< Genesis 8 >

1 Pinanunot ti Dios ni Noe, dagiti amin nga atap nga ayup, ken dagiti amin a dingwen a kaduana iti uneg ti daong. Pinagpuyupoy ti Dios ti angin iti entero a daga, ket nangrugi a bimmaba ti danum.
Mungu akamkumbuka Noa na wanyama wote wa porini na wa kufugwa waliokuwa naye ndani ya safina, akatuma upepo ukavuma katika dunia, nayo maji yakaondoka.
2 Nairikep dagiti ubbog iti uneg ti daga ken dagiti tawa iti tangatang, ket nagsardeng a nagtudo.
Zile chemchemi zilizo chini sana ya ardhi pamoja na malango ya mafuriko ya mbinguni yakawa yamefungwa nayo mvua ikawa imekoma kunyesha kutoka angani.
3 Nagtultuloy nga immababaw ti danum. Ket kalpasan iti 150 nga aldaw, ababaw metten ti danum.
Maji yakaendelea kupungua taratibu katika nchi. Kunako mwisho wa siku ya 150, maji yalikuwa yamepungua,
4 Simmadsad ti daong kadagiti bantay ti Ararat iti maika-pito a bulan, iti maika-17 nga aldaw iti bulan.
katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa saba, safina ikatua katika milima ya Ararati.
5 Nagtultuloy nga immababaw ti danum agingga iti maika-sangapulo a bulan. Iti umuna nga aldaw iti bulan, nagparang dagiti tuktok dagiti bantay.
Maji yakaendelea kupungua hadi mwezi wa kumi, na siku ya kwanza ya mwezi wa kumi, vilele vya milima vikaonekana.
6 Napasamak a kalpasan iti uppat a pulo nga aldaw, linukatan ni Noe ti tawa ti daong nga inaramidna.
Baada ya siku arobaini Noa akafungua dirisha alilokuwa amelifanya katika safina
7 Nangipatayab isuna iti uwak ket nagsublisubli daytoy aginggana a nagmaga ti danum manipud iti daga.
na akamtoa kunguru, akawa akiruka kwenda na kurudi mpaka maji yalipokwisha kukauka juu ya nchi.
8 Kalpasanna, nangipatayab isuna iti kalapati tapno makitana no immababawen ti danum,
Kisha akamtoa hua ili aone kama maji yameondoka juu ya uso wa ardhi.
9 ngem awan ti nasarakan ti kalapati a lugar a pagdissoan ti sakana, ket nagsubli daytoy kenkuana iti uneg ti daong, ta linipus pay laeng iti danum ti entero a daga. Inyunnatna ti imana ket innalana ken inyunegna daytoy iti daong.
Lakini hua hakupata mahali pa kutua kwa kuwa maji yalienea juu ya uso wa dunia yote, kwa hiyo akarudi kwa Noa ndani ya safina. Noa akanyoosha mkono akamchukua yule hua akamrudisha ndani ya safina.
10 Naguray manen isuna iti pito nga aldaw ket nangipatayab manen iti kalapati manipud iti daong.
Noa akangojea siku saba zaidi kisha akamtoa tena hua kutoka safina.
11 Nagsubli kenkuana ti kalapati iti karabianna. Ket adda nalangto a bulong ti olibo iti sippitna. Ngarud, naammoan ni Noe nga immababawen ti danum.
Wakati hua aliporejea kwa Noa jioni, alikuwa amechukua katika mdomo wake jani bichi la mzeituni, lililochumwa wakati ule ule! Ndipo Noa akajua ya kuwa maji yameondoka juu ya uso wa dunia.
12 Naguray manen isuna iti pito nga aldaw, ket pinatayabna manen ti kalapati. Saanen daytoy a nagsubli kenkuana.
Akangojea siku saba zaidi na akamtuma tena hua, lakini wakati huu hua hakurudi tena kwa Noa.
