< Genesis 43 >

1 Nakaro ti panagbisin iti daga.
Wakati huu njaa ilikuwa bado ni kali mno katika nchi.
2 Napasamak nga idi nakandan ti bukbukel nga insangpetda manipud idiay Egipto, ket kinuna ti amada kadakuada, “Mapankayo manen; gumatangkayo iti taraontayo.”
Hivyo wakati walikuwa wamemaliza kula nafaka yote waliyoileta kutoka Misri, Yakobo baba yao akawaambia, “Rudini Misri mkatununulie chakula kingine zaidi.”
3 Imbaga ni Juda kenkuana, “Nainget iti panangballaag kadakami ti lalaki, 'Saanyonto a makita ti rupak malaksid no kaduayo ti kabsatyo.'
Lakini Yuda akamwambia, “Mtu yule alituonya kwa msisitizo, ‘Hamtauona uso wangu tena mpaka mje na ndugu yenu.’
4 No paikuyogmo kadakami ti kabsatmi, sumalogkami ket igatangandaka iti taraon.
Kama utakubali ndugu yetu aende pamoja nasi, tutakwenda kuwanunulia chakula.
5 Ngem no saanmo a kayat nga isurotmi isuna, saankami a sumalog. Ta imbaga ti lalaki kadakami, “Saanyonto a makita ti rupak malaksid no kaduayo ti kabsatyo.”'
Lakini ikiwa hutamruhusu aende, hatutakwenda, kwa sababu mtu yule alituambia, ‘Hamtauona uso wangu tena mpaka mje pamoja na ndugu yenu.’”
6 Kinuna ni Israel, “Apay a pinagaramidandak iti saan a nasayaat babaen iti panangibagayo iti lalaki nga adda pay sabali a kabsatyo?
Israeli akauliza, “Kwa nini mkaniletea taabu hii kwa kumwambia yule mtu mlikuwa na ndugu mwingine?”
7 Kinunada, “Nagsaludsod ti lalaki maipanggep kadakami ken iti pamiliatayo. Kinunana, 'Sibibiag pay kadi ti Amayo? Adda pay kadi sabali a kabsatyo?' Sinungbatanmi isuna segun kadagitoy a salsaludsod. Ammomi aya ngarud met nga ibagana nga, 'Itugotyo ditoy ti kabsatyo?'”
Wakamjibu, “Yule mtu alituhoji kwa undani sana habari zetu na za jamaa yetu. Alituuliza, ‘Je, baba yenu bado yungali hai? Je mnaye ndugu mwingine?’ Sisi tulimjibu maswali yake tu. Tungewezaje kujua kwamba angesema, ‘Mleteni mdogo wenu hapa’?”
8 Kinuna ni Juda kenni Israel nga amana, “Italekmo kaniak ti ubing. Agrubbuatkamin a mapan tapno agbiagtayo a saan ket a matay, datayo, sika ken kasta met dagiti annaktayo.
Ndipo Yuda akamwambia baba yake Israeli, “Mtume kijana pamoja nami, nasi tutaondoka mara, ili sisi na wewe pamoja na watoto wetu tuweze kuishi, wala tusife.
9 Siak ti makaammo kenkuana. No saanko isuna a maisubli kenka ken maidatag iti sangoanam, uray siak lattan ti mangawit iti pammabasol iti agnanayon.
Mimi mwenyewe nitakuhakikishia usalama wake, mimi mwenyewe nitawajibika kumrudisha. Ikiwa sitamrudisha kwako na kumweka mbele yako, nitakuwa mwenye lawama mbele yako maisha yangu yote.
10 Ta no saankami koma a nataktak, awan dua-dua a kapaminduami koman ita a nagsubli ditoy.
Hakika, kama hatukuchelewa kuondoka, tungekuwa tumekwenda na kurudi mara mbili.”
11 Kinuna ti amada a ni Israel kadakuada, “No kasta ngarud, ita, kastoy ti aramidenyo.” Mangalakayo kadagiti kasayaatan a napataud iti daga ket ikabilyo kadagiti sakoyo. Mangitugotkayo iti sagut para iti lalaki: sangkabassit a resina ken diro, kadagiti rekado ken mira, piniones ken almendras.
Basi baba yao Israeli akawaambia, “Kama ni lazima iwe hivyo, basi fanyeni hivi: Wekeni baadhi ya mazao bora ya nchi katika mifuko yenu na mpelekeeni yule mtu kama zawadi, zeri kidogo, asali kidogo, vikolezo, manemane, kungu na lozi.
12 Paminduaenyo ti gatad ti kuarta nga itugotyo. Itugotyo manen ti kuarta a naisubli kadagiti sakoyo. Nalabit a biddut laeng daytoy.
