< Josue 14 >

1 Dagitoy dagiti paset ti daga a naawat dagiti tattao ti Israel a kas tawidda idiay daga ti Canaan, nga inted kadakuada ni Eleazar a padi, ni Josue nga anak ni Nun, ken dagiti mangidadaulo kadagiti tribu dagiti pamilia dagiti kapuonanda kadagiti tattao ti Israel.
Maeneo haya ya nchi ambayo watu wa Israeli waliyapokea kama urithi wao katika nchi ya Kanaani. Urith huu uligawanywa kwao na Eliazeri kuhani, na Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa makabila ya mababu wa familia zao kati ya watu wa Israeli.
2 Napili dagiti tawidda babaen iti binnunot para kadagiti siam ken kagudua a tribu, kas imbilin ni Yahweh babaen ti ima ni Moises.
Urithi wao ulichaguliwa kwa kupiga kura kwa makabila tisa na nusu, kama vile Yahweh alivyoagiza kwa mkono wa Musa.
3 Ta inted ni Moises ti tawid dagiti dua ken kagudua a tribu iti labes ti Jordan, ngem awan ti intedna a tawid kadagiti Levita.
Kwa kuwa Musa alikuwa amewapa urithi makabila mawili na nusu ng'ambo ya Yordani, lakini Walawi hawakupewa urithi wowote.
4 Dua a tribu ti tribu ni Jose, ti Manases ken Efraim. Ken awan ti paset iti tawid a naited kadagiti Levita iti daga, ngem masnop laeng a siudad a pagnaedanda, agraman dagiti pagpaarabanda kadagiti tarakenda ken para kadagiti bukodda a pagpataudan iti kasapulanda.
Kabila la Yusufu kwa uhalisia yalikuwa makabila mawili, Manase na Efraimu. Na hakuna sehemu yoyote ya urithi waliyopewa Walawi katika nchi, lakini walipewa miji ya kuishi ndani yake pamoja na sehemu ya malisho ya mifugo yao na kwa ajili ya riziki zao.
5 Inaramid dagiti tattao ti Israel iti kas imbilin ni Yahweh kenni Moises, isu a biningayda ti daga.
Watu wa Israeli walifanya hivyo kama vile Yahweh alivyomwagiza Musa, basi waliiganywa nchi.
6 Kalpasanna, immay kenni Josue ti tribu ti Juda idiay Gilgal. Kinuna kenkuana ni Caleb, nga anak ni Jefone a Cenezeo, “Ammom no ania ti kinuna ni Yahweh kenni Moises a tao ti Dios maipapan kadata idiay Kades Barnea.
Kisha kabila la Yuda lilikuja kwa Yoshua huko Giligali. Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi, akamwambia,”Unajua kile Yahweh alichomwambia Musa mtu wa Mungu juu yako na mimi huko Barnea.
7 Uppat a pulo ti tawenko idi imbaonnak ni Moises nga adipen ni Yahweh manipud Kades Barnea tapno agespia iti daga. Nangiyegak manen kenkuana iti damag a kas iti adda iti pusok nga aramidek.
Nilikuwa na umri wa miaka arobani wakati Musa mtumishi wa Yahweh aliponituma kutoka Kadeshi Barnea kuipeleleza nchi. Nilimletea taarifa tena kama nilivyotakiwa kufanya katika moyo wangu.
8 Ngem dagiti kakabsatko a kaduak a simmang-at ket pinagbutengda dagiti tattao. Ngem naan-anay a simmurotak kenni Yahweh a Diosko.
Lakini ndugu zangu walioenda pamoja nami waliifanya mioyo ya watu iyeyuke kwa woga. Lakini mimi nilimfuata Yahweh kabisa.
9 Nagsapata ni Moises iti dayta nga aldaw, a kunkunana, 'Awan duadua a ti daga a nagnaan ti sakam ket agbalinto a tawid para kenka ken kadagiti annakmo iti agnanayon, gapu ta naan-anay a simmurotka kenni Yahweh a Diosko.'
Musa aliapa katika siku hiyo akisema, “Hakika nchi ambayo miguu yako imetembea juu yake itakuwa urithi wako na kwa watoto wako milele, kwasababu umemfuata kabisa Yahweh Mungu wangu.
10 Ita, kitaem! Pinagtalinaednak ni Yahweh a sibibiag kadagitoy uppat a pulo a tawen, a kas kinunana—manipud iti tiempo idi insao ni Yahweh dagitoy a sasao kenni Moises, bayat a magmagna ti Israel idiay let-ang. Ita, kitaem! Walopulo ket liman ti tawenko iti daytoy nga aldaw.
Tazama! sasa, Yahweh amenihifadhi hai kwa miaka hii arobaini na tano, kama alivyosema - tangu kipindi kile Yahweh alivyomwambia Musa neno hili, wakati huo Waisraeli walikuwa wakitembea jangwani. Tazama! sasa katika siku hii ya leo nina miaka themanini na mitano.
11 Napigsaak pay laeng iti daytoy nga aldaw a kas iti kapigsak idi aldaw nga imbaonnak ni Moises. Ti pigsak ita ket kas iti pigsak idi, para iti gubat ken para kadagiti amin a banbanag nga aramidek iti inaldaw.
Bado hata siku hii ya leo nina nguvu kama nilivyokuwa katika siku ile ambayo Musa alinituma. Nguvu zangu za sasa ni sawa na nguvu zangu za kipindi kile, kwa ajili ya vita na kwa kwenda na kwa kuja.
12 Ita, itedmo ngarud kaniak daytoy katurturodan a pagilian, nga inkari ni Yahweh kaniak iti daydiay nga aldaw. Ta nangngegmo iti daydiay nga aldaw nga adda sadiay dagiti Anakim nga addaan kadagiti dadakkel a nasarikedkedan a siudad. Mabalin nga addanto ni Yahweh kaniak ket papanawekto ida, a kas kinuna ni Yahweh.”
Sasa basi, nipe nchi hii ya milima, ambayo Yahweh aliniahidi katika siku hiyo. Kwa kuwa ulisikia katika siku hiyo kuwa Wanakimu walikuwa huko katika miji yenye ngome. Itakuwa kwamba Yahweh atakuwa pamoja nami na ya kwamba nitawafukuzia mbali, kama vile Yahweh alivyosema.”
13 Kalpasanna, binendisionan ni Josue isuna ken intedna a kas tawid ni Caleb nga anak ni Jefone.
Kisha Yoshua alimbariki Kalebu mwana wa Yefune na alimpa Hebroni kama urithi wake.
14 Nagbalin ngarud a tawid ni Caleb, nga anak ni Jefone a Cenezeo, ti Hebron agingga iti daytoy nga aldaw, gapu ta naan-anay a simmurot kenni Yahweh, a Dios ti Israel.
Hivyo Hebroni ikawa urithi wa Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi hata leo, kwasababu alimfuata kabisa Yahweh, Mungu wa Israeli.
15 Ita, ti nagan ti Hebron ket sigud a Kiriat Arba. ( Ni Arba ket isu ti kabibilegan a tao kadagiti Anakim.) Ket naginana ti daga iti pannakigubat.
Basi, jina la Hebroni hapo mwanzo lilikuwa ni Kiriathi Arba ( Arba ambaye alikuwa ni mtu mkuu miongoni mwa Wanakim). Kisha nchi ikawa na raha bila vita.

< Josue 14 >