< Josue 21 >

1 Kalpasanna, immay dagiti panguloen dagiti puli dagiti Levita kenni Eleasar a padi, kenni Josue nga anak ni Nun, ken kadagiti mangidadaulo kadagiti pamilia dagiti kapuonanda kadagiti tattao ti Israel.
Kisha wakuu wa koo za Walawi walimwendea Eliazari kuhani, na kwa Yoshua mwana wa Nuni, na kwa viongozi wa familia za mababu zao miongoni mwa watu wa Israeli.
2 Kinunada kadakuada idiay Silo iti daga ti Canaan, “Imbilin ni Yahweh kadakayo babaen iti ima ni Moises nga ikkandakami kadagiti siudad a pagnaedanmi, agraman dagiti pagipastoranmi kadagiti tarakenmi.”
Waliwaambia, “Yahweh aliwaagizeni ninyi kwa mkono wa Musa kwamba mtupatieni miji ya kuishi yenye maeneo kwa ajili ya kuchungia ya mifugo.” waliyasema haya huko Shilo katika nchi ya Kanaani.
3 Babaen ngarud iti bilin ni Yahweh, inted dagiti tattao ti Israel kadagiti Levita dagiti sumaganad a siudad manipud kadagiti tawidda, agraman dagiti pagipastoranda.
Hivyo, kwa agizo la Yahweh, watu wa Israeli waliwapa Walawi kutoka katika urithi wa wao miji ifuatayo pamoja na maeneo yao ya kuchungia.
4 Daytoy ti nagbanagan ti panangipallangatok iti paggiginnasatan para kadagiti puli ti Coat: dagiti kaputotan ni Aaron a papadi a nagtaud kadagiti Levita ket nakaawat iti sangapulo ket tallo a siudad manipud iti tribu ti Juda, manipud iti tribu ti Simeon, ken manipud iti tribu ti Benjamin.
Upigaji wa kura kwa ajili ya koo za Wakohathi ulileta matokeo haya: makuhani ambao ni wazawa wa Haruni ambao walitokana na Walawi, walipokea miji kumi na mitatu waliopewa kutoka kwa kabila la Yuda, kutoka kabila la Simoni, na kutoka kabila la Benyamini.
5 Nakaawat iti sangapulo a siudad dagiti dadduma puli a Coat manipud kadagiti puli dagiti tribu ti Efraim, Dan, ken manipud iti kagudua a tribu ti Manases babaen iti panangipallangatok iti paggiginnasatan.
Koo zilizobaki za Wakohathi walipokea kwa kupiga kura kwa miji kumi kutoka katika kabila za Efraimu, Dani, na kutoka kwa nusu ya kabila la Manase.
6 Ket naited kadagiti tattao a nagtaud iti Gersom ti sangapulo ket tallo a siudad manipud kadagiti puli iti tribu ti Issacar, Aser, Neftali, ken ti kagudua iti tribu ti Manases iti Basan babaen iti panangipallangatok iti paggiginnasatan.
Na watu wazawa wa Gershoni walipewa miji kumi na mitatu kwa kupigiwa kura kutoka kwa koo za kabila la Isakari, Asheri, Nafutali, na nusu ya kabila la Manase katika Bashani.
7 Nakaawat iti sangapulo ket dua a siudad dagiti tattao a kaputotan iti Merari manipud kadagiti tribu ti Ruben, Gad, ken Zabulon.
Watu waliokuwa wazawa wa Merari walipokea miji kumi na miwili kutoka katika makabila ya Rubeni, Gadi na Zabuloni.
8 Inted ngarud dagiti tattao ti Israel dagitoy a siudad kadagiti Levita, agraman dagiti pagipastoranda babaen iti panangipallangatok iti paggiginnasatan, a kas imbilin ni Yahweh babaen iti ima ni Moises.
Basi, watu wa Israeli waliwapa Walawi miji hii pamoja na maeneo yao ya kuchungia, kwa kupiga kura, kama vile Yahweh alivyokuwa ameagiza kwa mkono wa Musa.
9 Manipud iti tribu ti Juda ken Simeon, inbingayda ti daga kadagiti sumaganad a siudad a nailista ditoy babaen iti nagan.
Kutoka kwa makabila la Yuda na Simoni, waliwapa nchi katika miji ifuatayo iliyoorodheshwa kwa majina.
10 Naited dagitoy a siudad kadagiti kaputotan ni Aaron, kadagiti puli iti Coat, a nagtaud iti tribu ti Levi. Ta nagpaay kadakuada ti immuna a panangipallangatok iti paggiginnasatan.
Miji hii walipewa wazawa wa Haruni, ambao walikuwa miongoni mwa koo za Wakohathi, ambao walitoka katika kabila la Lawi. Kwa kuwa upigaji wa kura ya kwanza uliwaangukiwa wao.