13 Dimteng iti maika-601 a tawen, iti umuna a bulan, iti umuna nga aldaw ti bulan, nga agmagmagan ti daga. Inikkat ni Noe ti kalub ti daong, kimmita iti ruar, ket nakitana a namagaanen ti rabaw ti daga.
Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza ya mwaka 601, wa kuishi kwake Noa, maji yalikuwa yamekauka duniani. Kisha Noa akafungua mlango wa safina akaona ya kuwa uso wa ardhi ulikuwa umekauka.
14 Iti maikadua a bulan, iti maika-27 nga aldaw iti bulan, natiananen ti daga.
Katika siku ya ishirini na saba ya mwezi wa pili dunia ilikuwa imekauka kabisa.
15 Kinuna ti Dios kenni Noe,
Ndipo Mungu akamwambia Noa,
16 “Rumuarkayo iti daong, sika, ti asawam, dagiti annakmo, ken dagiti assawa dagiti annakmo.”
“Toka ndani ya safina, wewe na mkeo na wanao na wake zao.
17 Paruarem ti tunggal sibibiag a parsua iti amin a lasag a kaduam, karaman dagiti billit, dagiti dingwen, ken tunggal banag nga agkarkarayam iti rabaw ti daga, tapno umaduda iti entero a daga, agbungada, ken agpaaduda iti rabaw ti daga.”
Utoe nje kila aina ya kiumbe hai aliye pamoja nawe: Ndege, wanyama na viumbe vyote vitambaavyo juu ya ardhi, ili wakazae, na kuongezeka na kuijaza tena dunia.”
18 Rimuar ngarud ni Noe a kaduana dagiti annakna, ti asawana, ken dagiti assawa dagiti annakna.
Kwa hiyo Noa akatoka nje pamoja na mkewe, wanawe na wake zao.
19 Tunggal agbibiag a parsua, tunggal parsua nga agkarkarayam, ken tunggal billit, amin nga aggargaraw iti daga segun kadagiti pamiliada ket pinanawanda ti daong.
Wanyama wote na viumbe vyote vitambaavyo juu ya ardhi na ndege wote, kila kitu kiendacho juu ya nchi, aina moja baada ya nyingine vikatoka katika safina, kila aina ya kiumbe, kimoja baada ya kingine.
20 Nangaramid ni Noe iti altar para kenni Yahweh. Nangala isuna iti sumagmamano kadagiti nadalus nga ayup ken sumagmamano kadagiti nadalus a billit, ket nangidaton isuna kadagiti daton a maipuor iti altar.
Kisha Noa akamjengea Bwana madhabahu, akachukua baadhi ya wale wanyama na ndege wote walio safi, akatoa sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu.
21 Nalang-ab ni Yahweh ti makaay-ayo nga ayamuom ket kinunana iti pusona, “Saankonton nga ilunod pay ti daga gapu iti sangkata-oan, uray pay no dagiti kababalin dagiti pusoda ket dakes sipud kinaubingda. Saanko met a dadaelen dagiti amin a banag a sibibiag, a kas iti inaramidko.
Bwana akasikia harufu nzuri ya kupendeza, naye akasema moyoni mwake, “Kamwe sitailaani tena ardhi kwa sababu ya mwanadamu, hata ingawa kila mwelekeo wa moyo wake ni mbaya tangu ujana. Kamwe sitaangamiza tena viumbe hai vyote kama nilivyofanya.
22 Bayat nga adda ti daga, addanto latta tiempo ti panagmula ken panagapit, lammiis ken pudot, panawen ti pudot ken lam-ek, aldaw ken rabii.
“Kwa muda dunia idumupo, wakati wa kupanda na wa kuvuna, wakati wa baridi na wa joto, wakati wa kiangazi na wa masika, usiku na mchana kamwe havitakoma.”

< Genesis 8 >

A Dove is Sent Forth from the Ark
A Dove is Sent Forth from the Ark