoman a pagbatugan iti maipallangato iti tunggal puli, kukuanto daytoy a puli dayta a daga. Tawidenyonto ti daga segun kadagiti tribu dagiti kapuonanyo.
Mtairithi hiyo nchi kwa kupiga kura, kwa kufuata kila ukoo. Kwa zile koo kubwa kubwa mtawapa sehemu kubwa ya ardhi, na kwa zile koo ndogo ndogo mtawapa sehemu ndogo ya ardhi. Kura itakapoanguka kwenye kila ukoo, hiyo ardhi itakuwa mali yake. Mtairithi ardhi kufuata ukoo wa kabilla la jamaa zenu.
55 Ngem no saanyo a papanawen dagiti agnanaed iti daga iti sangoananyo, ket agbalinto a makasulek kadagiti matayo ken sisiit kadagiti bakrangyo dagiti tattao a palubosanyo nga agtalinaed. Parigatendanto dagiti biagyo iti daga a pagnaedanyo.
Lakini kama hamtawafukuza wenyeji wa nchi hiyo watoke mbele yenu, ndipo wale watu mtakaowaruhusu wakae nanyi watakapokuwa kama sindano machoni mwenu na miiba katika mbavu zenu. Watayafanya maisha yenu yawe magumu katika nchi mnayoishi.
56 Ket mapasamakto nga aniaman a panggepek nga aramiden kadagitoy a tattao, aramidekto met kadakayo.'
Ndipo itakapotokea kuwa kile ambacho Mimi ninakusudia kufanya kwa wale watu, Nitawafanyia pia ninyi'”

< Numero 33 >