< Mikias 5 >

1 Ita, agsaganakayo a makigubat, dakayo a tattao ti Jerusalem. Adda pader a naipalawlaw iti siudadyo, ngem pang-urendanto ti sarukod ti pingping ti mangidadaulo ti Israel.
Sasa njoni pamoja katika safu ya kupigana, binti wa maaskari; maaskari wameuzingira mji, kwa ufito watampiga mwamuzi wa Israeli kwenye shavu.
2 Ngem sika, Betlehem Efrata, uray no sika ti kababassitan kadagiti puli ti Juda, maysanto kadakayo ti umay kaniak a mangituray iti Israel, a nagtaud ti kaputonanna ket idi ugma manipud iti agnanayon nga awan patinggana.
Lakini wewe, Bethlehemu Efrata, hata kama uko mdogo miongoni mwa koo za Yuda, kutoka kweko mmoja atakuja kwangu kutawala Israeli, ambaye mwanzo wake ni kutoka nyakati za kale, toka milele.
3 Ngarud, iyawatto isuda ti Dios, agingga iti tiempo nga agpasngay ti agpaspasikal, ket agsubli dagiti dadduma a kakabsatna kadagiti tattao ti Israel.
Kwa hiyo Mungu atawapa, hata mda wa yeye aliye katika uchungu kuzaa mtoto, na mabaki ya ndugu zake yatawarudia wana wa Israeli.
4 Agtakderto isuna ken ipastorna iti arbanna iti bileg ni Yahweh, iti natan-ok a nagan ni Yahweh a Diosna. Agtalinaeddanto, ta agbalinto isuna a natan-ok agingga iti pungto ti daga.
Atasimama na kuchunga kundi lake kwa nguvu za Yahwe, kwa ukuu wa enzi ya jina la Yahwe Mungu wake. Watabaki, kwa kuwa atakuwa mashuhuri hata mwisho wa dunia.
5 Isunanto ti kappiatayo. Inton umay dagiti Assiriano iti dagatayo, inton lumasatda kadagiti sarikedkedtayo, isabattayo kadakuada dagiti pito nga agpaspastor ken walo a mangidada-ulo kadagiti lallaki.
Atakuwa amani yetu. Wakati Waashuru watakapokuja kwenye nchi yetu, wakati wakitembea dhidi ya boma yetu, kisha kisha tutainuka juu yao wachungaji saba na viongozi nane juu ya watu.
6 Agturayto dagitoy a lallaki ti daga iti Asiria babaen iti kampilan, ken ti daga ni Nimrod babaen iti kampilan kadagiti imada. Isalakannatayonto manipud kadagiti Asirriano, inton umayda iti dagatayo, inton agmartsada nga umuneg kadagiti beddengtayo.
Watachunga nchi ya Ashuru kwa upanga, na nchi ya Nimrodi katika malango yake. Atatuokoa kutoka kwa Waashuru, watakapokuja kwenye nchi yetu, watakapoingia kwenye mipaka yetu.
7 Maitiponto dagiti tidda ni Jacob kadagiti adu a bunggoy ti tattao, a kasla linnaaw nga aggapu ken Yahweh, a kasla arbis iti karuutan, a saanda nga aguray ti tao, saan a kadagiti tattao.
Mabaki ya Yakobo yatakuwa katika kabila za watu wengi, kama umande utokao kwa Yahwe, kama manyunyu kwenye majani, ambayo hayamsubiri mtu, na hayawasubiri watoto wa mwanadamu.
8 Maitiponto kadagiti nasion dagiti tidda ni Jacob, maitipondanto kadagiti adu a tattao, a kas iti leon a naitipon kadagiti ayup iti kabakiran, a kasla iti ubing a leon a naitipon kadagiti arban ti karnero. Ket inton maitiponda kadakuada, badde-baddeknanto ida ken rangrangkayennanto ida, ket awanto ti siasinoman a mangispal kadakuada.
Mabaki ya Yakobo yatakuwa miongoni mwa mataifa, miongoni mwa watu wengi, kama simba katikati ya kundi la kondoo. wakati akipita katikati yao, atawakanyaga juu yao na kuwachachana kuwa vipande vipande, na hakutakuwa na mtu wa kuwaokoa.
9 Maitag-ayto ti imam a mangsuppiat kadagiti kabusormo, ket daytanto ti mangdadael kadakuada.
Mkono wako utainuliwa dhidi ya maadui zako, na utawaharibu.
10 “Ket mapasamakto iti dayta nga aldaw,” kuna ni Yahweh, “a parmekekto dagiti kabaliom ken rakrakekto dagiti karwahem.
“Itatokea siku hiyo,” asema Yahwe, “kwamba nitawaharibu farasi wako kutoka miongoni mwenu na nitayavunja magari yako ya farasi.
11 Parmekekto dagiti siudad iti dagam ken rebbaekto dagiti amin a sarikedkedmo.
Nitaiharibu miji katika nchi yako na kuzingusha ngome zako zote.
12 Dadaelekto ti panangkulkulam iti imam, ket awanton a pulos iti aniaman a mammadles.
Nitauharibu uchawi kwenye mkono wako, na hakutakuwa na waaguzi tena.
13 Dadaelekto dagiti kinitikitan a ladawam ken dagiti adigim a bato. Saanmonton a dayawen dagiti aramid dagiti imam.
Nitaziaharibu sanamu zako za pango na nguzo za mawe kutoka miongoni mwako. Hautaabudu tena ustadi wa mikono yako.
14 Parutekto dagiti imahe ni Asera iti tengngayo, ken dadaelekto dagiti siudadyo.
Nitazin'goa nguzo zako za Ashera kutoka miongoni mwenu, na nitaiharibu miji yenu.
15 Iti nakaro nga unget ken pungtotko, balsekto dagiti nasion a saan a dimngeg.”
Nitalipiza kisasi kwa hasira na ghadhabu juu ya mataifa ambayo hayakusikiliza.”

< Mikias 5 >