11 Inted dagiti Israelita kadakuada ti Kiriath Arba (ni Arba ti ama ni Anak), nga isu met laeng ti lugar a Hebron, iti katurturodan a pagilian ti Judah, agraman dagiti pagipastoran iti aglawlaw daytoy.
Waisraeli waliwapatia Kiriathi Arba ( Arba alikuwa ni baba wa Anaki), eneo hilo liliitwa pia Hebroni, katika nchi ya milima ya Yuda, pamoja na maeneo ya kulishia mifugo yaliyouzunguka mji.
12 Ngem naiteden kenni Caleb nga anak ni Jefone dagiti taltalon iti siudad ken dagiti bariona, a kas sanikuana.
Lakini mashamba ya mji na vijiji vyake vilikuwa tayari ameshapewa Kalebu mwana Yefune, kama mali yake.
13 Intedda kadagiti kaputotan ni Aaron a padi ti Hebron agraman dagiti pagipastoranna-ti siudad a pagkamangan para iti siasinoman a nakapatay iti tao a saanna nga inggagara-ken ti Libna agraman dagiti pagipastoranna,
Na kwa wana wa Haruni kuhani, waliwapa Hebroni pamoja na eneo lake la kulishia mifugo ambao ulikuwa ni mji wa makimbilio kwa mtu aliyeua mtu bila kukusudia na Libna pamoja na maeneo ya kulishia mifugo.
14 ti Jatir agraman dagiti pagipastoranna, ken ti Estemoa agraman dagiti pagipastoranna.
Na Yatiri pamoaja na maeno yake ya kuchungia, na Eshitemoa pamoja na maeneo yake ya malisho.
15 Intedda pay ti Holon agraman dagiti pagipastoranna, ti Debir agraman dagiti pagipastoranna,
Lakini pia waliwapa Holoni pamoja na maeneo yake ya malisho, Debiri pamoja na maeneo yake ya malisho,
16 ti Ain agraman dagiti pagipastoranna, ti Jutta agraman dagiti pagipastoranna ken ti Betsemes agraman dagiti pagipastoranna. Siam a siudad ti naited manipud kadagiti dua a tribu.
Aini pampoja na maeneo yake ya malisho, na Bethi Shemeshi pamoja na maeneo yake ya malisho. Ilikuwa ni miji kumi na tisa ambayo walipewa kutoka katika makabila haya mawilil.
17 Naited manipud iti tribu ti Benjamin ti Gabaon agraman dagiti pagipastoranna, ti Geba agraman dagiti pagipastoranna,
Kutoka katika kabilala Benyamini walipewa Gibea pamoja na maeneo yake ya malisho, na Geba pamoja na maeneo yake ya malisho,
18 ti Anatot agraman dagiti pagipastoranna, ken ti Almon agraman dagiti kabangibangna-dagiti uppat a siudad.
na Anathothi pamoja na maeneo yake ya malisho, na amoni pamoja na vitongoji vyake vinne.
19 Dagiti siudad a naited kadagiti padi, a kaputotan ni Aaron ket sangapulo ket tallo a siudad amin, agraman dagiti pagipastoranda.
Miji waliyopewa makuhani, wana wa Haruni, ilikuwa ni miji kumi na mitatu kwa ujumla, kujumlisha na maeneo yake ya malisho.
20 Kadagiti dadduma a pamilia ni Coat-dagiti Levita a maibilang iti pamilia ni Coat-addaanda kadagiti siudad a naited kadakuada manipud iti tribu ti Efraim babaen iti panangipallangatok iti paggiginnasatan.
Na kwa ajili ya sehemu ya familia ya Kohathi iliyosalia, wale Walawi walio wa familia ya Kohathi, walipewa miji kutoka katika kabila la Efraimu kwa kupiga kura.
21 Naited kadakuada ti Sikem agraman dagiti pagipastoranna iti katurturodan a pagilian ti Efraim-maysa a siudad a pagkamangan para iti siasinoman a nakapatay iti tao a saanna nga inggagara-ti Geser agraman dagiti pagipastoranna,
Walipewa Shekemu pamoja na maeneo yake ya malisho katika nchi ya milima ya Efraimu - mji wa makimbilio kwa mtu aliyeua mtu bila kukusudia, na Gezeri pamoja na maeneo yake ya malisho,
22 Kibsaim agraman dagiti pagipastoranna ken Bet-horon agraman dagiti pagipastoranna-uppat a siudad amin.
na Kibzaimu pamoja na maeneo yake ya malisho, na Bethi Horoni pamoja na maeneo yake ya malisho, ilikuwa miji minne kwa ujumla wake.