Chukueni fedha mara mbili, kwa kuwa mtazirudisha zile fedha zilizowekwa midomoni mwa magunia yenu. Labda ziliwekwa kwa makosa.
13 Isurotyo pay ti kabsatyo. Agrubbuatkayo ket mapankayo manen iti lalaki.
Mchukueni ndugu yenu pia mrudi kwa huyo mtu mara moja.
14 Sapay koma ta ited ti Dios a Mannakabalin amin ti asi kadakayo iti sangoanan ti Lalaki, tapno wayawyaanna kadakayo ti sabali pay a kabsatyo ken kasta met ni Benjamin. No mapukawko dagiti annakko. Mapukawanak ngarud.”
Naye Mungu Mwenyezi awajalieni rehema mbele ya huyo mtu ili apate kumwachia yule ndugu yenu na Benyamini mweze kurudi pamoja. Kwangu mimi kama nikufiwa nimefiwa.”
15 Innala dagiti lallaki dayta a sagut. Nangalada iti mamindua a kaadu ti kuartada ken insurotda ni Benjamin. Nagrubbuatda, simmalogda idiay Egipto, ket dimmatagda iti sangoanan ni Jose.
Basi hao watu wakazichukua zile zawadi na zile fedha mara mbili pamoja na Benyamini. Wakafanya haraka kwenda Misri na walipofika wakajionyesha kwa Yosefu.
16 Idi nakita ni Jose a kaduada ni Benjamin, kinunana iti agay-aywan iti balayna, “Ikuyogmo dagiti lallaki idiay balay, mangpartika iti ayup ket isaganam daytoy, ta makipangan kaniak dagiti lallaki iti pangaldaw.”
Yosefu alipomwona Benyamini pamoja nao, akamwambia msimamizi wa nyumba yake, “Wachukue watu hawa nyumbani kwangu, mchinje mnyama na kuandalia chakula kwa kuwa watakula chakula cha mchana pamoja nami.”
17 Inaramid ngarud ti mangay-aywan ti imbaga ni Jose. Impanna ngarud dagiti lallaki iti balay ni Jose.
Yule Msimamizi akafanya kama Yosefu alivyomwambia na akawachukua wale watu nyumbani kwa Yosefu.
18 Nagbuteng dagiti lallaki gapu ta naipanda iti balay ni Jose. Kinunada, “Gapu daytoy iti kuarta a naisubli kadagiti sakotayo idi immuna nga immaytayo, tapno mangbirok isuna iti gundaway a maibusor kadatayo. Mabalin a tiliwennatayo ken pagbalinennatayo a tagabu, ken alaenna dagiti asnotayo.”
Basi watu hao wakaogopa walipopelekwa nyumbani kwa Yosefu. Wakafikiri, “Tumeletwa hapa kwa ajili ya zile fedha zilizorudishwa katika magunia yetu mara ile ya kwanza. Anataka kutushambulia na kutushinda, atuchukue sisi kama watumwa, na atwae hawa punda zetu.”
19 Immasidegda iti mangay-aywan iti balay ni Jose, ket kinatungtongda isuna iti ruangan ti balay,
Hivyo wakamwendea msimamizi wa nyumba wa Yosefu na kuzungumza naye kwenye ingilio la nyumbani.
20 a kunada, “Apo, simmalogkami idi damdamo tapno gumatang iti makan.
Wakasema, “Tafadhali bwana, tulikuja hapa mara ya kwanza kununua chakula.
21 Ket napasamak nga idi nakadanonkami iti disso a paginanaan ket linuktanmi dagiti sakomi, ket, nakitami nga adda ti kuarta ti tunggal maysa iti ngarab iti sakona, awan iti naksay iti kuartami. Intugotmi daytoy.
Lakini mahali pale tulipotua wakati wa jioni tulifungua magunia yetu, na kila mmoja wetu akakuta fedha zake, kwenye mdomo wa gunia lake kiasi kile kile tulicholeta. Kwa hiyo tumezirudisha.
22 Nangitugotkami pay iti sabali a kuarta a paggatangmi iti taraon. Saanmi nga ammo no siasino iti nangikabil iti kuartami kadagiti sakomi.”
Pia tumeleta fedha nyingine kwa ajili ya kununulia chakula. Hatujui ni nani aliziweka fedha hizo katika magunia yetu.”
23 Kinuna ti mangay-aywan, “Kapia koma iti maadda kadakayo, saankayo nga agbuteng. Ti Diosyo ken ti Dios ti amayo siguro ti nangikabil iti kuarta kadagiti sakoyo. Naawatko dagiti kuartayo.” Impan ngarud ti mangay-aywan ni Simeon kadakuada.