23 Manipud iti tribu ti Dan, naited iti puli ti Coat ti Elteke agraman dagiti pagipastoranna, ti Gibbeton agraman dagiti pagipastoranna,
Kutoka katika kabila la Dani, ukoo wa Kohathi ulipewa Elteke pamoja na maeneo yake ya malisho, na Gibethoni pamoja na maeneo yake ya malisho, na
24 ti Aijalon agraman dagiti pagipastoranna, ken ti Gatrimmon agraman dagiti pagipastoranna-uppat a siudad amin.
Aijaloni pamoja na maeneo yake ya malisho, na Gathrimoni pamoja na maeneo yake ya malisho, ilikuwa ni miji minne kwa ujumla wake.
25 Manipud iti kagudua a tribu ti Manases, naited iti puli ti Coat ti Taanac agraman dagiti pagipastoranna ken Gatrimmon agraman dagiti pagipastoranna-dua a siudad.
Kutoka katika nusu ya kabila la Manase, ukoo wa Kohathi walipewa miji miwili - Taanaki pamoja na maeneo yake ya malisho na Gathirimoni pamoja na maeneo yake ya malisho.
26 Sangapulo a siudad amin para kadagiti dadduma a puli iti Coat, agraman dagiti pagipastoranna.
Kulikuwa na miji kumi kwa ujumla wake kwa ajili ya koo zilizosalia za Wakohathi, pamoja na maeneo yao ya malisho.
27 Manipud iti kagudua a tribu ti Manases, intedda kadagiti puli ti Gerson, dagitoy dagiti sabali pay a puli iti Levita, ti Golan iti Basan agraman dagiti pagipastoranna-maysa a siudad a pagkamangan iti siasinoman a nakapatay a saanna nga inggagara, iti abay ti Borsa agraman dagiti pagipastoranna-dua a siudad amin.
Kutoka katika nusu ya kabila la Manase, jamaa za Gershoni, ambazo hizi zilikuwa ni koo zingine za Walawi, zilipewa Golani katika Bashani pamoja na maeneo yao ya malisho, ni mji wa makimbilio kwa ajili ya mtu yeyote aliyeua mtu bila kukusudia, sambamba na Beeshitera pamoja na maeneo yake ya malisho - ilikuwa miji miwili kwa ujumla.
28 Manipud iti tribu ti Issacar, intedda pay ti Kision kadagiti puli ti Gerson, agraman dagiti pagipastoranna, ti Daberat agraman dagiti pagipastoranna,
Koo za Gershoni zilipewa pia miji minne kutoka kwa kabila la Isakari - Kishoni sambamba na maeneo yake ya malisho, Daberathi pamoja na maeneo yake ya malisho,
29 ti Jaramut agraman dagiti pagipastoranna, ti Engannim agraman dagiti pagipastoranna-dagiti uppat a siudad.
Yarmuthi pamoja na maeneo yake ya malisho, na Engnimu pamoja na maeneo yake ya malisho.
30 Manipud iti tribu ti Aser, intedda ti Miseal agraman dagiti pagipastoranna, ti Abdon agraman dagiti pagipastoranna,
Kutoka katika kabila la Asheri, walipewa miji minne kwa ujumla - Mishali pamoja na maeneo yake ya malisho, Abdoni pamoja na maeneo yake ya malisho,
31 ti Helcat agraman dagiti pagipastoranna ken ti Rehob agraman dagiti pagipastoranna-uppat a siudad amin.
Helikathi pamoja na maeneo yake ya malisho, na Rehobu pamoja na maeneo yake ya malisho.
32 Manipud iti tribu ti Neftali, intedda kadagiti puli ti Gerson ti Kedes idiay Galilea agraman dagiti pagipastoranna-maysa a siudad a pagkamangan para iti siasinoman a nakapatay iti tao a saanna nga inggagara; ti Hammotdor agraman dagiti pagipastoranna ken ti Cartan agraman dagiti pagipastoranna-tallo a siudad amin.
Kutoka kwa kabila la Nafutali, nasaba za Gershoni walipewa miji mitatu kwa ujumla - Kedeshi katika Galilaya pamoja na maeneo yake ya malisho, ulikuwa ni mji wa makimbilio kwa mtu yeyote aliyeua mtu bila kukusudia; na Hamothidori pamoja na maeneo yake ya malisho, na Kartani pamoja na maeneo yake ya malisho.
33 Sangapulo ket tallopulo a siudad amin, para kadagiti puli iti Gerson, agraman dagiti pagipastoranda.
Kulikuwa na miji kumi na mitatu kwa ujumla, kujumuisha na maeneo yake ya malisho, kwa ajili ya koo za Gershoni.
34 Kadagiti dadduma iti Levita-dagiti puli iti Merari-ket naited manipud iti tribu ti Zabulon: ti Jocneam agraman dagiti pagipastoranna, ti Carta agraman dagiti pagipastoranna,
Na kwa Walawi waliosalia, koo za Merari waliokuwa wamepewa kutoka katika kabila la Zabuloni: Yokneamu pamoa na maeneo yake ya marisho, Karta pamoja na maeneo yake ya malisho,
35 ti Dimna agraman dagiti pagipastoranna ken ti Naalal agraman dagiti pagipastoranna-uppat a siudad amin.
Dimna pamoja na maeneo yake ya malisho, na Nahalali pamoja na maeneo yake ya malisho- ilikuwa ni miji minne kwa ujumla.
36 Manipud iti tribu ti Ruben ket naited kadagiti puli ti Merari: ti Beser agraman dagiti pagipastoranna, ti Jahaz agraman dagiti pagipastoranna,
Kwa mbari za Merari walipewa miji minne kutoka katika kabila la Rubeni: Bezeri pamoja na maeneo yake ya malisho, Yahazi pamoja na maene yake ya malisho,
37 ti Kedemot agraman dagiti pagipastoranna ken Mefaat agraman dagiti pagipastoranna-dagiti uppat a siudad.
na Kedemothi pamoja na maeneo yake ya malisho, na Mefaathi pamoja na maeneo yake ya malisho.
38 Manipud iti tribu ti Gad ket naited kadakuada ti Ramot idiay Gilead agraman dagiti pagipastoranna-maysa a siudad a pagkamangan iti siasinoman a nakapatay iti tao a saanna nga inggagara-ken ti Mahanaim agraman dagiti pagipastoranna.
Kutoka katika kabila la Gadi walipewa miji ya Ramothi katika Gileadi pamoja na sehemu zake za malisho - huu ulikuwa ni mji wa makimbilio kwa mtu aliyeua mtu mwenzake bila kukusudia - na Mahanaimu pamoja na sehemu zake za malisho.
39 Naited pay kadagiti puli iti Merari ti Hesbon agraman dagiti pagipastoranna ken ti Jazer agraman dagiti pagipastoranna. Uppat a siudad amin dagitoy.
Koo za Merari zilipewa pia Heshiboni pamoja na maeneo yake ya malisho, na Yazeri pamoja na malisho yake.
40 Dagitoy amin dagiti siudad dagiti nadumaduma a puli iti Merari, a nagtaud iti tribu ti Levi-sangapulo ket dua a siudad amin ti naited kadakuada babaen iti panangipuruak iti paggiginnasatan.
Hii ilikuwa ni miji minne kwa ujumla wake. Hii yote ilikuwa ni miji ya koo kadhaa za Merari, ambao walitoka katika kabila la Lawi, miji kumi na miwili walipewa wao kwa kupiga kura.
41 Dagiti siudad a naala dagiti Levita manipud iti tengnga iti daga a natagikua dagiti tattao ti Israel ket uppat a pulo ket walo a siudad, agraman dagiti pagipastoranda.
Miji waliyopewa Walawi kutoka katikati ya nchi iliyomilikiwa na watu wa Israeli ilikuwa miji arobaini na nane, kujumuisha na sehemu za malisho yao.
42 Tunggal maysa kadagitoy a siudad ket addaan kadagiti pagipastoran iti aglawlawna. Kastoy a wagas kadagiti amin a siudad.
Miji hii kila mmoja ulikuwa na maeneo yake ya malisho kwa kuuzunguka mji. Miji hii yote ilikuwa hivyo.
43 Inted ngarud ni Yahweh iti Israel ti amin a daga nga insapatana nga ited kadagiti kapuonanda. Tinagikua dagiti Israelita daytoy ket nagnaedda ditoy.
Basi Yahweh aliwapa Israeli nchi yote ambayo aliwaapia baba zao kuwa atawapa. Waisraeli waliimiliki nchi na wakakaa humo.
44 Ket inted ni Yahweh kadakuada ti inana iti aglawlaw, kas insapatana kadagiti kapuonanda. Awan kadagiti kabusorda ti makaparmek kadakuada. Inyawat amin ni Yahweh kadagiti imada dagiti kabusorda.
Kisha Yahweh akawapa pumziko kwa kila upande, kama tu alivyowaahidia baba zao. Hakuna hata adui mmoja atakayeweza kuwashinda. Yawhew aliwatia maadui wao wote mikononi mwao.
45 Awan iti uray maysa a saan a pimmudno kadagiti amin a naimbag a karkari nga insao ni Yahweh iti balay ti Israel. Napasamak amin dagitoy.
Hakuna hata kitu kimoja miongoni kwa ahadi nzuri ambazo Yahweh alizisema kwa nyumba ya Israeli ambazo hazikutimia. Ahadi zote zilitimia.

< Josue 21 >