Akawaambia, “Vema, msiogope. Mungu wenu, Mungu wa baba yenu, amewapa ninyi hazina katika magunia yenu; mimi nilipokea fedha yenu.” Ndipo akawaletea Simeoni.
24 Pinastrek ti mangay-aywan dagiti lallaki iti uneg ti balay ni Jose, “Inikkanna ida iti danum, ket binuggoanda dagiti saksakada. Inikkanna iti makan dagiti asnoda.
Msimamizi akawapeleka wale watu katika nyumba ya Yosefu, akawapa maji ya kunawa miguu na kuwapa punda wao majani.
25 Insaganada dagiti sagut a maipaay iti isasangpet ni Jose iti aldaw, ta nangngegda a manganda sadiay
Wakaandaa zawadi zao ili wampe Yosefu wakati atakapofika adhuhuri, kwa kuwa walikuwa wamesikia kwamba watakula chakula huko.
26 Idi simmangpet ni Jose iti balayna, intugotda dagiti sagut nga adda kadakuada iti balay, ken nagrukobda iti daga iti sangoananna.
Yosefu alipokuja nyumbani, walimkabidhi zile zawadi walizokuwa nazo, ambazo walikuwa wamezileta mle nyumbani, nao wakamsujudia hadi nchi.
27 Dinamagna ti kasasaadda a kinunana, “Nasalun-at kadi ti amayo, ti lakay nga ibagbagayo? Sibibiag pay kadi isuna?”
Akawauliza kuhusu hali yao, kisha akawaambia, “Yule baba yenu mzee mliyeniambia habari zake, yu hali gani? Je, bado yu hai?”
28 Kinunada, “Nasalun-at ti amami nga adipenmo. Sibibiag pay isuna.” Nagparintumeng ken nagdumogda.
Wakamjibu, “Mtumishi wako baba yetu bado anaishi na ni mzima.” Kisha wakainama chini kumpa heshima.
29 Timmangad isuna ket nakitana ni Benjamin a kabsatna, ti anak ti inana, kinunana,” Daytoy kadi iti inaudi a kabsatyo nga ibagbagayo kaniak?” Kinunana, “Paraburannaka koma ti Dios, anakko.”
Alipotazama na kumwona Benyamini ndugu yake, mwana wa mama yake hasa, akauliza, “Je, huyu ndiye ndugu yenu wa mwisho, ambaye mlinieleza habari zake?” Ndipo akasema, “Mungu na akufadhili, mwanangu.”
30 Nagdardaras a rimmuar ni Jose iti siled ta kasta unay a natignay isuna maipanggep iti kabsatna. Nangsapul isuna iti lugar a pagsangitanna. Napan isuna iti siledna ket nagsangit sadiay.
Akiwa ameguswa sana kwa kumwona ndugu yake, Yosefu akatoka nje kwa haraka na kutafuta mahali pa kulilia. Akaingia kwenye chumba chake cha pekee na kulilia humo.
31 Nagdiram-us isuna sa rimmuar. Tinengngelna ti riknana, kinunana, “Idasaryo ti taraon.”
Baada ya kunawa uso wake, akatoka nje na huku akijizuia akasema, “Pakueni chakula.”
32 Nagserbian dagiti adipen ni Jose nga is-isuna ken dagiti agkakabsat nga is-isuda. Nakipangan dagiti Egipcio sadiay nga is-isuda laeng gapu ta saan a mabalin a makipangan dagiti Egipcio iti tinapay kadagiti Hebreo, ta makarimon dayta kadagiti Egipcio.
Wakampakulia Yosefu peke yake, ndugu zake peke yao na Wamisri waliokula pamoja naye peke yao, kwa sababu Wamisri wasingeweza kula pamoja na Waebrania, kwa maana ilikuwa ni chukizo kwa Wamisri.
33 Nagtugaw dagiti agkakabsat iti sangoananna, ti inauna segun iti pannakaiyanakna, ken iti inaudi segun iti kinaubingna. Nasdaaw dagiti lallaki.
Watu hao walikuwa wameketi mbele yake kwa mfuatano wa umri wao, kuanzia mzaliwa wa kwanza hadi mzaliwa wa mwisho, wakatazamana wao kwa wao kwa mshangao.
34 Nangted ni Jose iti taraon nga adda iti sangoananna. Ngem iti paset ni Benjamin ket maminlima ti kaaduna ngem iti naited kadagiti kakabsatna. Naginomda ken nakipagragsakda kenkuana.
Wakati walipelekewa sehemu ya chakula kutoka mezani mwa Yosefu, sehemu ya Benyamini ilikuwa mara tano zaidi ya sehemu ya wale wengine. Kwa hiyo wakanywa na kufurahi pamoja naye.

< Genesis 43 >